Licha ya mikwara ya Urusi, Marekani ametangaza msaada wa kijeshi $800 million kwa Ukraine

Licha ya mikwara ya Urusi, Marekani ametangaza msaada wa kijeshi $800 million kwa Ukraine

Hayo mataifa yakiingia vitani dhidi ya Urusi atajamba sana, wanamtamani sana, Sweden wana ndege ambazo wanatamani sana zihusike ila hakuna rubani Ukraine hata mmoja mwenye uwezo wa kuziendesha, aina ya jets ambazo ziko soo advanced yaani inashusha mzigo bila kuonekana.
yaani upigane na mrusi halafu urushe ndege asiione labda burundi hata hivyo USA aliwahi sema ana ndege hazionekani kwenye radar mara sijui ina jamming system wakai deploy kule KOSOVO wakati ikipigana na NATO matokeo ni kwamba ilipotokea pua yake wakaitungua kwa kutumika Pachora yaani S-175 ambayo ni babu yake na S-400 stori na tzmbo za US ziliishia hapo sasa kama kuna Sweden katengeneza ndege ambayo Mrusi hawezi ona tunaomba waipeleke uwanja wa vita.
 
Kule Russia wale watu zaidi ya 15,000 waliokamatwa kwa kuandamana kupinga uvamizi wa nchi yao dhidi ya Ukraine wao unawazungumziaje.
Kwa nini US itumie pesa za kodi za wananchi wake ku fund Ukraine? Hivi hizo pesa wanashisndwa kuhudumia homeless ambao kila leo wanakufa kwa baridi kisa hawana mahala pa kuishi..

Ugomvi upo thousands of km away, kinachomiwasha ni nini?

We uliona Russia walikuja Libya kurusha hata jiwe?
 
Sema Russia wapo vizuri Sana watu wanampaka aerospace forces yaani majeshi ya anga za mbali?
 
Kwa nini US itumie pesa za kodi za wananchi wake ku fund Ukraine? Hivi hizo pesa wanashisndwa kuhudumia homeless ambao kila leo wanakufa kwa baridi kisa hawana mahala pa kuishi..

Ugomvi upo thousands of km away, kinachomiwasha ni nini?

We uliona Russia walikuja Libya kurusha hata jiwe?
A very interesting question, Russia anafanya nini Mali, Syria, Libya, Ukraine, Kazakhstan and other territories?
 
US inatoa $800 million ambazo ni kodi za raia kuipa msaada Ukraine.

Hilo jambo linawaharibia US, wananchi hawa support huo ujinga ukizingatia hali ya uchumi wa dunia ulivyo tetereka hivi sasa.

Kingine its too late, hakuna pesa itaweza fanya Ukraine ishinde.
Ukweli Marekani hizo pesa hana.Ni ahadi hewa kwa Ukraine.Na kweli msaada huo umechelewa na ni hatari muda huu kupeleka misaada kama hiyo.Zaidi ya kuwa ni uchokozi wa wazi kwa mbabe mwenzake lakini pia uwezekano wa kumfikia Zelensky salama ni mdogo.Iwapo msaada kama huo ni wa vifaa vya kijeshi atapitishia wapi.Miji mikubwa kama Lyiv yenye miundo mbinu ya reli iko hali mbaya kuweza kubeba kitu mpaka Kyiv.Kubeba kitu chochote kwa ndege kwenda Kyiv kuna uwezekano wa ndege kuangushwa na bila lawama kwa anayeidungua.Na pesa taslim zitafikaje kama si rubbles.Na zikifika zitanunuliwa kitu gani.
 
A very interesting question, Russia anafanya nini Mali, Syria, Libya, Ukraine, Kazakhstan and other territories?
Putin anasimika/anasaidia viongozi dikteta wasiokubalika na wananchi wa nchi tajwa. Vita vya Ukraine ni vita vya kulinda demokrasia na uhuru . To life,freedom and pursuit of happiness.
 
Putin alimtumia Marekani barua kwamba akiendelea kusaidia Ukraine kijeshi asubiri kitakachotokea, Marekani amejibu kwa kutoa msaada wa kufa mtu, dola milioni 800 sio mchezo aki ya nani huu ni uchokozi, masheikh wa JF pro Putin brigade hii imekaa vipi.....

==========================================

With a Russian offensive is considered likely in eastern Ukraine's war-torn Donbass region, Washington earmarked heavier weapons for Kyiv as President Joe Biden approved a new military aid package including equipment worth $800 million.

The Ukrainians will receive artillery from the U.S. for first time, in addition to armored personnel carriers, armored Humvees, naval drone vessels used in coastal defense, and gear and equipment used to protect soldiers in chemical, biological, nuclear and radiological attacks.

"This new package of assistance will contain many of the highly effective weapons systems we have already provided and new capabilities tailored to New $800 million US military aid to Ukraine includes howitzers
Mwambie aende uwanja wa vita kusaidia kama Russia alivyoenda Syria

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom