LHRC yaikumbusha Serikali kurejea Mahakama ya Afrika

LHRC yaikumbusha Serikali kurejea Mahakama ya Afrika

Naipendatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
5,096
Reaction score
8,234
Kituo cha sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimekumbusha Serikali ya Tanzania kubadili uamuzi wake wa kujitoa katika Mahakama ya Afrika na kurejea kwenye Mahakama hiyo ili kuimarisha heshima ya Taifa katika uwanda na kikanda.

Novemba 21, 2019 Serikali ya Tanzania ilifanya uamuzi wa kujitoa katika ibara ya 34(6) ya Mkataba wa nyongeza wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu uliokuwa ukiruhusu mtu au taasisi yoyote kuifikia Mahakama ya Afrika kudai haki.

Tanzania imekuwa nchi ya pili baada ya Rwanda kujitoa katika mkataba huo unaoruhusu mtu au taasisi kufungua kesi dhidi ya serikali pale ambapo kuna malalamiko ya kuvunjiwa haki yake.

Akizungumza na waandishi leo Oktoba 22, 2021 kuhusu maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Afrika ambayo hufanyika Oktoba 21, kila mwaka, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, wanaona Tanzania inaweza kurudi katika mkataba huo na kuruhusu wananchi kufikia Mahakama hiyo na kupata mustakabadhi wa haki zao.

"LHRC inapenda kutumia maadhimisho haya kutoa wito kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia upya uamuzi wake wa kujitoa katika mkataba huo kwani itarudisha na kuimarisha heshima ya Jamhuri katika uwanda wa kikanda.

"Kumekuwa na dhana pamoja na tafsiri isiyo sahihi kwamba, watu waliyofungua kesi katika Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu na Watu hawana nia nzuri na serikali baali wanataka kuichafua.

“LHRC inapenda kusahihisha dhana pamoja na tafsiri hiyo kuwa ni ishara ya kuimarika kwa demokrasia, ufikiaji wa haki, uvumilivu, na uongozi bora unaonyeshwa na Serikali," amesema.

Ameongeza kuwa wanaamini kwamba muundo wa Mahakama hiyo iliyopo Arusha ni wenye watu wanaojua misingi ya kiafrika, tamaduni, taratibu za sheria pamoja na mazingira, hivyo maamuzi yanayotolewa ni maamuzi ya haki na usawa.

Mwananchi
 
Novemba 21, 2019 Serikali ya Tanzania ilifanya uamuzi wa kujitoa katika ibara ya 34(6) ya Mkataba wa nyongeza wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu uliokuwa ukiruhusu mtu au taasisi yoyote kuifikia Mahakama ya Afrika kudai haki.
Yule Muovu alitaka aendelee kuzulumu ili watu wasipate justice sehemu yoyote
 

LHRC yaikumbusha Serikali kurejea Mahakama ya Afrika​

Dar es Salaam. Kituo cha sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimekumbusha Serikali ya Tanzania kubadili uamuzi wake wa kujitoa katika Mahakama ya Afrika na kurejea kwenye Mahakama hiyo ili kuimarisha heshima ya Taifa katika uwanda na kikanda.​


Novemba 21, 2019 Serikali ya Tanzania ilifanya uamuzi wa kujitoa katika ibara ya 34(6) ya Mkataba wa nyongeza wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu uliokuwa ukiruhusu mtu au taasisi yoyote kuifikia Mahakama ya Afrika kudai haki.

Tanzania imekuwa nchi ya pili baada ya Rwanda kujitoa katika mkataba huo unaoruhusu mtu au taasisi kufungua kesi dhidi ya serikali pale ambapo kuna malalamiko ya kuvunjiwa haki yake.

Akizungumza na waandishi leo Oktoba 22, 2021 kuhusu maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Afrika ambayo hufanyika Oktoba 21, kila mwaka, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, wanaona Tanzania inaweza kurudi katika mkataba huo na kuruhusu wananchi kufikia Mahakama hiyo na kupata mustakabadhi wa haki zao.

"LHRC inapenda kutumia maadhimisho haya kutoa wito kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia upya uamuzi wake wa kujitoa katika mkataba huo kwani itarudisha na kuimarisha heshima ya Jamhuri katika uwanda wa kikanda.

"Kumekuwa na dhana pamoja na tafsiri isiyo sahihi kwamba, watu waliyofungua kesi katika Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu na Watu hawana nia nzuri na serikali baali wanataka kuichafua.

“LHRC inapenda kusahihisha dhana pamoja na tafsiri hiyo kuwa ni ishara ya kuimarika kwa demokrasia, ufikiaji wa haki, uvumilivu, na uongozi bora unaonyeshwa na Serikali," amesema.


Ameongeza kuwa wanaamini kwamba muundo wa Mahakama hiyo iliyopo Arusha ni wenye watu wanaojua misingi ya kiafrika, tamaduni, taratibu za sheria pamoja na mazingira, hivyo maamuzi yanayotolewa ni maamuzi ya haki na usawa.
 

LHRC yaikumbusha Serikali kurejea Mahakama ya Afrika​

FRIDAY OCTOBER 22 2021​



hcpic

Summary​

  • Kituo cha sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimekubusha serikali ya Tanzania kubadili uamuzi wake wa kujitoa katika Mahakama ya Afrika na kurejea kwenye Mahakama hiyo ili kuimarisha heshima ya Taifa katika uwanda na kikanda.

New Content Item (1)

By Tatu Mohamed
More by this Author

Dar es Salaam. Kituo cha sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimekumbusha Serikali ya Tanzania kubadili uamuzi wake wa kujitoa katika Mahakama ya Afrika na kurejea kwenye Mahakama hiyo ili kuimarisha heshima ya Taifa katika uwanda na kikanda.

Novemba 21, 2019 Serikali ya Tanzania ilifanya uamuzi wa kujitoa katika ibara ya 34(6) ya Mkataba wa nyongeza wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu uliokuwa ukiruhusu mtu au taasisi yoyote kuifikia Mahakama ya Afrika kudai haki.

Tanzania imekuwa nchi ya pili baada ya Rwanda kujitoa katika mkataba huo unaoruhusu mtu au taasisi kufungua kesi dhidi ya serikali pale ambapo kuna malalamiko ya kuvunjiwa haki yake.

Akizungumza na waandishi leo Oktoba 22, 2021 kuhusu maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Afrika ambayo hufanyika Oktoba 21, kila mwaka, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, wanaona Tanzania inaweza kurudi katika mkataba huo na kuruhusu wananchi kufikia Mahakama hiyo na kupata mustakabadhi wa haki zao.

"LHRC inapenda kutumia maadhimisho haya kutoa wito kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia upya uamuzi wake wa kujitoa katika mkataba huo kwani itarudisha na kuimarisha heshima ya Jamhuri katika uwanda wa kikanda.

"Kumekuwa na dhana pamoja na tafsiri isiyo sahihi kwamba, watu waliyofungua kesi katika Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu na Watu hawana nia nzuri na serikali baali wanataka kuichafua.

“LHRC inapenda kusahihisha dhana pamoja na tafsiri hiyo kuwa ni ishara ya kuimarika kwa demokrasia, ufikiaji wa haki, uvumilivu, na uongozi bora unaonyeshwa na Serikali," amesema.


Ameongeza kuwa wanaamini kwamba muundo wa Mahakama hiyo iliyopo Arusha ni wenye watu wanaojua misingi ya kiafrika, tamaduni, taratibu za sheria pamoja na mazingira, hivyo maamuzi yanayotolewa ni maamuzi ya haki na usawa.
Haaa wanaigopa ,isiwe kwasababu ya kesi za kubambikizia ,hivi kuna shule maalumu ya kujifunza kubambikizia kesi ama inatokana na elimu ya unafiki
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
UNAFIKI wa kujua hawana nguvu ya hoja hivyo nguvu yao ni kutumia dola ili kuwabambikia Watanzania kesi FAKE ili kuwanyamazisha katika madai ya HAKI, UHURU na USAWA.

Haaa wanaigopa ,isiwe kwasababu ya kesi za kubambikizia ,hivi kuna shule maalumu ya kujifunza kubambikizia kesi ama inatokana na elimu ya unafiki
 
Hiyo Mahakama haina lolote, sio kwa maslahi ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom