BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,252
Wakuu salam, nauza tv yangu mpya brand LG size 43 model ya 2019, ni tv ya kisasa sana, Ina features zote mhimu km internet, Netflix, YouTube na nyingine Nyingi km zilivyo tv za kisasa.
Tv nilinunua mwaka huu kwa 1.300.000
Bei ya sasa Dukani ni 1.250.000 hii ni bei ya Mlimani city.
Bei ni 850.000.
Nauza sababu nimenunua kubwa zaidi ya hii.
Kwa anaehitaji nicheck pm au call 0764931111
Tv nilinunua mwaka huu kwa 1.300.000
Bei ya sasa Dukani ni 1.250.000 hii ni bei ya Mlimani city.
Bei ni 850.000.
Nauza sababu nimenunua kubwa zaidi ya hii.
Kwa anaehitaji nicheck pm au call 0764931111