Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Nakuelewa Kiranga sipati shida na wewe.
Huna hoja, unaleta viroja.

Hujajibu swali langu.

Tanzania imetangaza kuishinda Corona, kwa nguvu za Mungu.

Mnashadadia habari za chanjo kwa nini?

Hamumuamini Mungu wenu tena?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mungu wenu Magufuli kasema kaishinda Corona.

Hizi stories za chanjo za nini?
Hivi na wewe unaamini ujinga kwamba kuna C-19. Wanachukua data za magonjwa yote, wana-compile halafu wanaita C-19 mnawaamini, dah!

Kweli wajinga ndio waliwao. Hakuna kitu kitu kinachoitwa C-19. Ni utapeli!
 
Huna hoja, unaleta viroja.

Hujajibu swali langu.

Tanzania imetangaza kuishinda Corona, kwa nguvu za Mungu.

Mnashadadia habari za chanjo kwa nini?

Hamumuamini Mungu wenu tena?
Sina haja ya kukujibu,wewe ni pandikizi hapa JF.
 
Huna hoja, unaleta viroja.

Hujajibu swali langu.

Tanzania imetangaza kuishinda Corona, kwa nguvu za Mungu.

Mnashadadia habari za chanjo kwa nini?

Hamumuamini Mungu wenu tena?
Tunashadidia ili wasio jua mpango wenu wasiikubali,si mna mpango wa kuua watu!?
 
Hivi na wewe unaamini ujinga kwamba kuna C-19.Wanachukua data za magonjwa yote,wana-compile halafu wanaita C-19 mnawaamini,dah!Kweli wajinga ndio waliwao.Hakuna kitu kitu kinachoitwa C-19.Ni utapeli!
Is the earth flat too?
 
You are hallucinating.

Unajua hata hii internet unayoitumia ni mpango wa CIA?

Toka kwenye internet ya CIA basi tujue uko serious.
Sawa,ila inatusaidia kupambanua kati ya akina Kiranga na wana wa nuru.
 
Namjua.

Ila watu wa aina hii wasipopingwa kwa hoja, wanapata kuaminika.
Usipotoshe watu Kiranga,mimi sipotoshi watu,wewe ndiye unayepotosha watu.

Hivi mtoto wa Shetani anaweza kusema kweli? Wewe Kiranga kwa kukiri wewe mwenyewe you belong to Satan, sasa utakuaje mkweli na baba yako ni mwongo na baba wa huo?
 
Usipotoshe watu Kiranga,mimi sipotoshi watu,wewe ndiye unayepotosha watu.Hivi mtoto wa Shetani anaweza kusema kweli?Wewe Kiranga kwa kukiri wewe mwenyewe you belong to the other side,sasa utakuaje mkweli na baba yako ni mwongo na baba wa huo?
Unaweza kuthibitisha Shetani yupo?
 
Mkuu unaoteza muda na huyu utopolo, jaribu kupitia threads zake za nyuma ndio utajua unabishana na mtu wa aina gani
Mimi najua ninalofanya,hebu watch this,ni utopolo?


Watch and share quickly! This will probably be taken down soon!...

 
Mkuu mimi sio mzembe,I am a very successful person kwenye nyanja yeyote you can think of,ila ni mdadisi sana na sio mvivu wa kufikiri.Ninayoandika nimeyafanyia extensive research,and I know it's real and authentic.Inaelekea wewe ni mvivu wa kufikiri,na either ni mjinga sana au mabeberu wamekununua,kwa hiyo you are part of "the state capture system," na hapa uko kwenye ajira yako ya kupumbaza watu!Inachefua na kukasirisha sana kuona kwamba kuna idiots kama ninyi,tena wenzetu,get out of your idiocy and betrayal.You are in fact a traitor.
Success haina maana siyo mzembe! Na wasio na success haina maana ni wazembe!

Punguza kujifanya mjuaji bali jifunze kujenga hoja
 
Back
Top Bottom