Leta experience yako na ushuhuda kuhusu baadhi ya wadada wa kazi (housegirls) na vitendo vya kishirikina


Aisee mzee ukijisahau unaongia mkenge mbona!
 

Umeongea kwa uchungu na kashfa juu! Anaebakwa unamjua wewe? Ila asante kwa maoni yako.
 
Mimi kwangu nope wadada wakazi wakwangu wanatoka kwetu kwa kweli.
Ila mie nikiwa mdogo dada wakazi alinipa sumu ya pinki kwenye uji na bado mchicha na ilikuwa silent killer kisa kamkosa dingi . Alifukuzwa na kaenda kwao hiyo hiyo siku .
Mwingine anakojoa usiku .
Mwingine hanawi mikono baada ya kwenda haja zote yaani acha tu.
Kuna kijana alikuwa mlokole .
Anaomba ruhusa anaenda mkesha kimbe kugundua wanaenda kulana mpaka basi tulishika condom kumbana akajulikana wanakulana mkesha makubwa πŸ˜‹πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€” basi tu.
Huyu nyumbu wangu hana lolote ni zoba tu kazalisha watu wote mjini.
Kabakisha ndugu zake.
Ila wadada wakazi hawana chochote kwake yeye nje asione jamboo kasimamia ukucha.
Tupogi tu kwa raha zetu. Tunasonga hivyo hivyo kijeda.
Ila niliteswaga na wafanyakazi mie ndio victim wao kabisa .
 
Ila mtoa mada unashida sana .
Samahani lakini mie nakuomba uwe mtu mzima .

1. Usipende kumdharau mwanadamu maana hujamuumba .
Mkeo anatofauti gani na msichana wawatu wote wanamanyonyo,matako,ngozi,kucha na kila kitu kama mwanamke .

2.kwa tabia yako kama uliyoko nayo usipobadilika itakuletea shida .
Unamadharau kama wewe ni malaika sio fresh kunasiku utakwama wale uliowadharau ndio wasaidizi wakubwa huna hata hayaaa unakipi mpaka umdharau mwanadamu Mungu aliyemuumba?
Nani kakupa hiyo haki???

Unakera sana unamambo sana lidudu lenyewe limechoka mpaka unampa kila mtu .
Ikute wewe mwenyewe nikituko .
Eti ulogwe kwalipi unatumia carolite mwanaume na mkeo atatumia ninj.

Eti ulimpiga kabinti kawatu wala humjakuta lolote hii ni wewe tu ili aondoke eti wife ndio anakulipia mgegedo kila mwezi huna hata haya .

WANAUME WENGINE KICHEFU CHEFU KABISAAAA .
KABLA YAHUU UZI JINGALIE HUKO CHINI KAMA WEWE UNAKASORO GANI.
MAANA NYIE NI WALE MNAJIONA ILA UKIANGALIA KWA MAKINI ZEROOOO.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Rewedi mi ni buashee nakusalimia.
 
Daaah ndiyo kali ya mwaka nimecheka sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜
 
Anaekuja kuleta nongwa ni mama watoto tu hapo. Ataanza kuleta visababu hadi aondoke
 
Mngekufa mafala nyie mseme mmelogwa
 

Pole kwa maswahibu ya hawa wadada!
 

Mbona unapanick tena?? Kwenu hamna wanaume weupe mpk wapake carolite? Mimi ni mwanaume mwenye asili ya weupe ukiangalia watu wengi tuliotoka maeneo ya kaskazini ndio rangi zetu na wife au mwanamke yyt nnaempenda mm ni mwenye rangi nyeusi au brown hivyo weupe sio priority kwangu jua hilo!

Nimdharau kwa sababu zipi? Mbona wasichana wenzie waliofanya kazi kwangu mpk wanafikia hatua wanaolewa kwangu sikuwadharau?? Hvy ni tabia zake ndio zimefanya nimemdharau.

Ukite mtu anapractice ushirikina utamchekea?? Km ww utaweza sawa ni ww ila mi siwezi.

Km ww ndio unamlipiaga mgegedo mmeo basi ni ww sio mwanaume km mm..na km umepata mwanaume zero pole sio wote tuko hivyo hivyo dada yangu mpendwa hasira za mwanaume wako usituvike wote.
 
Kwa umekubali aendelee kusimamia kucha nje

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mie simlipii mume wangu mgegedo ni wako analipa mgegedo mume wangu mie wala hanipi stress kwasababu anamipaka naongea tu hivyo ujue tu.
Hata kama ni malaya hawalali mahouse girl πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .
Sijawahi kumfumania au mdada aniambie wewe unaokota hadi vinuka mkojo.
Unajitaji maombi kwa hili.
Unalogwa hadi na mahouse girl wewe michepuko yako inaonekana inatisha .
Kwetu wote maji ya kunde wala carolite hatupaki kama wewe.
Siwezi kupigana na wewe ukikoment sijibu mie na majukumu ya familia yangu siwezi kukuadd na wewe kwenye shida zangu
 
Nilimpata mmoja tokea pande za biharamuro

Huyu alikuwa km kishetani ndani ya miez 2 kaharibu fridge guard, kapasua TV, kaangusha pass ikaharibika, kaharibu jiko..vyote nikamvungia

Nilikuja kushindwa baada ya kumkuta na chupa ya plastik yenye maji ya njano

Namuuliza hiki Nini??? anasema ni mkojo,. Lkn Cha ajabu haukua na harufu ya mkojo,

nikamuuliza kwa nn ukojoe kwenye chupa na choo kipo ndani? Kabaki ananitumbulia macho

Hapo ndo nilisema bas nikampandisha gari kesho yake asbh akarudi kwao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyoo my dear ili mradi anaheshimu kwake , twala ,twafurahia na sipigwi mume akikupa utakachoo basi yote maisha kweli na raha nakerekwa na kimoja na ndio mapungufu wake .
Safi sana, songa mbele na ndoa yenu itadumu kama msimamo wako ndivyo ulivyo.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…