LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

Laiti haya uliyoyazungumzia yangekuwa yanafuata bongo nakuambia Kuna watawala wengi Sana wangeliwa vichwa

Kwanini?

1.wanachezea katiba ya nchi waziwazi.

2.wanakula pesa za umma bila kificho.

3.wana hatarishi maslahi ya nchi na diplomasia kwa mihemko Yao ya kisiasa

4.wanavunja umoja na mshikamano wa Taifa bila uoga .

5.wanakandamiza haki na kuchochea rushwa .

Kama haya Mambo yangekuwa yanazingatiwa na hao wanajulika wa usalana hii nchi ungekuwa kwenye mstari na mafanikio makubwa zaidi ya haya

Lakini wanachofanya

1.wanatawaliwa na wanasiasa katika maamuzi hawana usemi

2.wanaacha siasa zitawale Hadi kwenye idara

3.wako bize kutafuta wanaoikosea serikali

4. Wana wageuza upinzani Kama maadui wa nchi hata Kama mawazo Yao yanajenga


Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa

Ni mawazo tu
 
Nimekuelewa sana Mkuu, Yaani sana. Mimi mdadisi nimekuelewa.

"Just a general discussion.. Not aiming anything specific!... Ndio maana sijataja taifa lolote...!!!"
 
"Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story " [emoji3]
cardiovascular fibrillation [emoji1787][emoji1787]
cardiovascular fibrillation [emoji1787]Sijaelewa[emoji22][emoji848][emoji2827]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1548]
 
Nimekuelewa sana Mkuu, Yaani sana. Mimi mdadisi nimekuelewa.

"Just a general discussion.. Not aiming anything specific!... Ndio maana sijataja taifa lolote...!!!"
[emoji3][emoji1548][emoji1545][emoji2984]
 
Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa [emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1545][emoji1548][emoji1548]
 
Bongo uzalendo Ni kumperemba na kumsifia Rais [emoji1]

Yaani Kuna tunaipenda hii nchi acheni tu mi Niko Tayari kuzichapa kisa Tanzania

Lakini tunakatishwa Sana tamaa na walio kwenye nafasi za kurekebisha huu uozo

Tunataka tujivunie utaifa wetu

Uzalendo uko kwenye nchi ,alama zake muhimu sio kwa mtu

Tuelewane



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hapa we dear to talk openly..kama unajua kwanini usimwage hapa?lakini vivi kwanini kila mgonjwa alipelekwa makibumsho hakutoka?Je hawajui kutibu au ndo site yakuweka mambo sawa


 
Hapa we dear to talk openly..kama unajua kwanini usimwage hapa?lakini vivi kwanini kila mgonjwa alipelekwa makibumsho hakutoka?Je hawajui kutibu au ndo site yakuweka mambo sawa
Hapa we dear to talk openly..!!!! Kuna terms n conditions though
 
Hapa we dear to talk openly..!!!! Kuna terms n conditions though
wewe unajua vitu hata kabla ya mwenda zaku uliweko conection ya matukio fulani na baada ya hali tusiyotarajia kutokea ukaturefere ulichoconnect na ulichomani nyuma..So you know and have all information on what happen.So share..we are in democratic country now
 
Ni mwendo wa theories zisizo na ithibati lakini ambazo waunganisha dots hukutengenezea picha kamili
Kwa uchache
Kwamba EL alitaka kumu outsmart boss wake na aliyem support ni RA ambaye hata hivyo alicheza double standard.. Kama asili yake ilivyo (ambaye yuko kwenye payroll ya CIA)
Kwamba JK alipewa picha zima lilivyo na yaliyotokea yakatokea
Kwamba baada ya 2015 kuelekea 2020...Mambo yalijifunua wazi tunakotaka kupelekwa kama taifa na nyufa zikaanza kuonekana wazi... Wa kuonya wakaonya lakini kiburi kilikuwa kimetamalaki!

Waliokuwa na uwezo wa kukemea wazi na kwa kificho ni BM na AM .. Na hili halikumpendeza kabisa bwana yule... Yaliyotokea kwa wawili hao yanajukikana... Lakini it was too late kugundua kuwa shina la mpapai si la mgomba!
 
I got a license to kill so I steer the gat
Roc-A-Fella, Ruff Ryders, nikkas scared of that
Got a new motto this year, "Don't fvck with my ones" -Jigga My Nikka
 
I got a license to kill so I steer the gat
Roc-A-Fella, Ruff Ryders, nikkas scared of that
Got a new motto this year, "Don't fvck with my ones" -Jigga My Nikka
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2984][emoji2815][emoji2815]
 
Ndio ukweli. Kuna wakati kuna mambo yanafanyika hayatakaa kupata maelezo. sababu yana maslahi mapana ya nchi. Ukizingua shauri zako
 
Kaka Mshana natoa angalizo...waganga wa kienyeji na wachawi hawamo kwenye kundi linaloruhusiwa kulinda maslahi mapana ya nchi
 
Kaka Mshana natoa angalizo...waganga wa kienyeji na wachawi hawamo kwenye kundi linaloruhusiwa kulinda maslahi mapana ya nchi
Wamo na kuna project maalum za hiyo kaliba... Kule kuna kila kitu
 
So kwa kuwa wakumkemea waliishaondoka..ilikuwaje wakaamua kumumaliza watu amabao hawanagut au waliowamaliza BM na Am ndo walimumaliza na bawana yule harafu wanabadilisha story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…