Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa tayariHana maana hiyo, ni kwamba anaisikitikia familia yake
Wakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja
You said it all blood.Huu si utawala!
Kila siku mnaambiwa lakini bado mnapiga mapambio!
Mpaka siku member wa familia yako anaguswa ndio mtaacha hayo mapambio!
This shithole country is a prison!
Been telling you folks!
Naona unapita mulemule anakopita MusibaAwamu hii kama una mishe zako zinazokuingizia kipato ni vyema ukatulia, Mambo ya kujiingiza katika siasa mwisho wake ndio kama huu...
Kama huwezi kuisifia ni vyema ukaacha kujihusisha na siasa...
Apumzike kwa amani.
aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15].... Hatuna tofauti na nyumbu sasa mbele ya simba na chui[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja
Kila nyakati huwa na majira yake.. Kukipamabazuka huku kule kunakuchwaWangemteka Musiba na Bashite tusikie tafrani yake itakuwaje?!
Huo mstari uliomaliza nao umenikumbusha nyimbo moja ya Luck Dube 'Group Areas Act'Watu kuuliwa ni kawaida duniani kote hata huko Ulaya watu wanauliwa, Marekani kila dakika moja wanauwawa watu hamsini"- Cyprian Musiba(Dw Interview, Saturday 27. July, 2019.
The future is not so bright
Hahaha umenichanganya kabisa.Kila nyakati huwa na majira yake.. Kukipamabazuka huku kule kunakuchwa
EU kitengo cha nini, ayo matukio ya vifo na kutekwa inabidi yaolozeshwe, kuna siku yatatumika ICC KAMA ushahidi, jinai haina ukomo,, iko siku yatamgharimu mtu, ni suala la muda tu kwakweli, inasikitisha jamaniWakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja