Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
hulazimishwi kuamini mkuu.. tulishawekaga makalamu chini sie.. tunauza kahawa kitaaaInawezekana lakini. Japo ni ngumu kuamini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hulazimishwi kuamini mkuu.. tulishawekaga makalamu chini sie.. tunauza kahawa kitaaaInawezekana lakini. Japo ni ngumu kuamini...
Nakushangaa Sana huyu dogo....huyu Pepa imemla..pumbavHizi grade za C kuanzia 60-69 zimekuwepo tangu 2016, Kwahiyo ilo siyo suala geni na watu wamekua wakivuna walichopanda tangu wakati huo.
Dogo nilimuombea MUHAS tu kwa round ya kwanza maana nilijua lazima apate kulingana na ufaulu wake, lakini yakawa tofauti.Dogo akapata wapi baada ya hapo?
Ndio hivyo mkuu ni majanga tunchi yetu mifumo ya elimu na hata selection ni mibovu sana. kama tunataka kwakumuka hapo ni lazima kufumua msingi wa elimu yetu ujengwe upya, tofauti na hapo tutaendelee na mdundo huu huu paka mwisho wa dahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawahulazimishwi kuamini mkuu.. tulishawekaga makalamu chini sie.. tunauza kahawa kitaaa
Sema UDOM tuition fee sio mbaya sana..ingekuwa ni kina Hubert Kairuki wa 6.7m kwa mwaka ingekuwa sio poa bila Heslb.Dogo nilimuombea MUHAS tu kwa round ya kwanza maana nilijua lazima apate kulingana na ufaulu wake, lakini yakawa tofauti.
Round ya pili nilimuombea KCMC, Bugando na UDOM. Akaja kubahatika KCMC na UDOM, tukaamua aende Udom ingawa alichagulia Nursing ili baadae akabadili iwe MD.
Uamuzi wa kumpeleka Udom tulizingatia uwezo wa Kumhudumia/kumsomesha maana chance ya kupata mkopo ilikuwa ndogo sababu alisoma private.
Wazo la kubadili kozi kwenda MD lilifanikiwa na hakupata mkopo, kwa hiyo sasa anasoma kwa sisi kujichanga tu.
Hao wa kubadilisha mfumo inabidi wapatikane sasa hata kama mamentor wao ni hao wa zamani.Mkuu tunarudi pale pale, walimu wanao tunga (kukopi) si ni hao waliosoma kipindi hakuna standardization. Mfumo wa elimu wa tanzania umeoza from the msingi, unahitaji kufumiliwa wote.. elimu inaweza ikawa nyepesi sana na ikatoa watu quality na wenye tija sana. Nilishafanya exam moja nje ya nchi.. ni kama kunya maji.. hata pepar yao ila ukitoka hapo wewe hapo ni wa moto.. sie shida ipo kwenye mfumo mchafu..
Serikalini MD ni 1.8MSema UDOM tuition fee sio mbaya sana..ingekuwa ni kina Hubert Kairuki wa 6.7m kwa mwaka ingekuwa sio poa bila Heslb.
Anyway,dogo ale shule.
Basi na ikae hivyo. Nami madaktari wa UPE siwataki.Mkuu sasa unataka tanzania izalishe madaktari wa UPE?
Umekwenda nje ya context yangu. Sijaongelea mafanikio ya maisha kuwa na grades kubwa etc. Kwaheri.👉Hakuna advance ya kata,
👉. Kwa advance shule za private huwa ni wakawaida Sana Bora govt,
👉wewe sio wa kwanza kuwekewa hizo grades
👉health related programs unaweza soma
👉Ila Kama una c moja ya chemistry na una d za masomo mengine sahau kuhusu uuguzi katika ngaz ya degree
👉Af acha kukariri maisha elimu ya bongo haikufikishi kwenye ndoto zako Ila inakupangia(mfumo na ubora wa matokeo )
👉Kuna course Bora kuliko course za afya
👉 Not to play the game doesn't mean that u can't change the score
👉
Kuna kijana Marian boys alipata BBC akakosa Muhimbili (mwaka jana),.... sikuaminiMwaka 2018 waliowahi kufanya application ndio waliochaguliwa.
Dogo alikosa kisa alichelewa kuapply, alikuwa na BBC.
Nilipoenda kuulizia kisa cha kukosa ndipo nikajuzwa hivyo
Nyenzo za usomaji zimekuwa rahisi sana, simu kuna laptop kuna google.. tofauti na zamaniShule ni Nyepesi Siku hizi....Watu wanapiga A tatu......Enzi hizo bwana Unasikia Tanzania nzima hakuna A kuna B mbili tu Tanzania nzima waliobaki makalai na D......Sijui nini Kimetokea. Mitoto imekuwa na akili sana au...
Cut out ya MD muhimbili ni points 6 za PCBC siyo rahisi, mwka jana kweli mtihani ulikuwa rahisi maana mwenye BBC ya PCB walikosa kwenda MD Muhimbili. Lkn katika hali ya kawaida, C siyo ndogo
Okay, kama ni hivyo basi swa ilo ni la kulirekebishaHio C inakuwa ni minimum kwa vyuo vyote,sio MUHAS tu..
TCU guidelines.
DDD lakini Muhimbili it has never happened kuchukua mtu wa namna hiyo. hata Bugando kwa sasa hawamchukui.Cut out ya MD muhimbili ni points 6 za PCB
1.8M is affordable, si wanalipa kwa installments? Hivi UDOM ushindani ukoje kwenye MD/Pharmacy? kama una taarifaSerikalini MD ni 1.8M
Dogo yupo mwaka 3 ligi inaendelea kusonga mbele tu.
Dogo hatahangaika na deni lolote la HESLB kama mimi hapa
matokeo bado, tunasema grade hiyo kwa health related programmes wengi watakosa.Nakushangaa Sana huyu dogo....huyu Pepa imemla..pumbav
matokeo bado. hivyo suala la kukosa bado. Nilisema kuwa huko nyuma, 70, 80, 90s kuwa miaka ile kupata A,B kwenye PCB/PCM haikuwa rahisi. Lakini miaka ya Jiwe imekuwa rahisi. Na maadamu Jiwe hayupo kushinikiza shule za kata ziangaliwe, watafeli wengi kwenda health related courses kwa C ya 60-69. Point yangu ni hiyo. Ningependa kijana aende computer science, siku hizi haya ma IT yanalipa kama uko vizuriNinaguess kuwa mwanao kakosa hiyo C