Liangaliwe upya: Si rahisi kupata 'C' kwenye Chemistry kuweza kusoma Health-related programmes

Liangaliwe upya: Si rahisi kupata 'C' kwenye Chemistry kuweza kusoma Health-related programmes

matokeo bado. hivyo suala la kukosa bado. Nilisema kuwa huko nyuma, 70, 80, 90s kuwa miaka ile kupata A,B kwenye PCB/PCM haikuwa rahisi. Lakini miaka ya Jiwe imekuwa rahisi. Na maadamu Jiwe hayupo kushinikiza shule za kata ziangaliwe, watafeli wengi kwenda health related courses kwa C ya 60-69. Point yangu ni hiyo. Ningependa kijana aende computer science, siku hizi haya ma IT yanalipa kama uko vizuri
Kumbbuka na watoto siku hizi ni lazy a bit... Mimi nimesoma miaka ya mwisho ya 70s A level...
Nimekuelewa mkuu wangu, barikiwa sana namuombea mdogo wangu huyo (mwanao) apate matokeo mazuri ili asome kozi aipendayo.
Good day baba!
 
Jedwali limetoka, C ni 60-69 out of 100. Hizi ni alama za juu kidogo kwa A level chemistry. Hili lingeangaliwa upya maana wengi watakosa sifa hiyo.

Kwa shule za private inaweza isiwe shida sana, lakini za Kata shida ipo (na si kosa lao, mazingira yao ya kusoma ni shida. Wataachwa nyuma)
Jee, shida ni kuendelea mbele kwa watu waliodhihirisha wana uwezo kimasomo; au tushushe viwango kuruhusu wengi waendelee? Unazungumzia fani ya matibabu ya watu. Jee, turuhusu watu wanaokuwa kwenye 'borderline' kuja kushughulikia maisha ya mtu?
 
Jee, shida ni kuendelea mbele kwa watu waliodhihirisha wana uwezo kimasomo; au tushushe viwango kuruhusu wengi waendelee? Unazungumzia fani ya matibabu ya watu. Jee, turuhusu watu wanaokuwa kwenye 'borderline' kuja kushughulikia maisha ya mtu?
Hapana, kuna kozi za mambo kama maabara yasiwekwe huko kwenye C, DDD, EEE inatosha. MD hata wkifanya C and above, sawa, ajabu wamefanya DDD
 
1.8M is affordable, si wanalipa kwa installments? Hivi UDOM ushindani ukoje kwenye MD/Pharmacy? kama una taarifa
Ushindani ni wa juu..wanafunzi saivi wa PCB ni wengi na intake ya vyuo ni chache..

Udom hamna Bpharm.
 
1.8M is affordable, si wanalipa kwa installments? Hivi UDOM ushindani ukoje kwenye MD/Pharmacy? kama una taarifa
Ndio wanalipa kwa awamu.

MD ushindani wake sio mbaya, Pharmacy ipo hadi ngazi ya Diploma.

Ngazi ya Degree kuna tetesi nasikia wako kwenye mpango wa kuianzisha
 
Miaka ya zamani PCB ya 70s, 80s, 90s mambo ya A na B hayakuwepo kwa wingi kama leo kwenye PCB /PCM.
Nakubaliana na wewe kuna standardization zikilenga kuzibeba shule za kata maana kusema kweli hiizi shule ni "dhaifu" na si kosa la watoto bali mazingira ya kusoma na kufundishia
Nashangaa kupata A, B or C ya biology na chemistry A level.
 
Ok vema asante, sijakuelewa, vyuo vingine mbwembwe kwa vipi? MUhas, Bugando KCMC ndiyo mbwembwe?
Nimesema hivi
Vyuo vyote vya health and allied sciences vilivyopo nchini kwa ujumla wake....ni Muhas na Ifakara tu wapo vizuri hao waliobaki ndo hivyo tena.
 
C siyo rahisi, mwka jana kweli mtihani ulikuwa rahisi maana mwenye BBC ya PCB walikosa kwenda MD Muhimbili. Lkn katika hali ya kawaida, C siyo ndogo
Jambo la msingi ni ushindani wala siyo hiyo C.

Ikitokea watu wengi hawajapata hiyo C then wenye D watapata nafasi.

Lakini ikitokea watu wengi wamefumua A na B maana yake hata wewe mwenye C hutapata nafasi.
 
Jambo la msingi ni ushindani wala siyo hiyo C.

Ikitokea watu wengi hawajapa hiyo C then wenye D watapata nafasi.

Lakini ikitokea watu wengi wamefumua A na B maana yake hata wewe mwenye C hutapata nafasi.
hatujapishana.. you are absolutely right. Lakini kwa A evel , C siyo alama ndogo, standard exams tulizozizoea huko nyuma, wachache sana walikuwa wanapata hizo marks. Ngoja tuone mwaka huu maana Jiwe alikuwa analazimisha shule za Kata zipendelewe, sasa ni haki bin haki. Let us wait and see
 
hatujapishana.. you are absolutely right. Lakini kwa A evel , C siyo alama ndogo, standard exams tulizozizoea huko nyuma, wachache sana walikuwa wanapata hizo marks. Ngoja tuone mwaka huu maana Jiwe alikuwa analazimisha shule za Kata zipendelewe, sasa ni haki bin haki. Let us wait and see
Jiwe ndo nani?
 
Mimi naona wangechukua watu wanaopata kuanzia 90 kuendeea ili kupunguza vilaza jamii ya wataalamu tulionao siku hizi hasa wanaojenga mashine za nyungu muhimbili
 
Jedwali limetoka, C ni 60-69 out of 100. Hizi ni alama za juu kidogo kwa A level chemistry. Hili lingeangaliwa upya maana wengi watakosa sifa hiyo.

Kwa shule za private inaweza isiwe shida sana, lakini za Kata shida ipo (na si kosa lao, mazingira yao ya kusoma ni shida. Wataachwa nyuma)
Liangaliwe kwa kina sanaaaaaaaaa

Ova...!!!
 
Uko sahihi..

Hata mimi naona grades za kwenda chuo zipandishwe ili wapatikane wanafunzi ambao ni bright kwelikweli na pia mitihani itungwe in such a way that bright student watachujwa kiufasaha

Now days mitihani mfano ya physics inatungwa kwa kucopy worked examples za kwenye Chand na Nelkon ni easy mwanafunzi kufaulu kwa kukamia na sio kwa kutumia akili yake kwenye changamoto mpya.
Never
 
Back
Top Bottom