TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

Naomba kuuliza ambao hamtumiii miwani,mimi natumia mikwahiyo sina uhakika sana nakuona kwangu hili tangazo lina picha za tv inauzwa TV ni mbili au ni moja? mimi naona tv ziko mbili tofauti huyu jamaa anauza tv ipi kati ya hizi kwenye picha?
DeepPond
Saint Ivuga
King Kong III
Extrovert
aldeo

ndugu zanguni angalieni picha za mwenye uzi zipo tv mbili au ni moja? mimi naona tv zipo mbili wenzangu nyie mnaona tv ngapi kwenye picha?
 
Naomba kuuliza ambao hamtumiii miwani,mimi natumia mikwahiyo sina uhakika sana nakuona kwangu hili tangazo lina picha za tv inauzwa TV ni mbili au ni moja? mimi naona tv ziko mbili tofauti huyu jamaa anauza tv ipi kati ya hizi kwenye picha?
DeepPond
Saint Ivuga
King Kong III
Extrovert
aldeo

ndugu zanguni angalieni picha za mwenye uzi zipo tv mbili au ni moja? mimi naona tv zipo mbili wenzangu nyie mnaona tv ngapi kwenye picha?

Unasumbuliwa na ujuha, wivu na Roho mbaya ya kimasikini.
Tv Iko moja na Iko nyumbani kwangu naitumia hat leo
 
Naomba kuuliza ambao hamtumiii miwani,mimi natumia mikwahiyo sina uhakika sana nakuona kwangu hili tangazo lina picha za tv inauzwa TV ni mbili au ni moja? mimi naona tv ziko mbili tofauti huyu jamaa anauza tv ipi kati ya hizi kwenye picha?
DeepPond
Saint Ivuga
King Kong III
Extrovert
aldeo

ndugu zanguni angalieni picha za mwenye uzi zipo tv mbili au ni moja? mimi naona tv zipo mbili wenzangu nyie mnaona tv ngapi kwenye picha?
Kweli TV zipo mbili ila naona anayouza ni LG ,hiyo nyingine sijui ameweka kimakosa au nayo anauza?
 
TV bado ipo?

Sijawahi kuona tangazo likishambuliwa kama hili, naendelea kujifunza.
 
Unasumbuliwa na ujuha, wivu na Roho mbaya ya kimasikini.
Tv Iko moja na Iko nyumbani kwangu naitumia hat leo
nimeamini wewe mwezi mchanga bado unasema tv ipo moja kwenye hizo picha ulizoweka? dalali mungu anakuona wenzako madalali hawauzagi tv wanauza vitakueleweka na ikitokea wakawa wanauza tv hawaongezi chajuu kama ulichoongeza wewe hadi unashtukiwa,halafu turudi kwenye uhalisia kwanza unakubali wewe ni dalali au haukubali? sema kwanza kaka dalali unakubali au unakataa wewe sio dalali,ole wako useme unafanya kazi BOT nakutukana nipewe ban.
 
Hii ni von au siku hizi kampuni ya von na lg wameungana??

Duka la VON Mlimani cityhilo. Hiyo picha sio tv yangu ni bei nimeweka ya juzi Mlimani city kwa tv hii ya kwangu.angalia vizuri utaona tv ni LG,
 
nimeamini wewe mwezi mchanga bado unasema tv ipo moja kwenye hizo picha ulizoweka? dalali mungu anakuona wenzako madalali hawauzagi tv wanauza vitakueleweka na ikitokea wakawa wanauza tv hawaongezi chajuu kama ulichoongeza wewe hadi unashtukiwa,halafu turudi kwenye uhalisia kwanza unakubali wewe ni dalali au haukubali? sema kwanza kaka dalali unakubali au unakataa wewe sio dalali,ole wako useme unafanya kazi BOT nakutukana nipewe ban.

Hiyo yenye bei ni reference ya bei ya Dukani.
Tv ninayouza ipo nyumbani Hiyo yenye picha za movie.
 
TV bado ipo?

Sijawahi kuona tangazo likishambuliwa kama hili, naendelea kujifunza.

[emoji3] hawa niachie mm nawamudu,
Ni watoto wa mama waliofeli maisha wanaishi kwa kushambulia watu mitandaoni. Wana Roho mbaya na hasira kwa kushindwa maisha!
 
Mjinga ni nani sasa kati yako na wanaokuelewesha, unapigia debe lg, unatupa reference ya von, wapi na wapi dada.

IMG_3641.jpg

Ukiangalia vizuri hapa utagundua ujinga wako ulipo
 
Duka la VON Mlimani cityhilo. Hiyo picha sio tv yangu ni bei nimeweka ya juzi Mlimani city kwa tv hii ya kwangu.angalia vizuri utaona tv ni LG,

Duka la VON hawawezi kuweka products za LG, kibiashara hizi ni kampuni hasimu!
 
Duka la VON hawawezi kuweka products za LG, kibiashara hizi ni kampuni hasimu!

Unaongea ujinga, nenda kathibitishe ndipo uandike. Usiropoke vitu usivyovijua, na hicho kilichowekwa hapo ni nn?
 
Back
Top Bottom