TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

BIGURUBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
6,748
Reaction score
4,252
Wakuu salam, nauza tv yangu mpya brand LG size 43 model ya 2019, ni tv ya kisasa sana, Ina features zote mhimu km internet, Netflix, YouTube na nyingine Nyingi km zilivyo tv za kisasa.

Tv nilinunua mwaka huu kwa 1.300.000
Bei ya sasa Dukani ni 1.250.000 hii ni bei ya Mlimani city.
Bei ni 850.000.

Nauza sababu nimenunua kubwa zaidi ya hii.
Kwa anaehitaji nicheck pm au call 0764931111

IMG_3519.jpg

a78160e7-80c4-4d80-b6f4-82c9b1e58ae0.jpg
 
bei unayouza saivi ndio bei ya mpya k.koo,wewe huko m city ulienda mtafuta nani?

Ruksa nenda kanunue karaoke boss, Kila mtu ana test yake.
Ila huwezi Kupata original LG smart tv 43 kwa chini ya 1.200.000.
Hii hapa chini ni bei ya Jana Mlimani city 19/11
IMG_3641.jpg
 
LG 43” unalipaje 1.3M, kweli nchi hii ni tajiri!

Kanunue wewe iliyo chini ya bei hiyo.
Ila nakuhakikishia hupati, labda zile zisizo na internet model ya 2018 kurudi nyuma!
Au km ni fake za kariakoo
 
Brother ruksa kanunue popote original model ya 2019 kwa bei chini ya hiyo. Sio lazima Mlimani City
Mkuu naheshimu mfuko wako na preferences zako. My point is, wewe kununua product mlimani city kwa bei fulani siyo kwamba hiyo bei ndo yenyewe. Unaweza kupata the same product, the same quality at a cheaper price sehemu nyingine. Usijifunge kwamba vya mlimani city pekee ndo vizuri na bora.
 
Brother Uko sahihi sana, kuna vitu viwili huwa nazingatia kabla ya kununua bidhaa.
Kwanza nafanya window shopping kuangalia tofauti ya bei.
Pili naangalia sehemu ya kununua products ambako ni hustle free especially km ni fake na warrant.
Before sijanunua hii tv nilienda Nkrumah street kwa Mo ambae ni supplies was hizi tv zote, nilikuta bei ni 1.300.000. Nikaenda kariakoo nikazunguka nikakuta mpaka 750.000 wanauza nikagundua ni fake.
Nikaenda Mlimani city nikanunua kwa bei ya kwa MO.
The reason ni kuwa jamaa walinipa na warrant plus wana service center
 
Brother Uko sahihi sana, kuna vitu viwili huwa nazingatia kabla ya kununua bidhaa.
Kwanza nafanya window shopping kuangalia tofauti ya bei.
Pili naangalia sehemu ya kununua products ambako ni hustle free especially km ni fake na warrant.
Before sijanunua hii tv nilienda Nkrumah street kwa Mo ambae ni supplies was hizi tv zote, nilikuta bei ni 1.300.000. Nikaenda kariakoo nikazunguka nikakuta mpaka 750.000 wanauza nikagundua ni fake.
Nikaenda Mlimani city nikanunua kwa bei ya kwa MO.
The reason ni kuwa jamaa walinipa na warrant plus wana service center
TV LG fake?
We jamaa
 
Brother Uko sahihi sana, kuna vitu viwili huwa nazingatia kabla ya kununua bidhaa.
Kwanza nafanya window shopping kuangalia tofauti ya bei.
Pili naangalia sehemu ya kununua products ambako ni hustle free especially km ni fake na warrant.
Before sijanunua hii tv nilienda Nkrumah street kwa Mo ambae ni supplies was hizi tv zote, nilikuta bei ni 1.300.000. Nikaenda kariakoo nikazunguka nikakuta mpaka 750.000 wanauza nikagundua ni fake.
Nikaenda Mlimani city nikanunua kwa bei ya kwa MO.
The reason ni kuwa jamaa walinipa na warrant plus wana service center
Mie nnayo LG smart inch 55 na nilinunua kariakoo na niko nayo mwaka wa pili sasa na ni kitu Original mkuu, kariakoo sio kila kitu ni fake bra.
 
Ipo TCL 43 smart tv ipo tuu imekaa Haina kazi yani ipo Arusha mwenye hela alete tukanywee bia Mana ndo kilichobaki mwisho wa mwaka huu.

Leta 750,000/=
 
Ipo TCL 43 smart tv ipo tuu imekaa Haina kazi yani ipo Arusha mwenye hela alete tukanywee bia Mana ndo kilichobaki mwisho wa mwaka huu.

Leta 750,000/=

Acha kulinganisha hiyo takataka na LG aisee[emoji706]
 
Back
Top Bottom