Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

Now you are talking!
Lakini mbele zaidi ni wapi? Kwa kikundi kama UAMSHO? Au tutamfadhili Rev. Mtikila arudi ulingo wa Siasa na sera ya Tangayika na utanganyika? Hakuna chama kinachoweza kujitutumua kusema kina sera ya kuuvunja Muungano.

Bado sioni kama kuna mbele zaidi kama hizi kelele na mayowe tunazopiga hapa JF hazipata Chama cha siasa ambacho kitakuja na sera ya Utanganyika na serikali ya Tanganyika. Hakuna chama kinachoweza kujitutumua kusema kina sera ya kuuvunja Muungano.
Hata sisi tunaondika hapa JF,waleta mada na masapota wakuu tunatafuta visingizio kama hivi UAMSHO wamechoma makanisa, Let Zanzibar go. Sijaona bado M.M au Nguruvi3 anasema vunja Muungano huu kama ile UAMSHO. Mimi bado natafsiri kuwa bado tunafanya "nyau , nyau" tunatisha panya.

Vyama vyote ambavyo vina uhai vina sera ya Muungano wa serikali tatu. CHADEMA. CUF....CCM wana sera ya Muungano wa serikali mbili kuelekea moja (utanzania na Tanzania na sio ubara au utanganyika)

Je kuna kikundi ambacho kitafanya kazi ya kuamsha kama UAMSHO wa Zanzibar mbali na online JF,M. Mwanakijiji, Nguruvi3, JokaKuu, Nonda,Mkandara, Pasco, JokaKuu, Kamwemwe, Chilisosi na kechapu?

Mbele zaidi ni wapi?
Isije ikawa kama Salmini Amori aka kutikisa kiberiti.

Narudia historia imeshajiandika kwa kila anaekuja na uthubutu wa kudadisi Muungano, kutaka ukarabati wa Muungano au kuibua utanganyika huondoka majeruhi/ hakuna aliyesalimika. Tunaweza kumwuliza Malecela, Jumbe, Seif SHarif na Hamad Rashid, Rev. Mtikila nk.Je sisi tunao ubavu?

Nimeweka masikio wazi kutaka kujua hoja hii itapelekwa mbele wapi?

Hoja ya Pack and go, Let Zanzibar go! kama haitapata ufadhili wa chama cha siasa kwa TZ itakuwa ni sawa kupiga ukelele jangwani, kumwaga kichupa cha wino baharini.

Good luck to all of us who want to defend who we are !

Sasa Mkuu Nonda ushauri huu si ukawape JUMIKI na audiences wao, kumbuka Mwanakijiji ameshawahi kusema kuwa yeye alikuwa ni mtetezi wa Muungano, lakini alipobaini kwamba JUMIKI hawataki kuona mtu anayetetea Muungano, yeye ameamua kutoa option(kuwasaidia) JUMIKI namna bora za kutokuwa na muungano. Sasa wee unakuja kutwambia kwamba kila anaekuja na rai za kuvunja muungano anakuwa 'sued' au ' detained' then hakuna historia ya kufanikiwa, sasa wale JUMIKI wanafanya kazi gani? wanawapotezea watu muda wao kwenda kuvua samaki ili wapate cha-jio...?
 
chilisosi punguza chili kidogo , nani kakuchomea duka lako na kanisa lako wewe ???

Hutaki kusoma thread nyengine zaidi ya zanzibar wewe , unajua hapo ulipo dalisalama upo kwa hisani ya wazaramo wakiamua kuwatimua utaenda wapi wewe ??? Tizama mlivyolihalibu jiji hata usalama hakuna wa kila kitu

NAKUSAIDIA SOMA HAPA LABDA UTAWACHA HIZO PROPAGANDA ZA KANISA LAKO

UKILALA unaamka. Kama huamki na bado una uhai basi unaamshwa. Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiko) ya huko Zanzibar inasema kwamba imejitweka jukumu la kuwaamsha Wazanzibari kuhusu mengi — ya dini na dunia.


Miongoni mwa hayo ni Muungano wa Tanzania ulioziunganisha nchi za Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili mwaka 1964. Kwa ufupi, Jumuiya ya Uamsho inaupinga Muungano. Hamna shaka yoyote kwamba kwa hilo ina wafuasi wengi sana Visiwani.

Jumuiya hiyo imekuwa ikiandaa mihadhara ya kuwapa elimu ya kiraia waumini wa dini ya Kiislamu kuhusu masuala ya katiba likiwamo suala la Muungano na uhalali wake.

Tukumbuke kwamba wanao uhuru wa kufanya hivyo na wakati huohuo tusiyasahau maneno ambayo Mwalimu Julius Nyerere alimwambia mwandishi Colin Legum wa gazeti la Obsever la Uingereza mwaka 1965 kwamba hatowapiga mabomu Wazanzibari wamridhie endapo watakataa kuendelea na Muungano.

Mihadhara hiyo ya Uamsho inapendwa na huhudhuriwa na watu mia kadhaa kama si elfu kadhaa kila inapofanywa. Japokuwa inapendwa hivyo imekuwa ikiwakera baadhi ya walio na madaraka Zanzibar na wasiofurahishwa na Maridhiano yaliyopo Visiwani.

Wanachokitaka waheshimiwa hao ni kuzuka kwa fujo zitazoweza kuisambaratisha Serikali ya Umoja wa Kitaifa na hata kuzusha hali zitazopelekea kusimamishwa kwa mchakato wa katiba.



Mkakati wao ni rahisi kuuelewa: chochea fujo kwa kuwatumia vijana, watomeze wenye jazba washambulie makanisa, wahusishe viongozi wa Uamsho na mtandao wa kigaidi wa al-Qa’eda, wahusishe viongozi wa CUF na Uamsho na harakati zao.

Wanatumai kwamba kwa kufanya hivyo wataweza kuwafanya wakuu wa serikali ya Tanzania na wakubwa wa dunia hii waiangalie Zanzibar kwa jicho jingine. Wanachotaka hasa, na kwa hili wana wenzao Bara, ni kuzizima harakati za kuujadli Muungano.

Fujo zilizoanzia Jumamosi ya tarehe 26 Mei zilichochewa na polisi kwa kutotumia hekima walipomtia nguvuni Sheikh Mussa Issa. Wafuasi wake wakamiminika, wake kwa waume, wakubwa kwa wadogo mbele ya kituo cha polisi alikoshikwa na wakadai aachiwe huru.

Polisi nao wakapambana na umati huo kwa kuwarushia mabomu ya kutoa machozi. Ndipo palipozuka kikundi cha watu na kwenda kutia moto kanisa na kuvunja mabaa. Baadhi ya waliovunja hizo baa wakipiga takbir (Allahu Akbar) na huku wakinywa pombe. Haiyumkiniki kwamba hawa walikuwa wafuasi wa dhati wa Uamsho.

Inafaa tuangalie jinsi matukio hayo yalivyokuzwa kupita kiasi na vyombo vya habari na kuwapelekea watu waamini kwamba ‘Zanzibar yateketea’ na si pahala pa watalii, Wakristo au Wabara.

Bahati nzuri hakuna ubalozi wowote wa kigeni uliotoa taarifa kuwaonya wananchi wao wasiizuru Zanzibar; na wala hakuna mtalii yoyote au Mkristo kutoka Bara aliyedhuriwa. Kwa hakika tunapaswa kuwapongeza waandamanaji pamoja na majeshi ya usalama kwa kutofanya mambo ambayo yangelizidi kuifanya hali iwe mbaya.

Zamani polisi wakizoea kutumia nguvu kupita kiasi na waliwahi kuwaua waandamanaji wasiokuwa na silaha kama ilivyotokea Pemba mapema mwa mwaka 2001 pale watu kadhaa wasio na silaha walipouawa na vikosi vya usalama walipokuwa wakiandamana kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2010. Wao wakishikilia kwamba chama cha CUF ndicho kilichoshinda kwenye uchaguzi huo. Hayo yamepita.

Tukiyaangazia ya leo inasikitisha kwamba miongoni mwa waathirika wa matukio ya siku ile ya machafuko ni kanisa moja lililotiwa moto. Hiki ni kitendo kiovu, cha kishenzi na chenye kwenda kinyume na mafundisho ya Kiislamu.

Ni kosa la jinai kuchoma moto mahala popote pa ibada. Pia ni kosa kubwa kujaribu kukilaumu chama chochote au jumuiya yoyote kuwa ndio iliyohusika na uchomaji moto huo.

Zanzibar ina umaarufu kwa mchanganyiko wake wa watu wa makabila, rangi na dini tofauti. Pia inasifika kwa jinsi Waislamu wake — ambao ndio wengi nchini humo — wanavyoingiliana na Wakristo wake ambao ni wachache sana. Kwa muda wa zaidi ya karne Wakristo hao wamekuwa na uhuru kamili wa kuabudu na wamekuwa wakipata hifadhi.

Juu ya kuwa Zanzibar inatafahari kuwa ni nchi ya Kiislamu, hatukuwahi kusikia katika historia au kushuhudia kwamba Wakristo wa Zanzibar wanabughudhiwa kwa sababu ya imani yao.

Kwa hakika, katikati mwa karne ya 19 na baadaye pale wamisionari Wakikristo wa kizungu walipokuwa wakitafuta njia za usalama za kupenya na kuingia katika eneo la Maziwa Makuu na sehemu za bara za Afrika ya Mashariki misafara yao yote ilianzia Zanzibar.

Masultani wa wakati huo waliwapa hao mamisionari wakizungu risala za kuwajulisha na machifu wa bara. Isitoshe masultani waliwapa hifadhi wamisionari huko Zanzibar. Hakuna mtu yoyote aliyethubutu kuwagusa hao wamisionari.

Kadhalika masultani walikuwa wakiwapa wamisionari watu wa kuwaongoza katika misafara yao ya kueneza Ukristo katika kanda ya Afrika ya Mashariki. Kama ilivyokuwa kwa mengi katika zama zile Ukristo nao pia ulianzia Zanzibar. Ndio maana makanisa makongwe kabisa katika Afrika ya Mashariki yako Zanzibar. Hata ile ardhi iliyojengewa makanisa ya Kianglikana na Kikatoliki katika Mji Mkongwe huko Unguja ilitolewa bure na sultani wa Zanzibar na kugaiwa madhehebu hayo mawili ya Kikristo.

Haielekei kwamba uvumilivu huo utatoweka. Hautotoweka kwa sababu uvumilivu huo umejengeka katika utamaduni Wakizanzibari na utamaduni huo ni wenye kuufuata Uislamu kama unavyotakiwa kufuatwa bila ya kuufanya uwe mgumu.

Utamaduni huo si tu kwamba unavumilia dini nyingine bali pia unaheshimu tofauti za kidini na za kitamaduni zilizo katika jamii. Na wala tofauti hizo hazitumiwi vibaya kwa minajili ya kisiasa.
Ndipo tunapokuwa hatuna budi ila kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete aliposema kwamba kuuvunja Muungano hakuwezi kupatikana kwa kuchoma moto makanisa.

Kwa sasa jambo la busara ni kusubiri matokeo ya uchunguzi wa polisi kuhusu kadhia ya uchomaji moto kanisa. Tunatumai kwamba wahalifu waliochukua hatua hiyo watafikishwa mahakamani. Hatua yao si ya kijinga tu bali inaweza kuleta hasara kwa mengi.

Tusighafilike tukasahau kwamba hii leo wananchi wa Zanzibar wana uhuru wa kusema na wa kukusanyika kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar na sheria za nchi hiyo pamoja na zile za serikali ya Muungano zinazosema kwamba Tanzania — na hivyo Zanzibar — ni nchi za kidemokrasia.

Kadhalika, ni muhimu kukumbuka kwamba suala la Muungano ni suala lenye kuzusha hamasa na jazba kubwa kila linapojadiliwa na huvutia makundi ya watu bila ya kujali nani au jumuiya gani inalijadili suala hilo.

Jambo moja linalojitokeza katika mijadala yote hiyo na bahati nzuri hili si siri tena kwani Wazanzibari wamekwishauvua woga wao ni kwamba wengi wao, ingawa hawataki Muungano uvunjike, hawaitaki hali iliyopo sasa ya Muungano wa Katiba wenye kuifanya serikali yake iwe na nguvu na madaraka makubwa mno.
Wengi wao wangependelea badala yake pawepo na Muungano kama ule Muungano wa Ulaya. Kwa ufupi, wanataka Muungano wa nchi mbili zilizo huru zenye kutendeana wema na kushirikiana.

Kwa sasa Wazanzibari wanavuta subra wakingojea fursa ya kutoa maoni yao katika shehia zao juu ya mustakbali wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Kadhalika wanatambua kwamba baada ya hapo watapata fursa nyingine ya kutoa maoni yao kwenye kura ya maoni watapoulizwa iwapo wanaikubali au hawaikubali katiba mpya itayotungwa baada ya mchakato wa kutoa maoni.

Hiyo itakuwa ni fursa wasiowahi kuipata na itawawezesha kuigeuza hiyo kura ya maoni kuhusu katiba iwe kura juu ya Muungano.

Uamsho una msimamo wenye kuupinga Muungano. Sasa tujiulize iwapo Uamsho unaweza kuupata muradi wake wakati huu wa sasa katika mchakato wa kuipitia tena katiba.

Tusisahau kuwa jumuiya za kidini na zisizo za kidini zote zinaruhusiwa kutoa maoni yao juu ya suala la Muungano na hatima yake. Ruhusa hiyo ipo ilimradi pasiwe na sera ya kupambana na vyombo vya dola.

Kwa Zanzibar mpambano huo hauhitajiki kwa vile viongozi wa kisiasa wa itikadi tofauti mara nyingi wametoa matamshi wakieleza wazi msimamo wao kuhusu Muungano. Hata Rais Dk. Ali Mohamed Shein alinukuliwa hivi karibuni akisema kwamba anashiriki kikamilifu katika zoezi la kuipitia katiba akishirikiana na Rais Kikwete.

Tena kuna wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakieleza jinsi wasivyoridhishwa na Muungano. Hata kabla ya Uamsho kuanza harakati zake wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamekuwa wakiyatetea maslahi ya Zanzibar kama pale masuala ya mafuta na gesi asilia yalipofikishwa mbele ya Baraza.

Ingawa Uamsho bado haujatoa taarifa rasmi kuhusu sera zake, na ukifanya hivyo utajigeuza na kuwa chama cha kisiasa, viongozi wake hata hivyo, wamekuwa wakitoa mwito kutaka irejeshwe ile iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kwa kupitia kura ya maoni itayowauliza wananchi iwapo wanautaka au hawautaki Muungano.

Ni wazi kuwa viongozi wa Uamsho wanauona huu mchakato wa sasa kuhusu katiba kuwa usio na maana.

Juu ya hayo bado viongozi hao hawakuonyesha njia inayoweza kutumiwa kutimiza lengo la kuirejeshea Zanzibar uhuru wake. Wala hawakuonyesha vipi hiyo kura ya maoni itapigwa na iwapo wataweza kutimiza lengo lao kwa kutumia njia za kidini na mikusanyiko ya kidini bila ya kuwahusisha viongozi wa Zanzibar na wa Muungano.
Kwa kifupi ni kwamba tumewachoka, hatuwataki tena, ondokeni bara
 
Itabidi serikali ifanye mtwara Freeport ili kuua kabisa biashara za hawa watu
 
Sasa Mkuu Nonda ushauri huu si ukawape JUMIKI na audiences wao, kumbuka Mwanakijiji ameshawahi kusema kuwa yeye alikuwa ni mtetezi wa Muungano, lakini alipobaini kwamba JUMIKI hawataki kuona mtu anayetetea Muungano, yeye ameamua kutoa option(kuwasaidia) JUMIKI namna bora za kutokuwa na muungano. Sasa wee unakuja kutwambia kwamba kila anaekuja na rai za kuvunja muungano anakuwa 'sued' au ' detained' then hakuna historia ya kufanikiwa, sasa wale JUMIKI wanafanya kazi gani? wanawapotezea watu muda wao kwenda kuvua samaki ili wapate cha-jio...?
Umenielewa sawa Zinedine.

Pia nisome katika michango mingine niliyotoa. Nimesema kuwa mimi si mmoja ya wanaoamini kuwa UAMSHO wanamkono katika uchomaji wa makanisa. They are framed in order to be silenced.

Nani amefanya hiyo kitu?....Ving'ang'anizi. Kadas zinazopenda kung'ang'ania madaraka ndio zina mkono hapo.

Unawabambikizia UAMSHO dhambi ya kuchoma kanisa. Unaziba mdomo wao kujitia kimbele mbele katika kutaka kura ya maoni na ukarabati wa Muungano, wakati huo huo unapata mtu kama M.Mwakijiji na Nguruvi3 anasema UAMSHO wamechoma makanisa na kuamsha hisia jazba ya waislamu vs wakristo, wazanzibari vs wabara (watanganyika)

Wajanja wameua ndege wawili kwa jiwe moja.

Hii "framing" ikifanikiwa basi nakubaliana na wewe kuwa JUMIKI watakuwa wamewapotezea watu muda wa kuvua samaki. Kama watweza kujipapatua na tuhuma hizi basi watakuwa wamesaidia sana kutika kupata mjadala wa wai na mpana juu ya Muungano.

Ama hayo maelezo mekundu...hapo mkuu mimi Nonda nimetaja uhalisia "fact" tu. Kama ukilijua hulijui hilo na pia kama umekubali kujiunga na Let Zanzibar go! kwa mfumo/staili ya M. Mwanakijiji, Nguruvi3 basi ujitayarishe kwenda all the way ukijua kuwa wote waliojaribu mwanzoni wamekumbana na "maguvu", Tsunami ya ving'ang'anizi.

Hata hivyo niseme kuwa kama M.Mwanakijiji na Nguruvi3 wangeanzisha move kama ya UAMSHO yaani kama watanganyika kuilalamikia Muungano moja kwa moja na sio kuibuka na kuipinga UAMSHO basi hii move ingeoana na ile ya UAMSHO na mkandamizo (pressure) kutoka kundi la Zanzibar na mkandamizo ambao ungetoka kwa uwazi kwa upande wa Tanganyika ungeweza kuibinya Serikali ya Muungano na hapa Serikali wangekuwa hawana njia bali kufungua mjadala wa wazi na mpana wa Muungano na hatima yake.

Tuendelee na mjadala.
 
Nonda,
Hata hivyo, mambo yana pande mbili kuna mazuri na mabaya hivyo ilipaswa JUMIKI waeleze yote then watoe best advisory, Kwani hata M/Mungu ameiharamisha pombe baada ya kubainisha kuwa ina faida na hasara isipokuwa hasara zimeizidi faida. Sasa turejee katika uhalisia wa Muungano, ni kweli hauna hata faida moja, japo hizo faida zizidiwe na mabaya? Lakini kila mchangiaji wa mihadhara ile ni matusi, kashfa, dharau-siyo hivyo, dini haitufundishi hivyo katu, Nonda naamini una element za imaan, so tuwe wakweli kwamba wanachofanya JUMIKI siyo kizuri wao wangelihamasiha watu wakatae Muungano bila matusi, kinyume chake kila anayesimama na kutoa matusi ndiye anayeoonekana mchangiaji mzuri. Kweli, binaadam mwenzio utamwita maji machafu!
Zinedine, tena kinachosikitisha ni kuwa hawa JUMIKI na UAMSHO kila wanapofanya jambo humtanguliza mwenyezi mungu. Ni matarajio ya watu kuwa kile watakachosema, kukosoa, kushaiwshi au kushauri kitakuwa katika kulingania dini.

Sina tatizo na UAMSHO kuongelea siasa hasa muungano. Kama wangefanya hivyo kwa adabu, ilm na heshma kusingetokea tatizo. Utashangaa hawa ni wasomi tena wakitajana kwa nyadhifa za sheikh, kwa bahati mbaya hakuna chochote wanachosimamia katika ukweli, ni wazushi, wafitini na warongo wakubwa.

Taswira inayotokana na UAMSHO kama kikundi uongozi cha kidini inachafua dini sana.
Huu ni ukweli mtu mwenye akili hawezi kuukanusha hata kama atakuwa amemwazima jirani akili kwa nusu saa!

Kwa vile hakuna kizuri kinachotokana na muungano basi tuwape nafasi wapate mazuri kutoka UAMSHO.

Tuna kazi moja tu ya kuwaeleza watanzania au machogo kuwa:
Fadhila zao zinalipwa kwa matusi, kejeli kafsha na dharau!
Tutawaeleza jinsi kodi zao zinavyotumika kwa Zbar na jinsi wao wanavyochukiwa kwa kuzaliwa Tanganyika, kwa imani zao na jinsi gani walivyo duni mbele ya Wzbar.

Tunawaambia kuwa wakiwa maofisini wamekaa na Wbar wakumbuke kuwa wao ni makafir mbele ya Mzanzibar. Kwamba nafasi ya Mzanzibar ni ya vijana wao ambao wamepigwa marufuku ajira visiwani achilia mbali kukimbizwa kwa moto.

Hatuna sababu ya kuvumilia yote haya, tumekuwa taifa na tumepitia mengi. Mwaka 1977 Kenya walitaka tuzame, hatukuzama, mwaka mmoja baadaye 1978 Amini akataka tuzame, hatukuzama, hatuna sababu yoyote ya msingi ya kufikiri kuwa watu laki 9 wanaweza kutuzamisha. Tunapokubali matusi na dharau kwa gharama zetu ni unyoonge wa hali ya juu. Hivi kwanini ulipe umeme kwa mzanzibar anayeamini wewe ni kafir na unastahili moto?

Hatuhitaji serikali 3,mkataba au uhusiano mahususi, tunataka ujirani mwema kama ule wa Uganda, Rwanda na Msumbiji.
Tuwaache wanadamu bora na nchi yao! kila mtu abebe begi lake arejee kwao iwe chogo au wauumini na Wanadamu wa umma bora Wazanzibar.

Hatuna muda tena wa kupoteza ikiwa ni pamoja na rasilimali huku tukiacha watoto na vijana wetu waumie kwa gharama za Mzanzibar! Hatuna cha kupoteza badala yake tunapoteza sana kuwa nao. The time is up!

LET ZANZIBAR GO! PACK AND GO ASAP
 
binafsi sioni tunachonufaika nacho sisib wabara kutoka zanzibar zaidi ya wao kutujazia nafac za ajira za vijana wetu huku, alaf kila siku hawaishi kulalamika,waende kama ni jina tanzania tutachukua hata initialsz za MWANZA
 
sijui umecopy au wewe ndio ulieandika makala gazetini?(gazeti la juzi linatoka mara moja kwa wiki) naomba unitajie faida tano za muungano kwa wabara
 
Umenielewa sawa Zinedine.

Pia nisome katika michango mingine niliyotoa. Nimesema kuwa mimi si mmoja ya wanaoamini kuwa UAMSHO wanamkono katika uchomaji wa makanisa. They are framed in order to be silenced.

Nani amefanya hiyo kitu?....Ving'ang'anizi. Kadas zinazopenda kung'ang'ania madaraka ndio zina mkono hapo.

Unawabambikizia UAMSHO dhambi ya kuchoma kanisa. Unaziba mdomo wao kujitia kimbele mbele katika kutaka kura ya maoni na ukarabati wa Muungano, wakati huo huo unapata mtu kama M.Mwakijiji na Nguruvi3 anasema UAMSHO wamechoma makanisa na kuamsha hisia jazba ya waislamu vs wakristo, wazanzibari vs wabara (watanganyika)

Wajanja wameua ndege wawili kwa jiwe moja.

Hii "framing" ikifanikiwa basi nakubaliana na wewe kuwa JUMIKI watakuwa wamewapotezea watu muda wa kuvua samaki. Kama watweza kujipapatua na tuhuma hizi basi watakuwa wamesaidia sana kutika kupata mjadala wa wai na mpana juu ya Muungano.

Ama hayo maelezo mekundu...hapo mkuu mimi Nonda nimetaja uhalisia "fact" tu. Kama ukilijua hulijui hilo na pia kama umekubali kujiunga na Let Zanzibar go! kwa mfumo/staili ya M. Mwanakijiji, Nguruvi3 basi ujitayarishe kwenda all the way ukijua kuwa wote waliojaribu mwanzoni wamekumbana na "maguvu", Tsunami ya ving'ang'anizi.

Hata hivyo niseme kuwa kama M.Mwanakijiji na Nguruvi3 wangeanzisha move kama ya UAMSHO yaani kama watanganyika kuilalamikia Muungano moja kwa moja na sio kuibuka na kuipinga UAMSHO basi hii move ingeoana na ile ya UAMSHO na mkandamizo (pressure) kutoka kundi la Zanzibar na mkandamizo ambao ungetoka kwa uwazi kwa upande wa Tanganyika ungeweza kuibinya Serikali ya Muungano na hapa Serikali wangekuwa hawana njia bali kufungua mjadala wa wazi na mpana wa Muungano na hatima yake.

Tuendelee na mjadala.

Mkuu Nonda, kwa akili za ki-imaan, hata mimi naamini viongozi wa JUMIKI hawajachoma na wasingelithubutu kuchoma kanisa, lakini kama umeangalia vidio zote au kuhudhuria mikutano ya JUMIKI huwezi kuwatenganisha JUMIKI na uchomaji wa makanisa au kuongezeka kwa chuki za Wazanzibari kwa Watanganyika(ikiwa zimeongezeka). Nahisi kama mkuu Nonda unachangia lakini hukujiridhisha vya kutosha juu ya harakati za UAMSHO namna zilivyopamba moto badala yake umestick kwenye historia ya siasa za CUFvsCCM enzi za Janjaweed, lah, JUMIKI iliwaaminisha, hamasisha, na wataka vijana kujua kuwa:
1. Hali yoyote mbaya ya kimaisha, kiimani au ki-utamaduni inayotokea Zanzibar,chanzo ni Muungano na Watanganyika
2. Watanganyika wamejazana Zanzibar kupita kiasi kuliko "wapemba" walivyojazana Tanganyika
3. Watanganyika wanaung'ang'ania sana Muungano kwa kuwa wanafaidika sana hivyo kuwataarisha vijana "kuwa tayari" kwa nafsi na kwa nguvu kuikomboa Nchi yao, kiasi ambacho walikuwa wanasubiri go ahead tu waanze kufanya chochote
4. JUMIKI iliwaaminisha kuwa Zanzibar haina sifa ya kuwa na Mkristo hata mmoja, kwa kuwa ni Nchi Takatifu na wakristo wote wa Zanzibar wameasili Bara kutokana na Muungano
5. Mapinduzi ya Zanzibar hayakufanywa na Wazanzibari na hayakuwa na sababu yoyote kwa kuwa Zanzibar ilikuwa tayari Huru, hili laweza kuwa kweli lakini tukumbuke kuwa kuna watu wanafahamika kuwa ni "koo za memba wa Baraza la Mapinduzi", na wengi wa wanafamilia zao ziko katika post tofauti za Serikali. Kwa mtizamo wangu hili litaleta mgogoro wa ndani kwa ndani hivyo kusababisha mgogoro mkubwa huko baadaye, JUMIKI wawaambie tu watu wao kuwa Mapinduzi yalikuwa "halali" na yamepita kwani ilikuwa ni sehemu za harakati za ujenzi wa Taifa hivyo kwa sasa tugange yajayo. (Zingatia hili)
6. JUMIKI wawaambie kuwa kuzorota kwa uchumi pia kunasababishwa kwa "spending policy" badala ya "investment spending", kwa kuwaambia kuwa Serikali imeongeza matumizi yake kutokana na ukubwa na maboresho ya service scheme za Serikali katika kipindi baada ya serikali ya umoja wa kitaifa tu, pasipo kuanza na hatua za kuwekeza mipango ya muda mrefu ya ku-offset kitakachojitokeza. Hii imefanya kusiwe na uwezo mkubwa wa kusimamia huduma za kijamii kutokana na mzigo huo, twapasa tulijue hili!
JUMIKI wawaambie watu wao waendelee na utaratibu wa kuvumiliana baina ya watu wa dini tofauti ikibidi wapate wawakilishi kutoka Jumuiya za Kikristo zilizoko Zanzibar katika harakati za kutaka kuvunja Muungano, ili jamii hii isione baada ya kuvunjika Muungano, then wao watakuwa "setback". Na hili litaondoa dhana kuwa harakati zinazoendelea ni za Uislamu v/s Ukiristo, Utanganyika,.
7. Waambie watu wao kutoa equal treatment kwa either Mtaliana, Mwingereza, Mtanganyika, Mkenya nk katika uharibifu wa Tamaduni za kizanzibari badala ya kuwa-classify watanganyika tu ndo waharibifu wa hayo lakini wataliana safi.
8. JUMIKI waje na 'alternative measures' za kujenga na kuendeleza Uchumi wa Zanzibar kutoka "Tourism-led economy" kwenda huko watakapopendekeza kwani, utalii ni miongoni mwa tools za kueneza utandawazi ambao kwa kiasi kikubwa always uko against na Dini(zote).
9. Wawaandae wazanzibari walioko Tanganyika kufanya 'mass capital and investment shift' kutoka Tanganyika kuja Zanzibar ili kuondoa economic imbalance itakayotokana na retaliation itakayosababishwa na kuvunjika kwa muungano, maana retaliation lazma zitakuwepo tu.

Nitarudi wacha ninywe chai kwanza naona kijua kinazidi kukaza hapa.
 
very interesting Zinedine hapo mwishoni hapo sijaelewa , unamaanisha nini kusema wawaandae wazanzibar kufanya mass capital
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nonda, kwa akili za ki-imaan, hata mimi naamini viongozi wa JUMIKI hawajachoma na wasingelithubutu kuchoma kanisa, lakini kama umeangalia vidio zote au kuhudhuria mikutano ya JUMIKI huwezi kuwatenganisha JUMIKI na uchomaji wa makanisa au kuongezeka kwa chuki za Wazanzibari kwa Watanganyika(ikiwa zimeongezeka). ....Nitarudi wacha ninywe chai kwanza naona kijua kinazidi kukaza hapa.

Ukimaliza kunywa chai pitia hii link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-umoja-hatarini-kuvunjika-wakati-wowote.html

Wachomaji makanisa hutaki kuwataja, unawajua.
Unawaogopa au una hisa nao? Una ubia nao?
 
unaandika hapa jf waambie hao maaskofu wako wafanye mihadhara waseme maneno haya
sie hatuhitaji maaskofu na sio wote ni wakristo, sie wabara ni mchanganyiko hadi kwenye familia zetu wengine wakristo wengine waisilamu na tunapendana sio kama nyie wapuuzi msio na akili kutumia dini kwenye siasa. Nyie subirini tu dawa yenu inakuja. Unakumbuka kilichotokea siku ile mtikila alipohutubia jangwani ????? Basi jue yanajia soon./ msidhani tunawapenda, kama idd am,ini aliweza fukuza wahindi basi sioni kazi siku tukiamua wapemba wachche waondoke kariakoo na ilala kwa sababu tunazitaka sehemu zetu za biashara. Narudia tena hatuwataki tokeniiiiiii!
 
unaandika hapa jf waambie hao maaskofu wako wafanye mihadhara waseme maneno haya
sie hatuhitaji maaskofu na sio wote ni wakristo, sie wabara ni mchanganyiko hadi kwenye familia zetu wengine wakristo wengine waisilamu na tunapendana sio kama nyie wapuuzi msio na akili kutumia dini kwenye siasa. Nyie subirini tu dawa yenu inakuja. Unakumbuka kilichotokea siku ile mtikila alipohutubia jangwani ????? Basi jue yanajia soon./ msidhani tunawapenda, kama idd am,ini aliweza fukuza wahindi basi sioni kazi siku tukiamua wapemba wachche waondoke kariakoo na ilala kwa sababu tunazitaka sehemu zetu za biashara. Narudia tena hatuwataki tokeniiiiiii!

 
sie hatuhitaji maaskofu na sio wote ni wakristo, sie wabara ni mchanganyiko hadi kwenye familia zetu wengine wakristo wengine waisilamu na tunapendana sio kama nyie wapuuzi msio na akili kutumia dini kwenye siasa. Nyie subirini tu dawa yenu inakuja. Unakumbuka kilichotokea siku ile mtikila alipohutubia jangwani ????? Basi jue yanajia soon./ msidhani tunawapenda, kama idd am,ini aliweza fukuza wahindi basi sioni kazi siku tukiamua wapemba wachche waondoke kariakoo na ilala kwa sababu tunazitaka sehemu zetu za biashara. Narudia tena hatuwataki tokeniiiiiii!


umelewa chili sossi wewe, tizama unachokiandika hata hukijui ,"sie hatuhitaji maaskofu na sio wote ni wakristo, "KAZI IPO !!!

huyo mtikila alikuwa anafaya nini hapo jangwani ??? AKICHEZA MDUNDIKO ???

nenda kacheze mdako na watoto wenzako , bado hujawa na uwezo wa kuandika humu jf
 
umelewa chili sossi wewe, tizama unachokiandika hata hukijui ,"sie hatuhitaji maaskofu na sio wote ni wakristo, "KAZI IPO !!!

huyo mtikila alikuwa anafaya nini hapo jangwani ??? AKICHEZA MDUNDIKO ???

nenda kacheze mdako na watoto wenzako , bado hujawa na uwezo wa kuandika humu jf
hahaah kamwewe hebu niombe radhi haraka kabla sijaandamana, huwezi kuniita mtoto. ebo!
 
hahaah kamwewe hebu niombe radhi haraka kabla sijaandamana, huwezi kuniita mtoto. Ebo!

unakuja na mengine, hivi hujioni tu namna unavyoandika , nimekuambia kacheze mdako wacha watu wazima wajadiliane usitupotezee muda
 
Ukimaliza kunywa chai pitia hii link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-umoja-hatarini-kuvunjika-wakati-wowote.html

Wachomaji makanisa hutaki kuwataja, unawajua.
Unawaogopa au una hisa nao? Una ubia nao?

Nonda, busara mara nyingi iko proportional na umri, sasa wee mbona unataka kuprove-tofauti. Mi ni mfuatiliaji mzuri wa thread zako kwa kuwa sometimes zinanijenga. Sasa vipi siku hizi tena? Maneno na matendo vyote vinachukiliwa kama sehemu ya ushahidi hata mahakamani. Nimesema, mimi simjui wala sitaki kumjua na wala sina hisa nao, Lakini nimesema kuwa hata kama aliyechoma kanisa ni mkristo mwenyewe, lakini asingelichoma kama kusingelikuwa na mazingira ya kumrahisishia kuchoma, ni JUMIKI hili halikwepeki. Kuhusu link uliyoniwekea mi naona yooote yalioelezwa mule, majibu yake yanapatikana katika aya hii hapa chini. Mengine yote ni utashi wa Mwandishi.

"Chukua CD za mihadhara ya Uamsho; chukua CD za hiyo mikutano mitano ya CCM; halafu ziweke hadharani watu waone na kusikiliza. Waache waamue ni nani aliyechochea vurugu," ameeleza Vuai kwa sauti ya upole.

Pia ujue kuwa waandishi wetu walio wengi hawako HURU; hawako huru kwa Serikali, hawako huru kwa vyama, hawako huru kwa DINI na pia hawako huru kwa utashi-(What they thought is what they write, they don't care about fact and they forget even their commonsense!)
 
Back
Top Bottom