Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?

Hakuna cha kuishi wala kula bure, wanaingiza faida zaidi ya hiyo... hao ni bidhaa dukani hazikai bure.

Ukiona boss anamlisha vinono ng’ombe wake usidhani ng’ombe huyo ndo mnufaika!!
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Source: TBC ardhio 4/1/2021.
Sometimes baadhi ya wachaga walio wengi hawana utu na ni wajinga sana.
 
Usiseme ukamaliza ndugu.....

Wachaga ni Watu kama Watu wengine...wana yao mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu

Si vema...kosa la mmoja kukusanya wote

Kuwa makini dogo
Jifunze adabu ya kuongea mbele za Watu
Ila wamezidi khaaaa[emoji57][emoji57][emoji57]

Punguzeni, ndo maana stone anawashindilia jiwe[emoji28]
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Source: TBC ardhio 4/1/2021.

Zembwela long time alikuwa anaongelea ili swala kwamba wale wanaoomba omba ni biashara ya mtu ,yule anayesukuma utamkuta mtu "MBAVU NENE" ambaye anaweza akafanya kazi na kumtunza huyo MLEMAVU lakini iweje awe anamsukuma tu!!
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Source: TBC ardhio 4/1/2021.
Guest houses zimekosa wateja analaza walemavu
 
Tatizo la Nchi nzima Chief

Anafaa kulaumiwa .....ila wapo wanaofaa kulaumiwa zaidi ya sana

Hawafai kuitwa majina makubwa...wala kupewa vile walivyopewa katika nafasi

Waroho haoooo
Waongo haooo
Waizi haooo
Wachafu haooo
Wazandiki haooo

Lau siku ardhi itafungua kinywa chake....itakuja kuwakataa kama wao si asili yake

Miwatu imevimba na kuvimbiwa..
Mijitu imenenepa na kunenepeshwa

Hawana nafasi ya kuitwa Watu....Bali ni Viatu

Si wana haoooo.....ni laana

Wachafuzi wakubwa wa mazingira na waharibifu

Wanafaa kuchapwa mpaka kuchapika

Ipo siku yao.....Punde tu watajua..
Mbona hueleweki
Kwani wee NI mmoja wao was waliopewa hifadhi na leonida swai?
Binafsi sijakuelewa kabisa
 
Back
Top Bottom