Licha ya Tanzania kuwa na ndege 11, Rais Samia anatumia ndege za abiria

Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Moto Fire na Samia
 
A Real patriotism
 
Kazii ifanyike tu
 
Safi Sana hii
 
Time will tell,ni mapema mno.
 
Huyu Mama anafanya wonders
 
Wonderful,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…