TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

Kuwa mkweli,haiingii akilini ununue TV then fasta unaibadilisha,maana ulikuwa na ndoto muda mrefu wa kununua LG 43" iweje ghafla ubadili maamuzi? Kama sio nzuri si vizuri kumpa msala mwenzako.

Aliekwambia ghafla ni nani?[emoji2379]
 
Mie nnayo LG smart inch 55 na nilinunua kariakoo na niko nayo mwaka wa pili sasa na ni kitu Original mkuu, kariakoo sio kila kitu ni fake bra.

Sijasema Kila kitu kariakoo ni fake.
Mhimu ununue kwa genuine suppliers plus jiridhishe ubora wake.
Otherwise too much risk kununua kariakoo
 
Kuwa mkweli,haiingii akilini ununue TV then fasta unaibadilisha,maana ulikuwa na ndoto muda mrefu wa kununua LG 43" iweje ghafla ubadili maamuzi? Kama sio nzuri si vizuri kumpa msala mwenzako.

Kachanganyikiwa huyu, itakuwa wana wamemsanua kuwa amepigwa.[emoji23]

Haiwezekani LG anayoiita orijino ina warrant ya 12 months![emoji15]
 
Mie nnayo LG smart inch 55 na nilinunua kariakoo na niko nayo mwaka wa pili sasa na ni kitu Original mkuu, kariakoo sio kila kitu ni fake bra.
Fake inategemea na wewe mwenyewe umeingiaje. Ukitaka kitonga lazma upewe famba kulingana na pesa yako. Black nigga gotta eat!
 
Niliweka ofa ya 500k, sitaki tena ngastuka... machale gundesa.

Hiyo 1 year warranty na service centre unayovimbia si imeshaekspaya?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] We Jamaa, Kuwa Na Huruma Basi
 
Wee mbishi sana na hutoweza kuuza hiyo TV as teyari nishagundua hujui kuuza kitu....Jidanganye tu kuwa M.City ndio wanauza genune products only.

[emoji3] Sema Kweli
 
Fake inategemea na wewe mwenyewe umeingiaje. Ukitaka kitonga lazma upewe famba kulingana na pesa yako. Black nigga gotta eat!
Sielewi brand product inakuwaje fake au wanawambwa ambazo ni unboxed? Sielewi kabisa aiseee...sema kuna products za kichuro ambazo hazidumu ila si tv fake aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom