LHRC, Amnesty International wataka Mbowe aachiwe na uhuru wa kisiasa uheshimiwe Tanzania

Mbowe atuhumiwa kwa mauaji ya viongozi wa Serikali​


Summary

  • Baada ya kushikiliwa kwa takribani siku mbili, Jeshi la Polisi limesema kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anakabiliwa na tuhuma mbalimbali ikiwemo za kupanga njama za kufanya vitendo vya kigaidi na kuua viongozi wa Serikali.

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Baada ya kushikiliwa kwa takribani siku mbili, Jeshi la Polisi limesema kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anakabiliwa na tuhuma mbalimbali ikiwemo za kupanga njama za kufanya vitendo vya kigaidi na kuua viongozi wa Serikali.

Taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime imesema kuwa kumekuwa na upotoshaji mkubwa kwamba, Mbowe alikamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuandaa kongamano la Katiba mpya jijini Mwanza, jambo ambalo si kweli.

“Mbowe alikuwa anafahamu fika kuwa tuhuma zinazomkabili zilikuwa zinachunguzwa na wakati wowote angehitajika Polisi kwa hatua za kisheria mara tu uchunguzi wake utakapokamilika. Hatua hiyo imefikiwa sasa,” alisema Misime. chanzo. Mbowe atuhumiwa kwa mauaji ya viongozi wa Serikali
 
kwa hali hii ya Mbowe na wenzake kupanga Mauaji!! hawa sio binaadamu kabisaa ni zaidi ya wanyama.
Wauaji, wacha sheria ifanye kazi.
watanzania tunataka amani, magaidi waacha wakae huko gerezani.
 
Kombe Jiwe kafa kwa Korona? Mi najua tofauti
Kuna watu wanaamini hivyo na ukiwaambia tofauti na hivyo ni ugomvi, kwahiyo inabidi tuheshimu tu imani za watu utafanyaje sasa?
Maana ukimuuliza sababu za msingi zilizomfanya kufikiri kuwa Jiwe kafa na corona? hana hizo sababu zaidi ya kukwambia aliidharau corona. Kwahiyo unaacha tu maana kama nafsi yake mwenyewe inafarijika kwa yeye kuamini kuwa Jiwe kafa kwa corona basi unamuachia imani yake ajifurahishe.
 
LHRC mbona hawajasema sabaya nae aachiwe?
Wasubili vyombo vifanye kazi kwanza
 
CCM wanataka Mama atengwe na mataifa...kisa uroho wa madaraka wa CCM.

Washanza kupigiana kura 2025 urais..mama awamu ni moja.

CCM mafia
 
Corona is really

 
Hadi sasa CIA wapo katika hatua za mwisho za kuianza mission "SAVE MBOWE FROM ASSASINS"!!!nasubiria kwa hamu sana!!!
 
Kwa nchi zinazopigana kuutokomeza UGAIDI duniani wakifuatilia hii kesi wanatuona sisi hamnazo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…