akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Ila wanawake wanajidhalilisha kwa kupost mitandaoni wanauza ngono ya aina zote mpaka kinyume cha maumbile, na wanaojipost nusu uchi waendelee tu kujipost! Hawajidhalilishi wala hawavunji sheria za nchi. Feminists hypocrisy