Mzize ANAJUA KUTOA ASSIST NA KUTENGENEZA NAFASI kuliko kufunga.akili inatakiwa kutumika unapokaribia goli au mwenzio akiwa kwenye nafasi umpasie. hiyo ndio akili ya mpira inayoweza kuwa inamiss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzize ANAJUA KUTOA ASSIST NA KUTENGENEZA NAFASI kuliko kufunga.akili inatakiwa kutumika unapokaribia goli au mwenzio akiwa kwenye nafasi umpasie. hiyo ndio akili ya mpira inayoweza kuwa inamiss.
azam ni timu kubwa 😂😂, kuwa serious na mpira wa tff.Kama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
for sure, right time at a right place doing a right thing at minium capacity .wote, mzize na kibu sio wachezaji mahiri ila wana bahati. ni wale watu hawatumii akili, wanatumia nguvu. period.
kama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.akili inatakiwa kutumika unapokaribia goli au mwenzio akiwa kwenye nafasi umpasie. hiyo ndio akili ya mpira inayoweza kuwa inamiss.
Azam ni timu kubwa?Kama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
wewe unachukuliaje mchezaji amekokota mpira umefika hadi ndani ya eneo la penati, halafu anapiga kwa haraka unatoka nje au anapiga shuti dogo, badala ya either kulenga kama anaona possibility ya kufunga, au kama hakuna possibility ya kufunga azuge kidogo apate penati, au atoe pasi. wao wakikaribia goli tu ni shuti bila kufikiria hayo. chama ni mfano mzuri wa watu wanaotumia akili, na pacome.for sure, right time at a right place doing a right thing at minium capacity .
Ungekua na akili ungeweza kutofautisha kati ya scorer na schoolerkama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.
Mzize kazi yake ni kuwasumbua mabeki kufunga ni bahati nasibu nadhani kwa unri wk anahitaji uzoefu tuBasi ile ofa ya mil400 tunaituma kwa kibu denis. Aya umefurahi?
Taja timu nne kubwa hapa Tanzania.Azam ni timu kubwa?
Nne au tatu?Taja timu nne kubwa hapa Tanzania.
Nne tu.
Schooler na mpira vinaingilianaje?kama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.