Licha ya kuwapambania wanasiasa, polisi maisha yao ni duni sana tatizo nini?

Licha ya kuwapambania wanasiasa, polisi maisha yao ni duni sana tatizo nini?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Moja kati ya silaha kubwa sana ya wanasiasa kuwabakiza madaraka pale mambo yao yanapoenda kombo basi huwa ni jeshi la polisi.

Polisi ukiondoa yale mavazi yao na wao ni wananchi wa kawaida tu, hali ya maisha ni sawa tu na sisi raia wa kawaida.

Ugumu wa maisha tuliyonayo wananchi na wao pia wanapitia. Mishahara duni, wengi wao watoto wao wanasoma na watoto wetu kwenye hizi shule zetu, hospital tunatibiwa pamoja, yaani kadhia zote tunapata pamoja.

Ajabu ni kwamba wamekuwa wakilinda maslahi ya wanasiasa kila uchwao, ajabu ni kuwa hata wanasiasa wenyewe hawana muda nao, wanaofaidika ni mabosi zao.

Nenda kwenye makazi yao, wenyewe wanaita kota, utalia zingine zimechakaa chakari 🤔

Nyie tupigeni tu virungu lakini msoto wa kimaisha tunapitia wote.
 
Moja kati ya silaha kubwa sana ya wanasiasa kuwabakiza madaraka pale mambo yao yanapoenda kombo basi huwa ni jeshi la polisi.

Polisi ukiondoa yale mavazi yao na wao ni wananchi wa kawaida tu, hali ya maisha ni sawa tu na sisi raia wa kawaida.

Ugumu wa maisha tuliyonayo wananchi na wao pia wanapitia. Mishahara duni, wengi wao watoto wao wanasoma na watoto wetu kwenye hizi shule zetu, hospital tunatibiwa pamoja, yaani kadhia zote tunapata pamoja.

Ajabu ni kwamba wamekuwa wakilinda maslahi ya wanasiasa kila uchwao, ajabu ni kuwa hata wanasiasa wenyewe hawana muda nao, wanaofaidika ni mabosi zao.

Nenda kwenye makazi yao, wenyewe wanaita kota, utalia zingine zimechakaa chakari 🤔

Nyie tupigeni tu virungu lakini msoto wa kimaisha tunapitia wote.
Polisi wa Nchi gani hao? Watumishi gani ambao maisha Yao ni Mazuri?
 
Zile nyumba zao pale line polisi karibu na waswanu pub yaani zinatisha kwa kweli ndiyo kota eti.

Vijumba vifupi kuliko hata mimi wanaingia kama wanaingia shimoni kisa hawalipi kodi tu wameridhika .

Vijumba vingine vinawabomokea wanavijenga.

Magereza na polisi afadhali magereza wale wana madili mengi ya kupiga

Unakuta dereva kapeleka wafungwa sehemu then anasepa anapitia mchongo wake aliopewa wa kubeba mchanga kwenye Lori lake anapiga pesa yake anarudi kule gengeni.
 
Moja kati ya silaha kubwa sana ya wanasiasa kuwabakiza madaraka pale mambo yao yanapoenda kombo basi huwa ni jeshi la polisi.

Polisi ukiondoa yale mavazi yao na wao ni wananchi wa kawaida tu, hali ya maisha ni sawa tu na sisi raia wa kawaida.

Ugumu wa maisha tuliyonayo wananchi na wao pia wanapitia. Mishahara duni, wengi wao watoto wao wanasoma na watoto wetu kwenye hizi shule zetu, hospital tunatibiwa pamoja, yaani kadhia zote tunapata pamoja.

Ajabu ni kwamba wamekuwa wakilinda maslahi ya wanasiasa kila uchwao, ajabu ni kuwa hata wanasiasa wenyewe hawana muda nao, wanaofaidika ni mabosi zao.

Nenda kwenye makazi yao, wenyewe wanaita kota, utalia zingine zimechakaa chakari 🤔

Nyie tupigeni tu virungu lakini msoto wa kimaisha tunapitia wote.
Wee jamaa vipi? Askari ni kazi na ni taaluma kama taaluma zingine! Kama wana maisha magumu ni sawa na watanzania wengine walioajiliwa kwa hiyo hajabu ni hipi? Maisha ni mfumo! Ulinzi wa nchi na mali za nchi ni mfumo na ni lazima pawepo na wafanyakazi wa huo mfumo! Wewe CHADEMA usitake kupotosha uhalisia wa maisha! Ukizingua tutakupelekea moto kama kawa maana tupo kazini!
 
Unafikiri tatizo ni polisi!!?au watumishi wa umma!!?

Tatizo ni deep state walivyofanya set up ya mambo yapasavyo kuwa!!

Unashangaa kabisa eti Kuna wanaume Wana akili timamu eti wanatetea wanachama wa ccm hata kama wameharibu na kulinda maslahi yao!!!

Yaani fisadi mwizi jangili analindwa kwasababu ni mwanaccm eti!!!!

Sidhanu kama huo ujinga utakuepo nikishika hatamu!
 
Back
Top Bottom