Mangi katumia fursa [emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Source: TBC ardhio 4/1/2021.
Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuu.Dah siamini kama tumefikia hatua hii
Kama hii ndio mipango yenyewe basi Mimi nimeshindwa mapemaMjini mipango sio urefu wa maghorofa
Mwisho wa mwaka mtu anarudi milimani kuonesha mafanikio yake na wazazi wanacheka30 x 10000tsh = 300000tsh kwa siku, Duh kweli mjini mipango
Mbona kajisalimisha mwenyeweItakuwa majungu ya wenye Majumba ya kupangisha...kafanya discount ya kodi ya pango,ili walemavu nao wajimudu..amezushiwa ..Wabongo Bwana.
Ni swala la muda tu kuamini kila kitu hii awamu ya mkonoDah siamini kama tumefikia hatua hii
Dunia inaenda kasi sanaUkiondoa udhalili, omba omba ni biashara inayolipa sana bongo.