LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

Laiti haya uliyoyazungumzia yangekuwa yanafuata bongo nakuambia Kuna watawala wengi Sana wangeliwa vichwa

Kwanini?

1.wanachezea katiba ya nchi waziwazi.

2.wanakula pesa za umma bila kificho.

3.wana hatarishi maslahi ya nchi na diplomasia kwa mihemko Yao ya kisiasa

4.wanavunja umoja na mshikamano wa Taifa bila uoga .

5.wanakandamiza haki na kuchochea rushwa .

Kama haya Mambo yangekuwa yanazingatiwa na hao wanajulika wa usalana hii nchi ungekuwa kwenye mstari na mafanikio makubwa zaidi ya haya

Lakini wanachofanya

1.wanatawaliwa na wanasiasa katika maamuzi hawana usemi

2.wanaacha siasa zitawale Hadi kwenye idara

3.wako bize kutafuta wanaoikosea serikali

4. Wana wageuza upinzani Kama maadui wa nchi hata Kama mawazo Yao yanajenga


Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa

Ni mawazo tu
 
Nimekuelewa sana Mkuu, Yaani sana. Mimi mdadisi nimekuelewa.

"Just a general discussion.. Not aiming anything specific!... Ndio maana sijataja taifa lolote...!!!"
 
"Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story " [emoji3]
cardiovascular fibrillation [emoji1787][emoji1787]
cardiovascular fibrillation [emoji1787]Sijaelewa[emoji22][emoji848][emoji2827]
 
Kwa upande mwingine
I emphasized the quote [emoji28][emoji28]
"Ungewezaje kujua kama sio tishio kwa taifa "

By the way who uses the power for personal winning ? Mimi sijui Umetaka kumaanisha nini [emoji23]

Actually the discussion is so diverse
Na lazima tuu tuelemeane hivyo hivyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1548]
 
Nimekuelewa sana Mkuu, Yaani sana. Mimi mdadisi nimekuelewa.

"Just a general discussion.. Not aiming anything specific!... Ndio maana sijataja taifa lolote...!!!"
[emoji3][emoji1548][emoji1545][emoji2984]
 
Laiti haya uliyoyazungumzia yangekuwa yanafuata bongo nakuambia Kuna watawala wengi Sana wangeliwa vichwa

Kwanini?

1.wanachezea katiba ya nchi waziwazi.

2.wanakula pesa za umma bila kificho.

3.wana hatarishi maslahi ya nchi na diplomasia kwa mihemko Yao ya kisiasa

4.wanavunja umoja na mshikamano wa Taifa bila uoga .

5.wanakandamiza haki na kuchochea rushwa .

Kama haya Mambo yangekuwa yanazingatiwa na hao wanajulika wa usalana hii nchi ungekuwa kwenye mstari na mafanikio makubwa zaidi ya haya

Lakini wanachofanya

1.wanatawaliwa na wanasiasa katika maamuzi hawana usemi

2.wanaacha siasa zitawale Hadi kwenye idara

3.wako bize kutafuta wanaoikosea serikali

4. Wana wageuza upinzani Kama maadui wa nchi hata Kama mawazo Yao yanajenga


Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa

Ni mawazo tu
Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa [emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1545][emoji1548][emoji1548]
 
Bongo uzalendo Ni kumperemba na kumsifia Rais [emoji1]

Yaani Kuna tunaipenda hii nchi acheni tu mi Niko Tayari kuzichapa kisa Tanzania

Lakini tunakatishwa Sana tamaa na walio kwenye nafasi za kurekebisha huu uozo

Tunataka tujivunie utaifa wetu

Uzalendo uko kwenye nchi ,alama zake muhimu sio kwa mtu

Tuelewane



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hapa we dear to talk openly..kama unajua kwanini usimwage hapa?lakini vivi kwanini kila mgonjwa alipelekwa makibumsho hakutoka?Je hawajui kutibu au ndo site yakuweka mambo sawa


Nje ya mada na 'off records'
Kuna vijimaneno maneno vinatembea mitandaoni kwamba kuna tetesi kama si tuhuma kuwa mwanakwenda kawahishwa bila ridhaa yake!
Mimi sijui uhalisia ni upi lakini kufuatia hizo habari nimejikuta natafakari haya...!!!

Kama huyu kawahishwa vipi kuhusu mzee Ben!? Na ninani alikuww nyuma yake? Ni nani wa mwisho kumuona kabla hajafumba macho milele? Vp kuhusu yule DG aliyehudumu kwa marais wawili tofauti? Huyu wakati wa ugonjwa wake akapelekwa South lakini siku ya kuondoka aliaga kabisa kuwa hatarudi! ALIJUAJE!???

Turudi nyuma zaidi kwanini
JK alimuondoa EL kwenye u PM?
Kwanini alisema ni vema kutenganisha siasa na biashara? Alimlenga nani? Rostam? Je kulikuwa na kitisho?

Mitano tena!
Misaba!
Uchafuzi wa uchaguzi mkuu
Bunge la kijani tupu!
Nknk

The only two people wangeweza kusema chochote hawapo tena (Ben & DG) ni nani aliwanyamazisha? Je walikuwa kitisho kwa yaliyotarajiwa mbeleni?

Kuna mambo hayawezi kusemwa lakini yapo na majibu yake yanatisha.. Tukianza kusema tu fulani kamalizwa tutafukua mengi ya kutisha
 
Hapa we dear to talk openly..kama unajua kwanini usimwage hapa?lakini vivi kwanini kila mgonjwa alipelekwa makibumsho hakutoka?Je hawajui kutibu au ndo site yakuweka mambo sawa
Hapa we dear to talk openly..!!!! Kuna terms n conditions though
 
Hapa we dear to talk openly..!!!! Kuna terms n conditions though
wewe unajua vitu hata kabla ya mwenda zaku uliweko conection ya matukio fulani na baada ya hali tusiyotarajia kutokea ukaturefere ulichoconnect na ulichomani nyuma..So you know and have all information on what happen.So share..we are in democratic country now
 
wewe unajua vitu hata kabla ya mwenda zaku uliweko conection ya matukio fulani na baada ya hali tusiyotarajia kutokea ukaturefere ulichoconnect na ulichomani nyuma..So you know and have all information on what happen.So share..we are in democratic country now
Ni mwendo wa theories zisizo na ithibati lakini ambazo waunganisha dots hukutengenezea picha kamili
Kwa uchache
Kwamba EL alitaka kumu outsmart boss wake na aliyem support ni RA ambaye hata hivyo alicheza double standard.. Kama asili yake ilivyo (ambaye yuko kwenye payroll ya CIA)
Kwamba JK alipewa picha zima lilivyo na yaliyotokea yakatokea
Kwamba baada ya 2015 kuelekea 2020...Mambo yalijifunua wazi tunakotaka kupelekwa kama taifa na nyufa zikaanza kuonekana wazi... Wa kuonya wakaonya lakini kiburi kilikuwa kimetamalaki!

Waliokuwa na uwezo wa kukemea wazi na kwa kificho ni BM na AM .. Na hili halikumpendeza kabisa bwana yule... Yaliyotokea kwa wawili hao yanajukikana... Lakini it was too late kugundua kuwa shina la mpapai si la mgomba!
 
I got a license to kill so I steer the gat
Roc-A-Fella, Ruff Ryders, nikkas scared of that
Got a new motto this year, "Don't fvck with my ones" -Jigga My Nikka
 
I got a license to kill so I steer the gat
Roc-A-Fella, Ruff Ryders, nikkas scared of that
Got a new motto this year, "Don't fvck with my ones" -Jigga My Nikka
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2984][emoji2815][emoji2815]
 
Kutoa roho ya mtu ni tofauti kabisa na kutoa roho ya mnyama ama mdudu. Kwa mnyama sana sana unaweza kulipishwa fidia hasa kama mnyama mwenyewe ni kwa ajili ya utalii.

Kutoa roho ya mtu ukiachana na ule ugomvi wa papo kwa papo kunahitaji maandalizi yake! Na wengi kwenye hayo maandalizi hukosea kitu kidogo sana na hatimaye kujulikana, kukamatwa kufunguliwa mashtaka na hatimaye kuhukumiwa kifo ama vifungo vingine! Kuachiwa huru ni aghalabu!

Kwa kuzingatia hili kuna kaliba ya watu kwenye mataifa mbalimbali, kwa kuzingatia sheria wamepewa kibali cha kuua pale wanapoona maslahi na usalama wa Taifa vinahatarishwa! Wauaji hawa ni tofauti kabisa na polisi na wanajeshi japo wanaweza kuwa kwenye hayo mavazi. Hawa hawaui kwa uwazi labda mpaka njia zote zinaposhindikana kabisa na muda hautoshi.

Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story kama ikibidi kufanya hivyo.

Kuna vitengo vitatu vinahusika kwenye usalama na vyote hufanya kazi kwa kutegemeana ama kushirikiana katika baaadhi ya maswala yahusuyo usalama na mengine hufichana kwa sababu maalum.

Kuna usalama wa raia---- POLISI
Kuna usalama wa nchi ----JESHI
kuna usalama wa taifa --- JESHI + POLISI + RAIA
Usalama wa taifa ndio admin wa maswala yote ya ndani na ya nje ya usalama wa nchi. Hawa wako kila mahali na juu ya kila kitu. Lakini utendaji wao ni chini ya zulia ama nyuma ya pazia. Na hawa ndio wana kibali maalum cha kuua kwa maslahi na usalama wa taifa.

Usalama wa taifa kimsingi na kiasili hauchangamani kwa namna yoyote na siasa wala wanasiasa, bali wao wapo kuwachunga na kuwaongoza! Siasa huja na kubadilika lakini usalama wa nchi na taifa hubaki vilevile kwa nyakati zote. Hivyo utendaji na watendaji wake ni vya kaliba ya juu mno, na ndio maana kazi zake si za kutangazwa kwenye vyombo vya habari bali hupatikana kwa mchakato mrefu na mgumu

Kibali cha kuua hakiko kwa watu wa kawaida tu pale inapoonekana kuna kuhatarisha usalama wa nchi kwa kuhujumu nchi, kiusalama, kiuchumi na hata kijamii pia. Kibali hiki kiko hata kwa watu wa kaliba ya juu kama wafanyabiashara wakubwa, wanasiasa mashuhuri, wana sanaa nguli, viongozi mbalimbali wa kijamii na hata wa kidini.

Kimsingi ni kwamba wewe bila kujali nafasi na umuhimu wako kwenye jamii na taifa kwa ujumla, ukianza kuleta zako wanakula kichwa

Ukionekana wewe ni kitisho kwenye usalama wa taifa na nchi
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye amani ya nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye umoja na mshikamano wa taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye uchumi wa nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye nyanja zingine zozote zenye maslahi ya nchi na taifa basi tambua wazi huna maisha marefu.

Usalama wa taifa ndio engine ya nchi, hawa hawako tayari kuona gari linashindwa kusonga kwasababu ya tairi, gearbox, shockup ama kifaa kingine chochote. KIBOVU KITABADILISHWA FASTA!

NB: Just a general discussion. Not aiming anything specific!
Ndio ukweli. Kuna wakati kuna mambo yanafanyika hayatakaa kupata maelezo. sababu yana maslahi mapana ya nchi. Ukizingua shauri zako
 
Kaka Mshana natoa angalizo...waganga wa kienyeji na wachawi hawamo kwenye kundi linaloruhusiwa kulinda maslahi mapana ya nchi
 
Kaka Mshana natoa angalizo...waganga wa kienyeji na wachawi hawamo kwenye kundi linaloruhusiwa kulinda maslahi mapana ya nchi
Wamo na kuna project maalum za hiyo kaliba... Kule kuna kila kitu
 
Ni mwendo wa theories zisizo na ithibati lakini ambazo waunganisha dots hukutengenezea picha kamili
Kwa uchache
Kwamba EL alitaka kumu outsmart boss wake na aliyem support ni RA ambaye hata hivyo alicheza double standard.. Kama asili yake ilivyo (ambaye yuko kwenye payroll ya CIA)
Kwamba JK alipewa picha zima lilivyo na yaliyotokea yakatokea
Kwamba baada ya 2015 kuelekea 2020...Mambo yalijifunua wazi tunakotaka kupelekwa kama taifa na nyufa zikaanza kuonekana wazi... Wa kuonya wakaonya lakini kiburi kilikuwa kimetamalaki!

Waliokuwa na uwezo wa kukemea wazi na kwa kificho ni BM na AM .. Na hili halikumpendeza kabisa bwana yule... Yaliyotokea kwa wawili hao yanajukikana... Lakini it was too late kugundua kuwa shina la mpapai si la mgomba!
So kwa kuwa wakumkemea waliishaondoka..ilikuwaje wakaamua kumumaliza watu amabao hawanagut au waliowamaliza BM na Am ndo walimumaliza na bawana yule harafu wanabadilisha story
 
Back
Top Bottom