TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

TV4Sale LG TV inch 43 mpya inauzwa

Sielewi brand product inakuwaje fake au wanawambwa ambazo ni unboxed? Sielewi kabisa aiseee...sema kuna products za kichuro ambazo hazidumu ila si tv fake aisee[emoji23][emoji23][emoji23]

Brother kuna tv fake kibao kariakoo tena brand kubwa kabisa.
 
Kuna muda mleta bango anatamani watu wasiendelee na comments hasa hizi za kumpa makavu live!

Lakini kuna muda pia huwa anajilaumu kwa nini nimeingia town kichwa kichwa!

Mwisho anajilaumu na kutokwa na yale mafua chirizi ya kwa nini yule kaniponza hivi.

Hayo yote ni majuto ya kweli kabisa
Mwisho wa yote, kututangazia jina Mlimani City sio kigezo cha kuuficha uzuzu wako zaidi ya kuendelea kuwa mtupu zaidi kwa watu.

Pole sana mkuu.
Maisha si kukariri
 
Kuna muda mleta bango anatamani watu wasiendelee na comments hasa hizi za kumpa makavu live!

Lakini kuna muda pia huwa anajilaumu kwa nini nimeingia town kichwa kichwa!

Mwisho anajilaumu na kutokwa na yale mafua chirizi ya kwa nini yule.......kaniponza hivi.

Hayo yote ni majuto ya kweli kabisa
Mwisho wa yote, kututangazia jina Mlimani City sio kigezo cha kuuficha uzuzu wako zaidi ya kuendelea kuwa mtupu zaidi kwa watu.

Pole sana mkuu.
Maisha si kukariri

Mwisho wa siku unagundua kuwa wengi hapa wanapiga story km kijiweni tu ila hawa wote wanatoa comment za kizembe zembe hakuna mnunuzi.

Otherwise serious buyers nafanya nao negotiations direct
 
Sasa siukauzie huko wa Mlimani city! Wakati hapo kariakoo naipata 800k

Kariakoo unapata hata ukitaka size 50 kwa 800k unapata.’

Ila ni made in kariakoo by star times!

Huwezi kupata LG original popote chini ya 1.200.000 model km ya kwangu
 
Kariakoo unapata hata ukitaka size 50 kwa 800k unapata.’
Ila ni made in kariakoo by star times!
Huwezi kupata LG original popote chini ya 1.200.000 model km ya kwangu
Mkuu kwa Mo ukichkua kimoja bei ni ghali, kwa kuwa yy ni Supplier hivyo ili upate bei nzuri lazima uchkue mzigo mwingi.

Ila ukweli ni kuwa tumenunua vitu vingi vzuri kkoo kabla hata ya hiyo Mlimani.

Hata huko waweza pata vitu visivyo na ubora, kwa hiyo elewa kuwa kkoo kuna maduka ynayouza vitu quality pia.
 
Mkuu kwa Mo ukichkua kimoja bei ni ghali, kwa kuwa yy ni Supplier hivyo ili upate bei nzuri lazima uchkue mzigo mwingi. Ila ukweli ni kuwa tumenunua vitu vingi vzuri kkoo kabla hata ya hiyo Mlimani. Hata huko waweza pata vitu visivyo na ubora, kwa hiyo elewa kuwa kkoo kuna maduka ynayouza vitu quality pia.

Mkuu MO ana duka la rejareja pale mtaa wa Nkurumah, na ndie supplier wa LG nchi nzima, Sio Kweli kuwa ukinunua moja utauziwa kwa bei ya juu.

Kariakoo pia sio maduka yote wanauza fake, baadhi ya maduka ni genuine kabisa
 
Mkuu MO ana duka la rejareja pale mtaa wa Nkurumah, na ndie supplier wa LG nchi nzima, Sio Kweli kuwa ukinunua moja utauziwa kwa bei ya juu.
Kariakoo pia sio maduka yote wanauza fake, baadhi ya maduka ni genuine kabisa
Pamoja sana, hizi home appliances inatakiwa kuwa makini sana ila bei nayo huongezeka kulingana na mahali unapochukulia. Wikend njema
 
Pamoja sana, hizi home appliances inatakiwa kuwa makini sana ila bei nayo huongezeka kulingana na mahali unapochukulia. Wikend njema

Before buying home appliances it’s better you do window shopping to compare price and after service.
Ukijiridhisha ndipo unaweza kununua.
I did enough research kabla sijanunua tv yangu!
 
Before buying home appliances it’s better you do window shopping to compare price and after service.
Ukijiridhisha ndipo unaweza kununua.
I did enough research kabla sijanunua tv yangu!
We n mshamba Sana ndugu yangu Kwanza nikwambie hyo tv unayoita LG original hakuna original hyo n designed for African market ambapo ukienda China Kuna mtu kapewa leseni ya kutoa kitu grade 1,2 mpaka 3 hvyo hvyo hata kwenye vifaa vidogo vidogo ukitaka ufurahie maisha nunua kitu quality kwabei ndogo.

Hyo survey yako na akili ya kuamini kuwa ukiwa ghali ndo yenyewe hyi imekula kwako Bora iwe the same product at the same shop but different in price hapo ndo ujiulize mbona hivi Sasa wewe unaenda mliman city pale pako targeted kuwauzia watu wenye kipato Cha juu pia Kodi na kumuhudumia mfanyakazi n gharama hvyo lazima Bei iwe juu.

Huyo unaesema n dealer yeye n mfanyabiashara anajua na anaelewa jinsi ya kumake super profit anatoa order kwenye kampuni PC's 1000 anaeenda market popote pale anapopajua anachukua PC's 3000 kitu kulekule kila kitu kwenye display inawekwa ile ambayo ipo authorised na kampuni store ambayo utapewa wewe unakuwa n ile kutoka kwenye soko la kawaida.

Mliman City baa yoyote ile bia locally n kuanzia 3000-5000 mfano Kilimanjaro lakini bia hyo hyo ukivuka barabara ukiwa unasubiri gari uelekee mawasiliano bia Ile Ile kila kitu kilekile unauziwa 1500.

Jiulize Y?

Kila sehemu ipo targeted na mteja husika mliman city n kwa watu wenye kipato mikubwa mzee
 
Kuwa mkweli,haiingii akilini ununue TV then fasta unaibadilisha,maana ulikuwa na ndoto muda mrefu wa kununua LG 43" iweje ghafla ubadili maamuzi? Kama sio nzuri si vizuri kumpa msala mwenzako.
Mimi ninayoa nchi 55 lakini ya chogo karibu bei maeleaanno tu
 
Kuwa mkweli,haiingii akilini ununue TV then fasta unaibadilisha,maana ulikuwa na ndoto muda mrefu wa kununua LG 43" iweje ghafla ubadili maamuzi? Kama sio nzuri si vizuri kumpa msala mwenzako.
Kweli tv hazina thamani kwa sasa miaka ya 90 ilikuwa tv ni chombo cha thamani sana ukinujua kwa sasa hali imekuwa tofauti kabisa
 
Tangu nione matangazo hapa jukwaani, la huyu jamaa limepata upinzani mkali sana.

Mwamba naye hataki kukubali hadharani kuwa alipigwa!

Legendary.
 
Kariakoo unapata hata ukitaka size 50 kwa 800k unapata.’

Ila ni made in kariakoo by star times!

Huwezi kupata LG original popote chini ya 1.200.000 model km ya kwangu
Aliyekuambia hiyo ni OG ni nani?
 
We n mshamba Sana ndugu yangu Kwanza nikwambie hyo tv unayoita LG original hakuna original hyo n designed for African market ambapo ukienda China Kuna mtu kapewa leseni ya kutoa kitu grade 1,2 mpaka 3 hvyo hvyo hata kwenye vifaa vidogo vidogo ukitaka ufurahie maisha nunua kitu quality kwabei ndogo.

Hyo survey yako na akili ya kuamini kuwa ukiwa ghali ndo yenyewe hyi imekula kwako Bora iwe the same product at the same shop but different in price hapo ndo ujiulize mbona hivi Sasa wewe unaenda mliman city pale pako targeted kuwauzia watu wenye kipato Cha juu pia Kodi na kumuhudumia mfanyakazi n gharama hvyo lazima Bei iwe juu.

Huyo unaesema n dealer yeye n mfanyabiashara anajua na anaelewa jinsi ya kumake super profit anatoa order kwenye kampuni PC's 1000 anaeenda market popote pale anapopajua anachukua PC's 3000 kitu kulekule kila kitu kwenye display inawekwa ile ambayo ipo authorised na kampuni store ambayo utapewa wewe unakuwa n ile kutoka kwenye soko la kawaida.

Mliman City baa yoyote ile bia locally n kuanzia 3000-5000 mfano Kilimanjaro lakini bia hyo hyo ukivuka barabara ukiwa unasubiri gari uelekee mawasiliano bia Ile Ile kila kitu kilekile unauziwa 1500.

Jiulize Y?

Kila sehemu ipo targeted na mteja husika mliman city n kwa watu wenye kipato mikubwa mzee

Umeandika riwaya bila point hata moja.
Nimekwambia fanya survey ukiona zipo za bei chini ya hapo Njoo toa ushuhuda hapa mm nitakupa 100k bure kabisa.
Nisipotekeleza hasi moderator wanipe ban.
 
Back
Top Bottom