Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Tatizo la Nchi nzima Chief

Anafaa kulaumiwa .....ila wapo wanaofaa kulaumiwa zaidi ya sana

Hawafai kuitwa majina makubwa...wala kupewa vile walivyopewa katika nafasi

Waroho haoooo
Waongo haooo
Waizi haooo
Wachafu haooo
Wazandiki haooo

Lau siku ardhi itafungua kinywa chake....itakuja kuwakataa kama wao si asili yake

Miwatu imevimba na kuvimbiwa..
Mijitu imenenepa na kunenepeshwa

Hawana nafasi ya kuitwa Watu....Bali ni Viatu

Si wana haoooo.....ni laana

Wachafuzi wakubwa wa mazingira na waharibifu

Wanafaa kuchapwa mpaka kuchapika

Ipo siku yao.....Punde tu watajua..
Watu hawana utu
 
Usiseme ukamaliza ndugu.....

Wachaga ni Watu kama Watu wengine...wana yao mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu

Si vema...kosa la mmoja kukusanya wote

Kuwa makini dogo
Jifunze adabu ya kuongea mbele za Watu
Hakuna kabila la washamba hapa Tanzania kama wachaga. Halafu ni wezi kwelikweli unapokaa na mchaga kuwa makini sana
 
Usiseme ukamaliza ndugu.....

Wachaga ni Watu kama Watu wengine...wana yao mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu

Si vema...kosa la mmoja kukusanya wote

Kuwa makini dogo
Jifunze adabu ya kuongea mbele za Watu
Ooh! mjifunze kuwa na utu Boss haiwezekani, tunatambua damu zenu zinanusa pesa ilipo mjitahidi kufanya kazi za halali na Mungu atawafungulia baraka ila sio kwa hili la kuwaanika binadamu wenzenu kwenye jua kama vibambala, haikubaliki
 
Bahati nzuri Chief..Mimi si Mchaga

Labda nikuulize

Tokea ulipozaliwa...tukio kama hili limetokea mara ngapi,ikawa wahusika ni Wachaga....?!!!
Ooh! mjifunze kuwa na utu Boss haiwezekani, tunatambua damu zenu zinanusa pesa ilipo mjitahidi kufanya kazi za halali na Mungu atawafungulia baraka ila sio kwa hili la kuwaanika binadamu wenzenu kwenye jua kama vibambala, haikubaliki
 
Back
Top Bottom