Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi sana japo kwa Tanzania karibia vyuo vyote ni vya kata vinatofautiana kwenye umaarufu tu wa kujulikanaKiuhalisia kuna taasisi huwezi kuajiriwa kama umehitimu vyuo vya kata,vyuo vina ranks ujue
😀😀😀😀😀😀BOT imejaa UDSM,IFM,Mzumbe,Saut na SUA only that hata UDOM walikuwa hawaaminiki mpaka recently.
TEKU hata aoplication yako hawaisomi wanaichana chana
Bora yeye anayetumia walau maarifa yake nje ya taaluma yake kujipatia kipato, kuliko wenye mavyeti alafu hawayafanyii kazi yako kabatini.Mimi naona mleta mada una wivu. Alisema Snoop Dog kwamba ukiona kijana mdogo anauza maji juani nunua hata kama huna kiu kwasababu angeweza kuuza madawa ya kulevya akiwa kivulini. Hawa vijana wadogo tuwasapoti kwa kuweza kujiajiri kupitia vipaji vyao. Sanaa ya uchekeshaji ni ngumu kuliko unavyodhani.
Mpoki hata kama we ni masikini utacheka tu,Yeye ni comedian maana unajua anaigiza,sasa huyu mbwiga analazimisha ucheke kwa kusema mana yake ni mwalimu,niseme tu leonardo ji mcheshi sio mchekeshajiChuki izi nazionaga ata juu ya mpoki, mtu anaigiza then masikini utasikia aache dharau. Watu mnashindwa kutofautisha kat ya comedy na uhalisia
Uchambuzi wa hayo yote watu huja na solutions tuambie Sasa wewe Kama mchambuzi unae jua ku create content toa muongozo kuwa wafuate muongozo upi....mbona eliud anachekesha kupitia maisha yake halisi! na hamsemi au kwa kuwa yeye anaonesha maisha ya chini ndo mnapenda!?? Msiforce watu wafanane!Tatizo ni kwamba labda uelewa wako ni mdogo kwenye issue ya content! Joti ni mwanaume na content yake amebase kwenye uanamke na anachekesha watu kupitia hiyo content! Mpoki content yake Mara nyingi anaelezea maisha ya juu uhaya mwingi na watu wanafurahia content yake, niacheni kijana wa watu, mpira, siasa na michezo havilengi kujenga content ni vitu vya field.....huku kwenye comedy ni mtu anakaa tu anabuni Mimi nakuja na idea hii Basi.....binafsi Kuna wachekeshaji huwa siwaelewi kabisa Ila kwa kuwa naelewa kuwa si kila message wanazo deliver Hawa watu lazima zinifurahishe mimi naacha tu kumfuatilia huyo MTU bila ya kumdiss!Una mitizamo na character vya kiswahili sana,
Mbona kwenye siasa, mpira na muziki watu wanachambua wanasiasia, wachezaji, makocha na wanamuzuki na kutoa maoni yao? Kwa nini iwe nongwa mtu akitoa maoni kuhusu hao wanakomedi wenu ambao wengi wanafanya comedy za ubora mdogo??
Acha blah blah.... Huna qualification yeyoteNtakupa mfano nyumba ninayoishi Mimi wote ni comedy tosha yaan tunaweza tukagonga show watu wakacheka na wasichoke kucheka sijasema wasichoke kufurahi nimekwambia wasichoke kucheka vitu vinashuka auto tu sio mpaka ukalale na script usiku mzima hayo ni maigizo ya comedy
Maneno mengi tu.... Waje tuwaoneWaambieni madogo wafanye comedy sio maigizo ya comedy kuna madogo wapo Bench huku wakiingia uwanjani hawatopata Namba tena
Sio comedy ni maigizo ya comedy walikua wanapewa scene za kwenye mageti km walinzi wanaigiza comedy hawafanyi comedy you know comedy theMimi nashangaa sana mtu anayeponda comedy ya kibongo.
Bongo kulikuwa hakuna comedy kabisa, ndiyo watu wanaanzisha.
Badala ya kuona kuwa hawa watu wanaanzisha industry, wapewe msaada na ushirikiano, mnawaponda.
Comedy sio maigizo aisee comedy ni kitu kingine kabisa it's a joke naweza nikakufanyia Wewe ukachukia mwingine pale anacheka sio drama on a written script ni kitu kipo Auto sio cha kuforce km nyinyi wengi mnavyochukulia.Ndo maana waigizaji wote wana script
Wafanye comedy, wasifanye comedy, as long as kuna watu wanamkubali na wanafurahia, wewe kibachokuuma ni kipi?Sio comedy ni maigizo ya comedy walikua wanapewa scene za kwenye mageti km walinzi wanaigiza comedy hawafanyi comedy you know comedy the
Comedy sio maigizo aisee comedy ni kitu kingine kabisa it's a joke naweza nikakufanyia Wewe ukachukia mwingine pale anacheka sio drama on a written script ni kitu kipo Auto sio cha kuforce km nyinyi wengi mnavyochukulia
Ebwana nimeshasema hapo wafanye comedy sio maigizo ya comedy sijui unanielewa vizuri?Wafanye comedy, wasifanye comedy, as long as kuna watu wanamkubali na wanafurahia, wewe kibachokuuma ni kipi?
Wewe yako iko wapi?
Au una wivu?
Umepeleka mjini comedians wangapi?Ebwana nimeshasema hapo wafanye comedy sio maigizo ya comedy sijui unanielewa vizuri?
Wewe MJINI umewapeleka wangapi? Mchumba Mama yako nipo nae hapa muda huu anauchezea alioufuataUmepeleka mjini comedians wangapi?
Otherwise huna cha maana buda, kelele nyingi nyuma ya keyboard kumbe mchumba tu