LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

Hakuna vitu kama ivo haya mambo ni kutishana tu Mie naamin kuwa kuna kundi likiwa na maslah ukiingilia utqpata tabu sana
 
Mbona Mseveni na Kagame wanakula bata lakini wakwetu wqkatumia mzana.Je wakwetu alikuwa anahatarisha au kwakuwa alifuatailia mambo ya wakubwa wenzake?
Paka na Muzukulu hao wana Millitary background kitu kinachowafanya wawe very technical mfano Paka amewahi kuwa CMI wa Jeshi la Uganda, Ngosha hakuwa na millitary background ukichanganya na ushamba kiasi lazima awe phased out. Nilihisi hatari baada ya Kijazi kuchomoka ambae ndio alikiwa mkono wa kulia wa Mzee, All in all he was a good president
Nilichojifunza ni Kuwa Rais akiwa Full Civilian anapaswa kuwa makini sana sana na kila hatua anayopiga
Na Rais ambao ni Civilian wako poa zaidi ya walio na Millitary background
 
Hakuna vitu kama ivo haya mambo ni kutishana tu Mie naamin kuwa kuna kundi likiwa na maslah ukiingilia utqpata tabu sana
Just a general discussion.. Not aiming anything specific![emoji848][emoji2827][emoji2984]
 
USALAMA:
Hali ya mtu au kitu kuwa huru dhidi ya shambulio lolote ( Kiroho,Kimwili,kinafsi,kiakili nk)

ULINZI:
Uwezo wa mtu au kitu kuthibiti shambulio na kurudisha hali ya mtu au kitu kwenye usalama.

NB:Usalama ni dhana ya kufikirika,kama ambavyo ikweta,latitudo na longitudo ilivyo mistari ya kufikirika.Japo usalama ni dhana ya kufikirika,matumizi ya dhana hii huweza kuwa na madhara( chanya au hasi),madhara haya huwa ni madhara halisi( tangible) kama ambavyo matumizi ya mistari ya kufikirika yaani ikweta,longitudo na latitudo huweza kuwa na madhara halisi kwa watumiaji wa mistari hiyo.
 
USALAMA:
Hali ya mtu au kitu kuwa huru dhidi ya shambulio lolote ( Kiroho,Kimwili,kinafsi,kiakili nk)

ULINZI:
Uwezo wa mtu au kitu kuthibiti shambulio na kurudisha hali ya mtu au kitu kwenye usalama.

NB:Usalama ni dhana ya kufikirika,kama ambavyo ikweta,latitudo na longitudo ilivyo mistari ya kufikirika.Japo usalama ni dhana ya kufikirika,matumizi ya dhana hii huweza kuwa na madhara( chanya au hasi),madhara haya huwa ni madhara halisi( tangible) kama ambavyo matumizi ya mistari ya kufikirika yaani ikweta,longitudo na latitudo huweza kuwa na madhara halisi kwa watumiaji wa mistari hiyo.
Thoughtful...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
So, Mr. Mshana Jr , which group among the three you have mentioned above, tried to assassinate Hon. Mr. Tundu Lissu in 2017?
Was he a threat to the nation or personal ID? Sometimes we mistakenly n wrongfully use our Powers for personal gainings.. That has totally nothing to do with national security!
 
Mmmmmmh utamu wa dozi ya mwarobaini,
Third party to attend the meeting and discuss the secret issues!

(In English)
# tutaelewana tu!
 
USALAMA:
Hali ya mtu au kitu kuwa huru dhidi ya shambulio lolote ( Kiroho,Kimwili,kinafsi,kiakili nk)

ULINZI:
Uwezo wa mtu au kitu kuthibiti shambulio na kurudisha hali ya mtu au kitu kwenye usalama.

NB:Usalama ni dhana ya kufikirika,kama ambavyo ikweta,latitudo na longitudo ilivyo mistari ya kufikirika.Japo usalama ni dhana ya kufikirika,matumizi ya dhana hii huweza kuwa na madhara( chanya au hasi),madhara haya huwa ni madhara halisi( tangible) kama ambavyo matumizi ya mistari ya kufikirika yaani ikweta,longitudo na latitudo huweza kuwa na madhara halisi kwa watumiaji wa mistari hiyo.
yani hawa ni dhehebu kubwa Sana lilo ndani ya madhehebu mengine!
mti unao ota juu ya mti mwingine!
jiamini wewe tu na sio kinyume chake!
 
Was he a threat to the nation or personal ID? Sometimes we mistakenly n wrongfully use our Powers for personal gainings.. That has totally nothing to do with national security!
Oooohh
How could you know he was'nt a threat to the nation ?

As the matter of fact he was good politician, in such way he can be optimised by others ?
 
Unamaanisha kauawa kwa maslahi mapana ya taifa?
 
"Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story " [emoji3]
cardiovascular fibrillation [emoji1787][emoji1787]
 
It was a question [emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Was he a threat to the nation or personal ID?
Kwa upande mwingine
I emphasized the quote 😅😅
"Ungewezaje kujua kama sio tishio kwa taifa "

By the way who uses the power for personal winning ? Mimi sijui Umetaka kumaanisha nini 😂

Actually the discussion is so diverse
Na lazima tuu tuelemeane hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom