TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

Umeandika riwaya bila point hata moja.
Nimekwambia fanya survey ukiona zipo za bei chini ya hapo Njoo toa ushuhuda hapa mm nitakupa 100k bure kabisa.
Nisipotekeleza hasi moderator wanipe ban.
Kuna jamaa wamekwambia huko kariakoo n 850k, Pili mliman city n kwa watu maalum waliokusudiwa Yan Wana kipato kikubwa pili gharama za kufanya Biashara n kubwa ndomana samaki samaki Kilimanjaro lager inavyouzwa na kwa mangi Bei n tofauti Sana acha ligi zinazokudhalilisha
 
Kuna jamaa wamekwambia huko kariakoo n 850k, Pili mliman city n kwa watu maalum waliokusudiwa Yan Wana kipato kikubwa pili gharama za kufanya Biashara n kubwa ndomana samaki samaki Kilimanjaro lager inavyouzwa na kwa mangi Bei n tofauti Sana acha ligi zinazokudhalilisha

Hui sio Mfano halisi.
Nimesema hivi atakaeonesha sehemu wanakouza tv model km hii yangu popote Tz bei chini ya 1.200.000 aje hapa nitampa 100k.
Tunabishana nini zaidi ya porojo tu[emoji2379]
 
Ruksa nenda kanunue karaoke boss, Kila mtu ana test yake.
Ila huwezi Kupata original LG smart tv 43 kwa chini ya 1.200.000.
Hii hapa chini ni bei ya Jana Mlimani city 19/11View attachment 1630697
Bei za bidhaa zinategemea pia na eneo bidhaa hizo zinapouzwa, mfano: Chupa 1 ya bia zinazofanana kwa kila kitu inaweza kuuzwa bei kwenye hoteli za kitalii, lakini ikauzwa kwa bei ya chini kwenye kibanda cha Mangi. Bei za bidhaa za mlimani city huwa zinajumuisha mambo mengi yanayotokana na mazingira ya mlimani city, mambo kama kodi, usalama, hustle free environment, etc.,. Kwahivyo, unaponunua bidhaa mlimani city kwa gharama ya juu, sio lazima imaanishe kwamba bidhaa hiyo ina viwango bora zaidi ya zile za kariakoo, au endapo utanunua bidhaa hiyo hiyo kariakoo kwa bei ya chini, haimaanishi kwamba bidhaa za kariakoo zina viwango hafifu. Na kwa vyovyote vile, bei za Mlimani city zinaweza zisiwe ndio bei msingi za soko.
 
Aliekwambia ghafla ni nani?[emoji2379]
Mpaka uiuze utakoma maana hizi hoja humu ni full mzuka.

Watu wabala ya kujadili kama wanaitaka au la wao wanahoji kwa nini ulinunua Mlimani City...

JF sitoki
 
Bei za bidhaa zinategemea pia na eneo bidhaa hizo zinapouzwa, mfano: Chupa 1 ya bia zinazofanana kwa kila kitu inaweza kuuzwa bei kwenye hoteli za kitalii, lakini ikauzwa kwa bei ya chini kwenye kibanda cha Mangi. Bei za bidhaa za mlimani city huwa zinajumuisha mambo mengi yanayotokana na mazingira ya mlimani city, mambo kama kodi, usalama, hustle free environment, etc.,. Kwahivyo, unaponunua bidhaa mlimani city kwa gharama ya juu, sio lazima imaanishe kwamba bidhaa hiyo ina viwango bora zaidi ya zile za kariakoo, au endapo utanunua bidhaa hiyo hiyo kariakoo kwa bei ya chini, haimaanishi kwamba bidhaa za kariakoo zina viwango hafifu. Na kwa vyovyote vile, bei za Mlimani city zinaweza zisiwe ndio bei msingi za soko.

Sasa hapa sijui nn hakieleweki.
Nimesema hivi tafuta popote tv ya aina hii inapouzwa chini ya 1.200.000 Njoo na vielelezo hapa mm nitakupa laki moja bure kabisa!
Suala la Mlimani city linakujaje hapo?
 
Mpaka uiuze utakoma maana hizi hoja humu ni full mzuka.

Watu wabala ya kujadili kama wanaitaka au la wao wanahoji kwa nini ulinunua Mlimani City...

JF sitoki

Wanaohoji hilo suala ni majuha!
Swali la kipuuzi kabisa.
 
Sawa.

Mwezi uliopita nimenunua LG Smart TV nchi 49 yenye 4K resolution kwa mtu anaitwa Jaden Home Store kwa 1,250,000 tsh.

Nadhani kwa bei yako si mbaya sana kwa mtu asiyeyajua mazimbo.
 
Sasa hapa sijui nn hakieleweki.
Nimesema hivi tafuta popote tv ya aina hii inapouzwa chini ya 1.200.000 Njoo na vielelezo hapa mm nitakupa laki moja bure kabisa!
Suala la Mlimani city linakujaje hapo?
Nadhani Mkuu, wewe ndio huelewi ambacho wadau wanajaribu kukufahamisha. Kimsingi wadau wanajaribu kukueleza kwamba:


1.Bei unayouza hio TV ni kubwa kulingana na bei ya soko, hasa kwa kuzingatia tayari hio TV ni USED.

2. Vielelezo ulivyovitoa kuhusu bei ya hio TV mlimani city, havina msingi. Wadau wanakueleza kwamba bei ulionunua hiyo TV hapo mwanzo ulipigwa, na haikuwa bei halisi ya soko.

Kwenye bandiko langu hapo juu, nimejaribu kukufafanulia kwanini bei ya bidhaa za mlimani city inaweza kuwa juu ya bei halisi ya soko, na si kweli kwamba bidhaa zinazouzwa mlimani city ndio bora zaidi.
 
Nadhani Mkuu, wewe ndio huelewi ambacho wadau wanajaribu kukufahamisha. Kimsingi wadau wanajaribu kukueleza kwamba:


1.Bei unayouza hio TV ni kubwa kulingana na bei ya soko, hasa kwa kuzingatia tayari hio TV ni USED.

2. Vielelezo ulivyovitoa kuhusu bei ya hio TV mlimani city, havina msingi. Wadau wanakueleza kwamba bei ulionunua hiyo TV hapo mwanzo ulipigwa, na haikuwa bei halisi ya soko.

Kwenye bandiko langu hapo juu, nimejaribu kukufafanulia kwanini bei ya bidhaa za mlimani city inaweza kuwa juu ya bei halisi ya soko, na si kweli kwamba bidhaa zinazouzwa mlimani city ndio bora zaidi.

Mkuu wew Ndio kabisa Upo gizani tena Giza la shimoni!
Bado harusi tena kuwa km kuja sehemu popote Tanzania wanauza bei chini ya 1.200.000 kwa tv km hii njo na vielelezo nitakupa laki moja bure!
Kwani ugumu Uko wapi?
Nini hakieleweki hapo!?
 
Kuna muda mleta bango anatamani watu wasiendelee na comments hasa hizi za kumpa makavu live!

Lakini kuna muda pia huwa anajilaumu kwa nini nimeingia town kichwa kichwa!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mwisho wa siku unagundua kuwa wengi hapa wanapiga story km kijiweni tu ila hawa wote wanatoa comment za kizembe zembe hakuna mnunuzi.

Otherwise serious buyers nafanya nao negotiations direct
Punguza jazba mkuu, utolewe tongotongo.

Kiukweli ulipigwa parefu mno.
 
Punguza porojo sababu hujui bei yake
Pole Sana mkuu, Naona umeshikwa pabaya
JamiiForums-399706182.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom