Lets tak about SINGLE FATHERS...

Lets tak about SINGLE FATHERS...

Aaa hili povu nitakunyima kuchimba maji we mwanaume.
Ha ha ha ha.
Mimi Kama nakuoa inamaanisha you are my subordinate.
Utakachokikuta kwangu na utakacholetewa ukubaliane nacho.
Kama hukubaliani nacho sepa.

Natafuta mahari, familia nalisha aafu tunataka tuanze kulinganishana!
Wanawake nao wawe wanaoa Basi ili wachague.
Hatuwezi kuanza kujadiliana eti mwanaume naye asikutwe na mtoto wakati yeye ana uwezo wa kuoa hata mara kumi. Provided anaweza kuitunza hiyo familia.
Ukimkuta na mtoto maana yake hao walikuwa wake zake, wakashindwa masharti wakasepa.
Na wewe ukiona huwezi sepa hata kabla hujazaa. Maana hautakuwa wa mwisho.
Mwanamke mimi ndio namchagua, ni lazima aendane na ninachokitaka.
Sio nikubaliane tu na kilichopo kwa kuwa yeye kaamua hivyo. No.
Sasa we mwanamke kashakuwa na mume(aliyezaa naye) aafu anataka kuwa na mume wake peke yake!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wameumbwa kuwa na mtu zaidi ya mmoja.
Ndio maana tangu hata agano la kale mwanamke muuzaji anaitwa kahaba lakini mwanaume mnunuaji hana jina.
Na hasemwi.

Mimi nikizaa kabla ya ndoa mwanangu namtunza ila wanawake wanataka wanaume watakaowaoa ndio wawalelee hao watoto.
Nani anakuwa na makosa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona ndoa ni ya mke na mume mmoja...
Naelewa mfumo dume ni wa Mungu mwenyewee
Wanawake wanaibia tuu kuwakalia kichwani lol
 
Mleta mada, single dadi ni wachache sana wanaume wengi wanatelekeza watoto, ila nawapa hongera hao single haijalishi ulioa, mwenza amefariki,umetelekezewa amekukimbia, talaka ila kitendo cha kuwalea watoto au mtoto kwa asilimia zote ni uanaume.

Binafsi ninaona ni bora zaidi mtoto alelewe na baba kuliko kumpeleka kwa bibi, mtoto akose malezi na mapenzi ya mama hata baba pia?

Lets give them courage.
Nakuambia mwanaume mpaka akutelekezee mtoto unakuwa umemzingua Sana.
Wapo lakini sio wa kusema wametelekeza watoto.
Tunaendelea kulea huko waliko na mama zao sema huwa hatutangazi ndio maana maneno ya wanawake ndio yanasikika wakilalamika.
Na wanawake wengi wanakataa kuwaachia watoto kwa baba zao ili wawe daraja la kumsumbua huyo mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kibongo bongo SINGLE MOTHERS NDIO KIKI, SINGLE FATHERS AINT A BIG DEAL.....
 
Mbona povu chief...
Hamna alosema mtu asikutwe na mtoto, Kwa sbb mtoto kabla ya ndoa ni situation tuu ya tendo la siku moja...hujui ktk kuchagua Dada anaweza sema No sikutaki na uchaguzi wako ukaishia hapo...

Ni kweli ktk familia mwanaume yuko juu but beware of the technicalities...maisha ya kileo kuna mabadiliko flani na maadamu unaona mtu mzima mwenzio mwenye free will lolote laweza tokea Omba Mungu tu
Otherwise Mke awe mwelewa mnoo na hekima sana na we usimvuruge
Ukitaka mke akusaidie majukumu yako ndio mnaanza kusumbuana.
Kilichobadilika kwa wanawake Ni kusoma tu.
Lakini bado Ni wale wale.
Tunawaoa
Tunatunza familia nk.
Labda wanaume ambao wamehamia upande wa wanawake.
Ndio maana unakuta mwanauna anaongelea kitu na kutetea side ya ke.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko hapa Mimi ni Single father!Na hii ilikua baada ya mama wa mwanangu kufariki kwa ajali tukiwa kwenye mchakato wa harusi!

Toka hapo naishi na mwanangu na dada wa kazi ambae pia tuna undugu

Na hili suala linanipa uzito kidogo kuhusu kuoa kutokana na ni ngumu sana kumpata mwanamke ambaye atampenda mwanangu kama mama yake kabisa!
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazima wote?...
Naona mada ama 'stigma' ya hali ya juu kuhusu Single Mothers....
Leo labda tujadili upande wa pili wa shilingi

Mwanamke/Wanawake unawachukuliaje Single Fathers?Ni wakosefu wa adabu/maadili kuzaa kabla ya ndoa au wana roho njema kutunza watoto?
Unaweza kataa mwanaume kwa sababu ana mtoto kabla ya ndoa?
Huwa unajiuliza kwanini hajamuoa Baby Mama wake?..
Unaweza lea kwa mapenzi na usawa mtoto asie wa kwako?.
Vipi kuhusu mawasiliano na Mzazi Mwenzake?unachukuliaje na umejipangaje
Ukishapata na watoto wako je?..

Why Jamii inamuadhibu vikali mwanamke kuzaa kabla ya ndoa na si mwanaume?..

Karibuni Kuongezea points....nahimiza michango ya kujenga na mifano hai...kauli mbaya mjitahidi zisiwepo

Nawasilisha
Mwanaume hazai madam, get your facts straight.
 
Afadhali Leo wamekumbukwa Hawa masingle father tena Hawa ndo wakaumiwa wanapooponda masingle Maza wakati Ni wao wamezaa hapa na pale
.
Kikubwa Ni kujali watoto mliozaa huko
Japo wengi wao mishipa ya haya ilishakatika wanajikausha tu Wala hawajali.Ngoja historia Ya Baba wa Diamond ijirudie
 
Afadhali Leo wamekumbukwa Hawa masingle father tena Hawa ndo wakaumiwa wanapooponda masingle Maza wakati Ni wao wamezaa hapa na pale
.
Kikubwa Ni kujali watoto mliozaa huko
Japo wengi wao mishipa ya haya ilishakatika wanajikausha tu Wala hawajali.Ngoja historia Ya Baba wa Diamond ijirudie
Tofauti ya mwanamume na mwanamke inakiwa wazi kwa thread kama hii. Mwanamume analalamikiwa kutotoa matunzo, mwanamke anaonywa kutozaa nje ya ndoa!!
 
Niko hapa Mimi ni Single father!Na hii ilikua baada ya mama wa mwanangu kufariki kwa ajali tukiwa kwenye mchakato wa harusi!

Toka hapo naishi na mwanangu na dada wa kazi ambae pia tuna undugu

Na hili suala linanipa uzito kidogo kuhusu kuoa kutokana na ni ngumu sana kumpata mwanamke ambaye atampenda mwanangu kama mama yake kabisa!
POLE MKUU,ila nawewe inabidi hapo umpate single mom labda inaweza kupunguza makali..
 
Shukrani Mkuu kwakunitia moyo na wala usijali kuhusu maandiko mi mwenyewe ni wa upande huo huo!

Natambua kweli ipo siku dada yake naye atahitaji kuwa na familia yake,na ukweli nimeshajaribu kuingia kwenye mahusiano kadhaa lakini pale ninapooana ninayekua na mahusiano naye hana mapenzi na mwanangu huwa uhusiano haufikagi mbali,

Naendelea kumuomba Mungu naamini ipo siku atanijalia mke mwema!
Mkuu tuko wote. Isikupe tabu tafuta pesa utaishi vizuri na mwanao
 
Single father uwe na hela tu na umpende na kumjali mwanao. Basi.
 
Back
Top Bottom