Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,734
- 4,042
Noma sana niliona uzi mmoja wanaleta ligi na wachagaWahaya wao ni kater. tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana niliona uzi mmoja wanaleta ligi na wachagaWahaya wao ni kater. tu
Mbona hueleweki
Kwani wee NI mmoja wao was waliopewa hifadhi na leonida swai?
Binafsi sijakuelewa kabisa
Wanachekelea sio kucheka.Mwisho wa mwaka mtu anarudi milimani kuonesha mafanikio yake na wazazi wanacheka
Tatizo lipo kwa serikali yenyewe na wanafamilia.Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Nimeona Taarifa nyingine kama hii, huko nchini kenya na inatajwa, anefanya biashara hii, mtanzania anaewakusanya walemavu toka Tanzania, na kuwapitisha njia za panya.Dah siamini kama tumefikia hatua hii
Mkuu tusiwalaumu wachaga kwa kutafuta pesa kwa nguvu zote ,Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
"Sisi ni next level, serikali imejaribu kutupoteza imeshindwa. Siku hizi Tunamiliki viwanda pia tunafanya Consultancy kubwa kubwa".Wachaga mwisho wa reli..
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Mweee Jamani dhambi!!!!.Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
1. ThreatTatizo la Nchi nzima Chief
Anafaa kulaumiwa .....ila wapo wanaofaa kulaumiwa zaidi ya sana
Hawafai kuitwa majina makubwa...wala kupewa vile walivyopewa katika nafasi
Waroho haoooo
Waongo haooo
Waizi haooo
Wachafu haooo
Wazandiki haooo
Lau siku ardhi itafungua kinywa chake....itakuja kuwakataa kama wao si asili yake
Miwatu imevimba na kuvimbiwa..
Mijitu imenenepa na kunenepeshwa
Hawana nafasi ya kuitwa Watu....Bali ni Viatu
Si wana haoooo.....ni laana
Wachafuzi wakubwa wa mazingira na waharibifu
Wanafaa kuchapwa mpaka kuchapika
Ipo siku yao.....Punde tu watajua..
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Ushamba wa wachaga ni upi ndugu?Hakuna kabila la washamba hapa Tanzania kama wachaga. Halafu ni wezi kwelikweli unapokaa na mchaga kuwa makini sana
Hawa watu kweli wanatafuta pesa kwa kila mbinu.Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Ukiitwa Kituoni ana Ukisikia tetesi za uzushi kukuhusu...si ruksa kwenda kufuatilia !Mbona kajisalimisha mwenyewe