Hata mimi sipendi watu wajue kama nina akaunti Jf ndio maana hata app naogopa kuidownload nahofia kujua kuwa mimi ni Jf member .Watu wengi wakiwa nje ya JF hawapendi kujionyesha kua wanaijua JF
Ila ukweli ni kwamba wanaijua JF vizuri sana,
sio kila anayekwambia kua haijui JF basi ni kweli kua haijui.
JamiiForums is exclusively for great thinkers only !Tangu nijiunge rasmi JamiiForums kiukweli sijawahi jutia, lakini bado watu wengi hawaijui. Yaani unaweza pita mtaani kati ya watu kumi utaowauliza ni mmoja tu ndo anayeijua, mwingine anakwambia "ndo nini hiyo".
Mpaka sasa, hata posts tu hazifikii idadi ya watanzania maana posts zipo 43 million, threads 1 million, na member laki sita. Kama mtu anavoshinda instagram siku nzima na mimi ni hivyo hivyo JamiiForums.
Je, tatizo ni nini maana JamiiForums sio popular kabisa among people.
Sio kweliJamiiForums is exclusively for great thinkers only !
aibuPoa,thx mkuu.
SureJamiiForums is exclusively for great thinkers only !
Nimeandika uhalisia sijaandika kuthibitisha kama ni kweli au sio kweliSio kweli
Huo uhalisia haupo ndio maana nikasema sio kweli.Nimeandika uhalisia sijaandika kuthibitisha kama ni kweli au sio kweli
Una haki hiyo kwakuwa huo ni mtazamo wakoHuo uhalisia haupo ndio maana nikasema sio kweli.
.Twende kwa mifano halisi, ni nondo gani unazipata humu ambazo huko mtaani hawazijui?
Mtu alie mwenye maarifa, sehemu sahihi ni wapiJf ni platform ya kupotezea muda ukiwa bored. Kwa mtu aliye busy sana au mwenye maarifa sana sio sehemu sahihi
Tena vijembe vya Jf kila siku kuwasakama walimu, nakubaliana na wewe mkuuUongo mkubwa, mitandao yote mikubwa Ina hizo sifa. Kazi kwako kuamua unafuata yapi. Hata insta na fb kuna pages nyingi ultu za madini ya kila aina. Umemfollow mwijaku, unategemea nini?
Hayo uliyosema jf yapo tena ni mengi mno, Kama uzushi basi humu ndio sehemu yake. Kama utoto humu ndio sehemu yake pia, Kama ni vijembe Kama ulivyosema twitter humu napo ni mahala pake
Na Mimi ni miongoni mwao wiki mbili zilizopita Kuna jamaa yangu sana alipitia changamoto tukiwa tumekutana tunaongea na kushauriana aliniambia alipita jf kusoma experience za watu na kuchukua ushauri.Watu wengi wakiwa nje ya JF hawapendi kujionyesha kua wanaijua JF.
Ila ukweli ni kwamba wanaijua JF vizuri sana.
sio kila anayekwambia kua haijui JF basi ni kweli kua haijui.