Lemongrass
Member
- Apr 23, 2023
- 39
- 55
Hapo kwenye amana naomba Ufafanuzi.Baada ya kusajiliwa brela unaomba leseni BOT, mtaji wa kuanzia ni milioni 20. Sharti hiyo 20m hutakiwi kuwa imeikopa.
Kwa hiyo 5m fanya kuongezea 15m nyingine ili uwe na hadhi ya kupata leseni ya kuwa microcredit isiyochukua amana.
Ukitaka kuanza kupokea amana kama akina fin basi jipange upate 200m.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mm nataka kudeal na wafanya biashara wadogo wadogo ila ata akija huyo mwl.simnyimi namtendea hakiiHakuna biashara isiyolipa, sema tu unataka kukausha damu za waalimu.
Sasa mbona makanisa yana benki na zinakopesha kwa riba ?Mkuu kama wewe ni mkristo au Muislamu angalia hapa chinu nakupa somoo..
Biblia na Quran vyote vimekataza kukopeshana kwa Riba..
Tukianza na Biblia mkuu anza kusome ezekiel 18:12-13..
View attachment 2773564
Bado tukisonga kwenye Mambo ya walawi 25:36-37
View attachment 2773567
Mkuu ndo maana Nasema ukitaka kuwa Tajiri Maybe uachane na Hizi dini ufokasi kwenye safari ya kuzimu tu kama wanavyosema wanaoamini....
Nakuongeza zaburi 15:1-5
View attachment 2773575
Bora na ww umesemaa ndugu yangu....Sasa mbona makanisa yana benki na zinakopesha kwa riba ?
Kiufupi ww ni RARU tu jitahid kuondoka kwenye huo ujinga ulio nao kabla hujawa mpumbavuHahaha nijifunze sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chil out Mdogo angu Hii ni JF
Kuna kipindi nilitaka nifanye hiyo biashara, ila nikajitafakari sana nikakuta hizo sifa ulizozisema sina!Hiyo siyo mikopo midogo midogo bhana! Huku mtaani tunaiita mikopo ya kausha damu. Na ukifanikiwa kusajili, basi utambue fika mbinguni huendi.
Maana ili ufanikiwe kurudisha hela yako pamoja na faida, basi utatakiwa kuwa na uso wa mbuzi, mbabe, mkatili, na mtu usiyecheka na nyani.
Asante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..Kiufupi ww ni RARU tu jitahid kuondoka kwenye huo ujinga ulio nao kabla hujawa mpumbavu
Ata kama n utoto kwahyo utu uzima wako ndo umekufanya uniletee uhusiano wa kwenda mbinguni na kupata leseni kwenye mada inayohusu leseniAsante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..
But kwanza jitahidi Kujifunza vitu vingi sana inaonekana bado una utoto mwingi na ujana
Aliyeleta hiyo Mada alikuwa nani? We si ndo uliuliza? Ukiuliza kitu tegemea kupata jibu hata kama ni chungu kwako!Ata kama n utoto kwahyo utu uzima wako ndo umekufanya uniletee uhusiano wa kwenda mbinguni na kupata leseni kwenye mada inayohusu leseni
Narudia tena jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hojaa hyo itakusaidia kuepukana na vitu vingiAsante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..
But kwanza jitahidi Kujifunza vitu vingi sana inaonekana bado una utoto mwingi na ujana
Ndo mana nasemaje mm n mtoa mada, ila kama hujielewi unacomment hovyo hovyo na limwandiko lako limeenda op kama unatumia vidole vya miguu kuandika dose lazma upeweAliyeleta hiyo Mada alikuwa nani? We si ndo uliuliza? Ukiuliza kitu tegemea kupata jibu hata kama ni chungu kwako!
Kuna maswali nimeuliza ukiweza kuyajibu itakuwa sawa sanaNarudia tena jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hojaa hyo itakusaidia kuepukana na vitu vingi
Jifunze kujibu hoja kwa mtiririko utakaofanya uonekane matured sio mara ujitete, ety ooh hapa ni jf mara ooh cjui nin mwisho wa cku unatia huruma
Mimi sizioni km ni biashara za kudumuHabari
Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.
Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.
Natanguliza shukran.
Jiandae kupora TV, Friji na Sabufa nyingi ili kuweza kukabiliana na unaowadai fedha. 🤣Habari
Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.
Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.
Natanguliza shukran.
Nenda ofisi yeyote ya Benki kuu ya Tanzania makao makuu au matawi yake ndio hutoa hizo leseni za Micro Finance taasisi binafsi toa mikopo watakupa fomu na maelekezoHabari
Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.
Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.
Natanguliza shukran.
Mkuu kwa maslahi mapana ya biashara yako waweke walimu kama kundi muhimu la wateja, huwa wanakopa kwa haraka sana na wakishaingia kwenye system yako ni ngumu kutoka, pia sio rahisi kukimbia maana kituo chao cha kazi kinajulikana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mm nataka kudeal na wafanya biashara wadogo wadogo ila ata akija huyo mwl.simnyimi namtendea hakii
Nmependa wazo lako ntalifanyia kazMkuu kwa maslahi mapana ya biashara yako waweke walimu kama kundi muhimu la wateja, huwa wanakopa kwa haraka sana na wakishaingia kwenye system yako ni ngumu kutoka, pia sio rahisi kukimbia maana kituo chao cha kazi kinajulikana.
Kwa kawaida hao wenye leseni wanataka maokoto yao yawe bei gani?
Shukrani kwa msaada wako mkuuNenda ofisi yeyote ya Benki kuu ya Tanzania makao makuu au matawi yake ndio hutoa hizo leseni za Micro Finance taasisi binafsi toa mikopo watakupa fomu na maelekezo
Benki kuu ya Tanzania ndio pekee hutoa hizo leseni
Embu toa japo mfano kwa uzoefu wako itampa mtu mwangaza kdogoInategemeana na makubaliano baina yenu.