Licha ya kuingia uchumi wa Kati, Tanzania bado tuko chini katika ubora wa Maisha (HUMAN DEVELOPMENT INDEX) tunashika nafasi ya 163

Licha ya kuingia uchumi wa Kati, Tanzania bado tuko chini katika ubora wa Maisha (HUMAN DEVELOPMENT INDEX) tunashika nafasi ya 163

silent lion

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
1,278
Reaction score
1,794
HDI kwa kifupi inaangalia Afya na umri wa wananchi , pamoja na ubora wa maisha wanayoishi. Pia ndio inayopima kama taifa limeendelea au liko chini.

Kwa sasa Tanzania iko katika kundi la chini kabisa nafasi ya 163 , kinachoshangaza hata Comoro na Uganda wametupita.


Kwa haraka tu nadhani Watz tuna mzigo mkubwa wa kodi maisha yanakua ghali. Kodi ambazo asilimia kubwa zinahudumia tu Serikali na sio huduma za maendeleo

Screenshot_20220112-102931_Chrome.jpg


Screenshot_20220112-102911_Chrome.jpg
 
Data za mwaka gani?
Maana TZ tumepiga hatua from 2014 to 2018, then tukaanza kurudi nyuma
 
Sisiyemu ni waongo ongo na ndio waliofikisha taifa ili hadi hapo tulipo
 
Hivi huwa kuna watu wanaamini kabisa tuliingia uchumi wa kati kama nchi?Vibweka vingine tuwe tunasikiliza tu kama chombezo la kisiasa!😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom