LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

Kulitengenezwa kitengo mbadala ambacho si cha taifa bali cha chama
Unafikiri hawajui, kuna kitengo kilikuwepo nje ya kitengo ambacho kilishirikisha baadhi ya watu wachache wa kitengo na raia wa kawaida wenye roho mbaya. Mission zao nyingi zilikuwa za kidwanzi mfano ni ile iliyofanyika Tarime kwa Zakaria, Kibondo kwa Kanguye, na kwa Roma Mkatoriki. Mfano fikiria mtu kama Roma ambae hana effect yoyote hata kwenye kata unaenda kumteka na kumtesa..!
Inahitajika akili kubwa sana kuepusha matatizo ya aina hii tuliyopitia ili yasije kudondoka kwa mtu wa aina ile maana ni hatari kwa taifa na watu wake, tathimini ya viongozi bora wa taifa na siyo bora kiongozi inahitajika ili kutuepusha kuangukia mikononi mwa watu washamba wa madaraka na wanaolewa sifa kisa kumiliki siraha
 
HIVI NI KWELI MWENDA ZAKE ALIKUWA NALINDWA NA MAJESHI YA NJE YQNAYOTUMIA UNIFORM ZA NJE KAMA MBOWE ALIVYODAI KWENYE PRESS RELEASE?JE INAWEKANA KATOKA NCHI KAMA YETU KUFANYIKA KITU KAMA HICHO TENA KWA UWAZI AU NI UWONGO WA KISIASA?
Siwezi kulisemea hili kwakuwa haliko kwenye mada yangu
 
HIVI NI KWELI MWENDA ZAKE ALIKUWA NALINDWA NA MAJESHI YA NJE YQNAYOTUMIA UNIFORM ZA NJE KAMA MBOWE ALIVYODAI KWENYE PRESS RELEASE?JE INAWEKANA KATOKA NCHI KAMA YETU KUFANYIKA KITU KAMA HICHO TENA KWA UWAZI AU NI UWONGO WA KISIASA?
Duh
 
Kutoa roho ya mtu ni tofauti kabisa na kutoa roho ya mnyama ama mdudu. Kwa mnyama sana sana unaweza kulipishwa fidia hasa kama mnyama mwenyewe ni kwa ajili ya utalii.

Kutoa roho ya mtu ukiachana na ule ugomvi wa papo kwa papo kunahitaji maandalizi yake! Na wengi kwenye hayo maandalizi hukosea kitu kidogo sana na hatimaye kujulikana, kukamatwa kufunguliwa mashtaka na hatimaye kuhukumiwa kifo ama vifungo vingine! Kuachiwa huru ni aghalabu!

Kwa kuzingatia hili kuna kaliba ya watu kwenye mataifa mbalimbali, kwa kuzingatia sheria wamepewa kibali cha kuua pale wanapoona maslahi na usalama wa Taifa vinahatarishwa! Wauaji hawa ni tofauti kabisa na polisi na wanajeshi japo wanaweza kuwa kwenye hayo mavazi. Hawa hawaui kwa uwazi labda mpaka njia zote zinaposhindikana kabisa na muda hautoshi.

Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story kama ikibidi kufanya hivyo.

Kuna vitengo vitatu vinahusika kwenye usalama na vyote hufanya kazi kwa kutegemeana ama kushirikiana katika baaadhi ya maswala yahusuyo usalama na mengine hufichana kwa sababu maalum.

Kuna usalama wa raia---- POLISI
Kuna usalama wa nchi ----JESHI
kuna usalama wa taifa --- JESHI + POLISI + RAIA
Usalama wa taifa ndio admin wa maswala yote ya ndani na ya nje ya usalama wa nchi. Hawa wako kila mahali na juu ya kila kitu. Lakini utendaji wao ni chini ya zulia ama nyuma ya pazia. Na hawa ndio wana kibali maalum cha kuua kwa maslahi na usalama wa taifa.

Usalama wa taifa kimsingi na kiasili hauchangamani kwa namna yoyote na siasa wala wanasiasa, bali wao wapo kuwachunga na kuwaongoza! Siasa huja na kubadilika lakini usalama wa nchi na taifa hubaki vilevile kwa nyakati zote. Hivyo utendaji na watendaji wake ni vya kaliba ya juu mno, na ndio maana kazi zake si za kutangazwa kwenye vyombo vya habari bali hupatikana kwa mchakato mrefu na mgumu

Kibali cha kuua hakiko kwa watu wa kawaida tu pale inapoonekana kuna kuhatarisha usalama wa nchi kwa kuhujumu nchi, kiusalama, kiuchumi na hata kijamii pia. Kibali hiki kiko hata kwa watu wa kaliba ya juu kama wafanyabiashara wakubwa, wanasiasa mashuhuri, wana sanaa nguli, viongozi mbalimbali wa kijamii na hata wa kidini.

Kimsingi ni kwamba wewe bila kujali nafasi na umuhimu wako kwenye jamii na taifa kwa ujumla, ukianza kuleta zako wanakula kichwa

Ukionekana wewe ni kitisho kwenye usalama wa taifa na nchi
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye amani ya nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye umoja na mshikamano wa taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye uchumi wa nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye nyanja zingine zozote zenye maslahi ya nchi na taifa basi tambua wazi huna maisha marefu.

Usalama wa taifa ndio engine ya nchi, hawa hawako tayari kuona gari linashindwa kusonga kwasababu ya tairi, gearbox, shockup ama kifaa kingine chochote. KIBOVU KITABADILISHWA FASTA!

NB: Just a general discussion. Not aiming anything specific!
Kwa hiyo ben sanane alitishia usalama?
 
Kutoa roho ya mtu ni tofauti kabisa na kutoa roho ya mnyama ama mdudu. Kwa mnyama sana sana unaweza kulipishwa fidia hasa kama mnyama mwenyewe ni kwa ajili ya utalii.

Kutoa roho ya mtu ukiachana na ule ugomvi wa papo kwa papo kunahitaji maandalizi yake! Na wengi kwenye hayo maandalizi hukosea kitu kidogo sana na hatimaye kujulikana, kukamatwa kufunguliwa mashtaka na hatimaye kuhukumiwa kifo ama vifungo vingine! Kuachiwa huru ni aghalabu!

Kwa kuzingatia hili kuna kaliba ya watu kwenye mataifa mbalimbali, kwa kuzingatia sheria wamepewa kibali cha kuua pale wanapoona maslahi na usalama wa Taifa vinahatarishwa! Wauaji hawa ni tofauti kabisa na polisi na wanajeshi japo wanaweza kuwa kwenye hayo mavazi. Hawa hawaui kwa uwazi labda mpaka njia zote zinaposhindikana kabisa na muda hautoshi.

Hawa huua kwa siri ama kwa kificho na kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, halafu wanaohusika na usalama wa raia hutengeneza story kama ikibidi kufanya hivyo.

Kuna vitengo vitatu vinahusika kwenye usalama na vyote hufanya kazi kwa kutegemeana ama kushirikiana katika baaadhi ya maswala yahusuyo usalama na mengine hufichana kwa sababu maalum.

Kuna usalama wa raia---- POLISI
Kuna usalama wa nchi ----JESHI
kuna usalama wa taifa --- JESHI + POLISI + RAIA
Usalama wa taifa ndio admin wa maswala yote ya ndani na ya nje ya usalama wa nchi. Hawa wako kila mahali na juu ya kila kitu. Lakini utendaji wao ni chini ya zulia ama nyuma ya pazia. Na hawa ndio wana kibali maalum cha kuua kwa maslahi na usalama wa taifa.

Usalama wa taifa kimsingi na kiasili hauchangamani kwa namna yoyote na siasa wala wanasiasa, bali wao wapo kuwachunga na kuwaongoza! Siasa huja na kubadilika lakini usalama wa nchi na taifa hubaki vilevile kwa nyakati zote. Hivyo utendaji na watendaji wake ni vya kaliba ya juu mno, na ndio maana kazi zake si za kutangazwa kwenye vyombo vya habari bali hupatikana kwa mchakato mrefu na mgumu

Kibali cha kuua hakiko kwa watu wa kawaida tu pale inapoonekana kuna kuhatarisha usalama wa nchi kwa kuhujumu nchi, kiusalama, kiuchumi na hata kijamii pia. Kibali hiki kiko hata kwa watu wa kaliba ya juu kama wafanyabiashara wakubwa, wanasiasa mashuhuri, wana sanaa nguli, viongozi mbalimbali wa kijamii na hata wa kidini.

Kimsingi ni kwamba wewe bila kujali nafasi na umuhimu wako kwenye jamii na taifa kwa ujumla, ukianza kuleta zako wanakula kichwa

Ukionekana wewe ni kitisho kwenye usalama wa taifa na nchi
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye amani ya nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye umoja na mshikamano wa taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye uchumi wa nchi na taifa
Ukionekana wewe ni kitisho kwenye nyanja zingine zozote zenye maslahi ya nchi na taifa basi tambua wazi huna maisha marefu.

Usalama wa taifa ndio engine ya nchi, hawa hawako tayari kuona gari linashindwa kusonga kwasababu ya tairi, gearbox, shockup ama kifaa kingine chochote. KIBOVU KITABADILISHWA FASTA!

NB: Just a general discussion. Not aiming anything specific!
Kwa uzi wako huu unawaweka kenye kundi gani wanaodai Ben Saanane, Azaori, Kanguye, nk walidhulumiwa uhai wao?

Katika kumjibu mtoa hoja hapo chini umedai "Just a general discussion.. Not aiming anything specific" hapa unakwepa tu kunukuliwa kama chanzo uchochezi, lakini taswira ya andiko umelenga kitu gani, kwa nani na kwa sababu zipi

Kwa hiyo kwa kuwa umeamua kufunguka kimtego, jiachie tu na utamke ni nani aliyeuwa kwa masalahi ya taifa ili tumalize mchezo mapema
 
Kwa uzi wako huu unawaweka kenye kundi gani wanaodai Ben Saanane, Azaori, Kanguye, nk walidhulumiwa uhai wao?

Katika kumjibu mtoa hoja hapo chini umedai "Just a general discussion.. Not aiming anything specific" hapa unakwepa tu kunukuliwa kama chanzo uchochezi, lakini taswira ya andiko umelenga kitu gani, kwa nani na kwa sababu zipi

Kwa hiyo kwa kuwa umeamua kufunguka kimtego, jiachie tu na utamke ni nani aliyeuwa kwa masalahi ya taifa ili tumalize mchezo mapema
Kwa uzi wako huu unawaweka kenye kundi gani wanaodai Ben Saanane, Azaori, Kanguye, nk walidhulumiwa uhai wao?[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Madaraka ya kulevya yalikuja kuunda kitengo nje ya kitengo kisicho na weledi na ujuzi wa kiutendaji... Hicho kitengo kikafanya kazi kwa maslahi ya mtu na si taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzi wako huu unawaweka kenye kundi gani wanaodai Ben Saanane, Azaori, Kanguye, nk walidhulumiwa uhai wao?[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Madaraka ya kulevya yalikuja kuunda kitengo nje ya kitengo kisicho na weledi na ujuzi wa kiutendaji... Hicho kitengo kikafanya kazi kwa maslahi ya mtu na si taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauthibitisho gani, kitengo hicho kiliitwaje na kiongozi wake alikuwa nani?

Wewe uliwahi kukutana na mmojwapo waliukuwa wanaunda hicho kitengo ukajiridhisha kwamba hawana weledi kwa kazi hiyo?

Wewe unataalum yoyote kuhusiana na usalama wa taifa zaidi ya ubashiri wa kinyota?

Ni nani mwenye kipimo sahihi kwamba kitendo kilichotekelezwa kilikuwa kwa maslahi ya taifa au hapana?

Kwamimi unadai kitengo kiliundwa sijui na nani kwa maslahi binafsi?

Hivi unaelewa kwamba unapotajwa rais ndio unaamanisha nchi?

Kwa hiyo unataka kuwaambia jamii kwamba kabla ya SSH aliyekuwepo hakuwa rais ila alikuwa mtu binafsi?

Tafkari na ujibu kwa ufasaha Mshana Jr
 
Unauthibitisho gani, kitengo hicho kiliitwaje na kiongozi wake alikuwa nani?

Wewe uliwahi kukutana na mmojwapo waliukuwa wanaunda hicho kitengo ukajiridhisha kwamba hawana weledi kwa kazi hiyo?

Wewe unataalum yoyote kuhusiana na usalama wa taifa zaidi ya ubashiri wa kinyota?

Ni nani mwenye kipimo sahihi kwamba kitendo kilichotekelezwa kilikuwa kwa maslahi ya taifa au hapana?

Kwamimi unadai kitengo kiliundwa sijui na nani kwa maslahi binafsi?

Hivi unaelewa kwamba unapotajwa rais ndio unaamanisha nchi?

Kwa hiyo unataka kuwaambia jamii kwamba kabla ya SSH aliyekuwepo hakuwa rais ila alikuwa mtu binafsi?

Tafkari na ujibu kwa ufasaha Mshana Jr
Unajaribu kuuliza maswali ambayo sina majibu yake zaidi ya nilichokujibu..
Mengine ni tafsiri zako binafsi kufuatia jibu langu kwako... Sihusiki na hizo tafsiri zako nahusika na maandishi yangu
Hakuna mahali popote nimemtaja rais yeyote kwa lolote..sipo hapa kumjadili mtu
 
Unajaribu kuuliza maswali ambayo sina majibu yake zaidi ya nilichokujibu..
Mengine ni tafsiri zako binafsi kufuatia jibu langu kwako... Sihusiki na hizo tafsiri zako nahusika na maandishi yangu
Hakuna mahali popote nimemtaja rais yeyote kwa lolote..sipo hapa kumjadili mtu
Unawajibika sawia
 
Your theories are only valid and relevant in political science and legal method classrooms. In practice they are just irrelevant and useless
 
Back
Top Bottom