LHRC, Amnesty International wataka Mbowe aachiwe na uhuru wa kisiasa uheshimiwe Tanzania

Mtu mwenyewe kaupata urais wakiwa hawamtaki. Badala ya kwenda vizuri sasa anataka kunasa kwenye mtego
 
LHRC, Amnesty International, Mbowe ana kesi ya ugaidi na hii ni mara ya pili anashutumiwa kuwa gaidi, mnataka mtuhumiwa wa ugaidi aachiwe huru bila ya kufuata taratibu za kisheria ?

Hata Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti kasema hawamtolei dhamana. Tulieni sheria ifuate mkondo wake🐒
 
Masalia ya Jiwe na walamba viatu bado mpo
kinacho takiwa ni kwa Viongozi wa Chadema wafuate na kuheshimu sheria za nchi, wasijaribu kudharau mamlaka iliyopo, wakiheshimu sheria hakuna atakaye wasumbua ila wakiamua kuvunja sheria za nchi kwa makusudi hakuna atakaye wavumilia.
Amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko Mbowe na wenzake.
 
aise Gaidi hafai kabisaa maaana huyo ni hatari wa usalama wa taifa lolote lile, jambo la msingi ushahidi tu uwepo, wasifiche kitu waweke bayana.
Ugaidi ni kosa kubwa sana.
Dunia yote sasa inapambana na Ugaidi.
Guantanamo imejengwa mahususi kwajili ya Magaidi.
vitendo vya ugaidi sio vya kufumbia macho hata kidogo.
 
I saw it coming...Ilikuwa ni hesabu mbaya kwa CCM kumkamata Mbowe hasa wakati huu wa madai ya katiba mpya,wamempiga teke chura sasa wamemuongezea mwendo,walichotaka kuzuia sasa kitajulikana dunia nzima kuwa katiba mpya inatakiwa Tanzania.

Tatizo TISS inaongozwa na vilaza,haya sasa bado donors wanakuja,na dunia ya sasa sio kama ya akina Nyerere,dunia imestaarabika na mfumo ni democracy,udikteta hauna nafasi tena...make amends,release Mbowe or you put your international relations and investments into jeopardy!
 
Rais ameapa kulinda Amani na utulivu wa nchi hii na endapo akitokea mtu au watu wanaleta au kutishia Amani ya nchi lazima wachukuliwe hatu za kisheria, haijalishi ni kiongozi wa kisiasa au kiongozi wa kidini.
Mbowe na genge lake hako juu ya sheria, huwezi kusema eti yeye akifanya makosa basi aachwe tu.
Mbowe na viongozi wenzake wanachochea na kuhamasisha vurugu, hata ange kuwa marekani lazima angekamatwa na kufunguliwa mashitaka.
Amani ya nchi yetu ni Muhimu zaidi kuliko Mbowe na wenzake.
 
Wapi Robert Amsterdam na zile barua zake za kwenda Amnesty na The Hague! Hahahahahaha
Ngosha pumzika kwa amani!
 
Awamu hii ya 6 imejipambanua kufuata na kuheshimu utawala wa sheria ndio maana tumeshuhudia sote aliye kuwa DC wa hai kufunguliwa mashitaka na sasa yupo anakabiliwa na kesi zake huko mahakamani, vivyo hivyo kama mbowe na wenzake wakikutwa na tuhuma watafikishwa mahakamani kukabili mashitaka yao.
SHERIA NI MSUMENO
 
Na inaharibika tayari,tatizo ni CCM kutotaka kutii matakwa ya katiba iliyopo
usimchezee Mama, ni hatari, usidanganyike na majivu juu utaungua moto umefunikwa na majivu. ww nenda kichwa kichwa halafu utaona utakavyo babuka.
 
Wapi Robert Amsterdam na zile barua zake za kwenda Amnesty na The Hague! Hahahahahaha
Ngosha pumzika kwa amani!
Walijua baadae kuwa Ngosha ni maiti iliyokuwa inatembea ivyo hawakuona sababu ya kushtaki maiti
 
Unajidanganya bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…