Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
Wanapigania taifa lao dhidi ya uvamizi.Kwa hiyo wananchi wa Russia wao wanafurahia watu wao kufa Ukraine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapigania taifa lao dhidi ya uvamizi.Kwa hiyo wananchi wa Russia wao wanafurahia watu wao kufa Ukraine.
Naona mitandaoni wakilalamika sana maisha magumu na serikali yao iache kutoa pesa nje hali ya kuwa homeless wapo wa kutosha tu, pia maisha yamepanda sana.Wewe ni msemaji wa wananchi wa USA?
Mataifa zaidi ya 30 yanachangia gharama za vita ukraine, Vladimir anakufa ki ofisa na tai shingoni. Putin anafilisi Russia kwa jeuri ya kijinga.Tuliwaambia RUSSIA anapigana vita na mataifa zaidi ya 30 yaliyojiunga NATO mkabisha.
Kweli kenge ni kenge tu hasikii hadi achezee kipigo cha mmbwa mwizi atokwe damu.
Sasa yupi Kidume hadi sasa hivi [emoji848][emoji124]
Dola bilioni mia sita za Urusi zilizozuiliwa benki za Ulaya na Marekeni zitatumika kujenga upya Ukraine.Sioni Kama marekani anaitakia mema ukriane, yeye ndo anazidi kuiangamiza Ukraine inazidi kua magofu.
Anavuruga mazungumzo maksudi na kuwagawia ukriane silaha ili waendelee kupigana na urusi.
Hii sio fair,
Alitakiwa ahamasishe wapatane na sio wapigane
Sent using Jamii Forums mobile app
Chato nisehemu ya tanzania na wapinzani niwatanzania pia. Hivyo nisahihi kodi kupelekwa huko ila sasa hawa hawanufaishi watu wa nchi husiikaDikteta Putin yeye hatumii pesa za warussia ila yeye anatumia mawe.
Wamarekani hawajalalamika wewe wa Buza kwa Mama Kibonge ndio unaona uchungu wakati kodi zenu zinatumiwa kununulia wapinzani na zingine kujengea Chato ulikaa kimya wala ukufurukuta leo unaona ya wengine. Mnafiki mkubwa wewe.
Hao itakuwa na sawa na wale Warusi walioandamana kupinga vita.Naona mitandaoni wakilalamika sana maisha magumu na serikali yao iache kutoa pesa nje hali ya kuwa homeless wapo wa kutosha tu, pia maisha yamepanda sana.
Mimi Ni mkristo na ninalaani matendo ya USA.Unajua marekani iliwachapa sana ndugu wa dini fulani, Libya na Gadafi wake, Iraq na Saddam wake, kina Osama, Afghanistan n.k so ndugu wengi kama sio wote wanakinyongo sana na Mmerekani[emoji3]!
Juzi nimeona video ya huko LA,homeless wako wanakula mavi Yao.Yes,I mean mavi Yao.Hali Ni ngumuNaona mitandaoni wakilalamika sana maisha magumu na serikali yao iache kutoa pesa nje hali ya kuwa homeless wapo wa kutosha tu, pia maisha yamepanda sana.
Sasa si wakafanye kazi, haiwezekani serikali Iwagawie benefit zaidi, nchi nzima itakaa itake benefit. Thats tough!Juzi nimeona video ya huko LA,homeless wako wanakula mavi Yao.Yes,I mean mavi Yao.Hali Ni ngumu
😄😄 Kwani UKRAINE inafanya kazi gani ku-deserve kupewa misaada inayopewa?Sasa si wakafanye kazi, haiwezekani serikali Iwagawie benefit zaidi, nchi nzima itakaa itake benefit. Thats tough!
Sawa, kwani dini yako ilitajwa hapo?Mimi Ni mkristo na ninalaani matendo ya USA.
Amen!Dola bilioni mia sita za Urusi zilizozuiliwa benki za Ulaya na Marekeni zitatumika kujenga upya Ukraine.
Wala hakuna wa kuhangaika naye ni yeye mwenyewe atakayerudi kwenye stone age.
Msaada haulipwi ila mikopo ndio hulipwa.Msaada bure au Ukraine wataulipa.
Ili Putin atafutiwe pakukamatiwaYaani wameacha watu wamechapika ndio wanatoa msaada, hypocrisy...
Na zitatumika kufufua watu waliokufaDola bilioni mia sita za Urusi zilizozuiliwa benki za Ulaya na Marekeni zitatumika kujenga upya Ukraine.
Kule Russia wale watu zaidi ya 15,000 waliokamatwa kwa kuandamana kupinga uvamizi wa nchi yao dhidi ya Ukraine wao unawazungumziaje.Russia ana sababu ya kutumia kodi za wananchi kulinda taifa lake, US kinachomtoa huko mpaka Ukraine ni kipi?
Nia yake ovu inajulikana, wananchi wa US hawapendezwi na hilo, ipo wazi..