Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Endeleza Ubabe haaaaa Endesha Unmog, ohhh ni zile nchi zinazopinga siasa zetu za uchumi wa viwandaWhat is EU..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleza Ubabe haaaaa Endesha Unmog, ohhh ni zile nchi zinazopinga siasa zetu za uchumi wa viwandaWhat is EU..?
Wakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja
Hahaha, best umejuaje familia yake ni masikini?!
R.I.P LeopardHuo mstari uliomaliza nao umenikumbusha nyimbo moja ya Luck Dube 'Group Areas Act'
Anyway Rest In Peace kwa marehemu. 😷
Hii hali inatisha!
Hakuna mtu aliye salama tena, chini ya utawala huu wa awamu ya tano
[emoji24]
Wangemteka Musiba na Bashite tusikie tafrani yake itakuwaje?!
Hahaha nilieleweshwa best, nikaelewa.Hahhahaa nimemanisha kuionea huruma hahaa..sio maskin
Hii kasumba ya kuteka watu sijui mtaiacha lini, don't you "pips in offices" have other options?
Awamu hii kama una mishe zako zinazokuingizia kipato ni vyema ukatulia, Mambo ya kujiingiza katika siasa mwisho wake ndio kama huu...
Kama huwezi kuisifia ni vyema ukaacha kujihusisha na siasa...
Apumzike kwa amani.
European Union au Jumuia ya Ulaya. Kama hakuna kirefu kingine.Kitengo EU.. kirefu cha EU n nn?
huyu jamaa alikua na matatizo yakifamilia..nimeamini mengi yanatungwa humuHii kasumba ya kuteka watu sijui mtaiacha lini, don't you "pips in offices" have other options?