LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
- Thread starter
- #41
Hahahhaha chief hapa hamna alozungumzia usawa wa kijinsia jmn...Hii mijadala inabidi uassume kua mwanaume na mwanamke wako sawa kwenye Kila kitu ndio unaweza kuchangia.
Kwa tunaoamini mfumo dume this is an insult kujadili.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume naona mnakwepa makosa yenu mnajificha kwny mfumo...haibadili makosa
Mnayoyakwepa yapo katika jamii