Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Umesema vyema mkuu 🤣🤣🤣Naunga mkono hoja, ukikutana na mtamu unaweza toa urithi🤣🤣
Ili watuvutie tuwatongoze wakatustareheshe🤣Umesema vyema mkuu 🤣🤣🤣
Jiulize kwa nini wanawake wanatutega wanaacha mapaja, matiti, wanavaa nusu uchi
Kwa sababu wanajua wana utamu au starehe ambayo wanaume tunaitaka
Wangeanza kumchukulia hatua Kikwete kwanza aliyesema "ili ule lazima nawe uliwe"Sioni Tatizo katika post zake anazoandika. sana sana kutakuwa na tatizo kama alishawahi kutolea ufafanuzi huwa anamaanisha nini, hakuna tusi, dhihaka wala chochote cha udhalilishaji.
Hata mbunge msukuma alishawahi kusema vitoto vya miaka 10 vinavaa sidiria Sijui ni wapi alichukuliwa hatua za kisheria.
Kama kuna post ambayo oscar aliandika anadhalilisha wanawake iwekwe hapa. Kama hakuna basi aachwe au aulizwe anamaanisha nini.
Mama yangu Anna Henga kwa hapa kafeli sana
Wanavyoeleza humu bila hata picha yake utadhani wote tunamjua, Watu wa Dar ni majipu.Oscar Oscar ndo nani nyie watu dar?
Hakuna UONGO wowote katika kile anakiandika, emu wafanye Mambo ya maana basi yenye tija eti leo ni siku ya Maboss Mama duniani, what's this? Yaan masingomama wanajitukuza kupitiliza mpaka kujiundia siku yao, what's this?Wanawake ambayo yanafanya waonekane kama chombo cha starehe.
Wewe UPO Chaka lipi unashindwa ku-google ukaletewa details zote za Oscar Oscar? What's this?Wanavyoeleza humu bila hata picha yake utadhani wote tunamjua, Watu wa Dar ni majipu.
Kwani nimechomeka nini, what's this?Wangeanza kumchukulia hatua Kikwete kwanza aliyesema "ili ule lazima nawe uliwe"
Kisha akasema "Kikwete hii hachomoi nikauliza kwani nimechomeka nini?"
Ni ngumu sana kuunda kesi ya maana kwa memes au kauli kama hizo.
We ulisikia Wapi memes zina level ya elimu? What's this? Nawe tafuta master's basi uandike memes zenye Akili tukuoneAlafu msomi gani mwenye level ya masters anafany ule ujinga kibaya zaid ni famous hata mimi kiukwel huwaga nachukia memes zake
Fika kumbi ZOTE za starehe ujithibitishie wabebe na LHRC wako ukiweza au wanajifanya hawatembelei maeneo hayo? What's this?Sasa si itabidi aitwe athibitishe kwamba mwanamke kama si chombo cha starehe.
Tatizo wabongo huwa tunalalamika watu wanapofanya maovu. Cha kushangaza hatua zikichukuliwa tunalalamika tena na kuwatetea.Wangeanza kumchukulia hatua Kikwete kwanza aliyesema "ili ule lazima nawe uliwe"
Kisha akasema "Kikwete hii hachomoi nikauliza kwani nimechomeka nini?"
Ni ngumu sana kuunda kesi ya maana kwa memes au kauli kama hizo.
Ulisikia wapi nimelalamika habari za Oscar? Mi naona anajifurahisha tu. Haya, siku zote hizi walikua wapi?Tatizo wabongo huwa tunalalamika watu wanapofanya maovu. Cha kushangaza hatua zikichukuliwa tunalalamika tena na kuwatetea.
Manake sisi wenyewe tukita kufanya starehe tunaenda maeneo yenye wanawake wazuri ili kusudi tukishakunywa bia tunachagua chombo kimoko kwa ajili ya starehe.Fika kumbi ZOTE za starehe ujithibitishie wabebe na LHRC wako ukiweza au wanajifanya hawatembelei maeneo hayo? What's this?
Unabisha kipumbavu sana.Ulisikia wapi nimelalamika habari za Oscar? Mi naona anajifurahisha tu. Haya, siku zote hizi walikua wapi?
Leo ndio wamejua anakosea? Au walishampa onyo amekaidi?
Jomba kuwa na adabu
Ukweli lazima usemweJomba kuwa na adabu