Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Kama hamas wanajificha humo.unataka lawama apewe idf?

Lawama IDF zinamhusu sana:

IMG_20231216_165354.jpg


Haipo sababu yoyote ya kumwua yeyote asiye na hatia.
 
Hao Hamas wanavaa kiraia halafu wanawavizia askari wa Israel sasa Israel inamfeka kila inae muona
Hizi sio mbinu za kijeshi na naona huzielewi kabisa
Vitani unaweza kutuma watu wa kila aina
Hata wao Israel unafikiri hawajui kuwapeleka watu wao kama raia ili kupeleleza

Unaona watu wako vifua wazi, maana yake hawana silaha kama mabomu kiunoni
Na pia mmoja kashika bendera nyeupe tena inaonekana ikiwa imefungwa kwenye fimbo ndefu
Na pamoja na kuongea kilugha bado wakawauwa
Hiyo inadhihirisha ni woga Mavi debe
Jeshini usiwe muoga na kazi inajulikana
 
Hiyo ndio vita hakuna vita ya kusema eti hapa usinivizie. Kosa la IDF ni kuwa hawa mateka walijisalimisha kabisa na wakajitambulisha kwa kuonesha white flag na waliongea kiebrania but still jamaa wakawaua . Hili ni tatizo la msongo wa mawazo ambalo wanapitia wanajeshi wa IDF huko battlefield na wasipokua makini wataanza kuuwana wao kwa wao. Vita siyo mchezo wa kuigiza.
Wakati mwingine hiyo pia inaweza kuwa ni mbinu ya adui.
 
Tatizo ni kwamba hao Hamas wanawavizia IDF kwahiyo muda wote askar wako alert vibaya mno maana wakishindwa kuwawahi hao magaidi basi watawahiwa wao na mwisho ni kifo ndio maana hayo yote yanatokea
Tatizo tena yaani mabwana zako wametangaza vita na Hamas harafu unataka kuwampangia jinsi kupigana? Mnataka wasiwavamie😂😂
 
Kwamba taifa la Mungu imekuwaje tena?

1. Akili inaanza kukurudia? Si uliaema kila mtu ni HAMAS?

2. Ukawaamini kila walilosema na kila waliloita command center?

3. Hawana utu Wala ubinadamu.

4. Kuuwa hovyo hadi watoto njiti ni ugaidi.

5. Kufunga watoto kwa kangaroo courts za kijeshi ni ugaidi.

6. Israel ni fwedhuli!

7. View attachment 2844123

8. View attachment 2844124

9. Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza

Bure kabisa!

Tangu mwanzo nilishawaambia mtemane na Myahudi, shobo zenu muendelee kuzifanya kwa Wakristo lakini mtemane kabisa na Myahudi, Mchina, na Mrusi, wale ni hatari tena makatili.
Mliua watoto wao mkategemea watulie, mumesababisha wanaua kila kitu chenu, mitoto yenu wanaipiga marisasi.
 
idf hadi leo wanadhani hamas ni jeshi la kongo drc idf ni magaidi wabaguzi na madicteta jeshi la kipumbavu kweli wanapambana na hamas tu wanalilia msaada us facken kabisa.
 
Tangu mwanzo nilishawaambia mtemane na Myahudi, shobo zenu muendelee kuzifanya kwa Wakristo lakini mtemane kabisa na Myahudi, Mchina, na Mrusi, wale ni hatari tena makatili.
Mliua watoto wao mkategemea watulie, mumesababisha wanaua kila kitu chenu, mitoto yenu wanaipiga marisasi.

Kwa ujinga wako unadhani kuna ushabiki kuwa kuna ninyi na sisi. Kumbe wewe nani ndugu?
 
Na watoto wakiwamo njiti, wanahabari, wanawake nao inakuwa je? Au wote ni HAMAS?
Hamas hawana uniforms wakishashambulia wachache wanarudi kwenye mahandaki wengi wanakimbilia kujificha kwenye mashule, Kambi za wakimbizi nk ambako kumejaa wakina mama, wazee na watoto sasa unategemea waachwe sio? Yaani Hamas warushe kombora liue na kujeruhi askari kadhaa wa IDF Kisha hao Hamas wakimbilie kujificha kwenye kundi la raia alafu eti IDF watoe onyo thubutu!! Mtateketezwa nyote na hakitabaki kitu hata ningekuwa mm ningefanya hivyo hivyo
 
Israel bado inaishi na jinamizi la 7/10/2023.

Wanataka kuonekana bado wana nguvu baada ya ile aibu, na kudhihirisha hilo wameigeuza Gaza kuwa kifusi mwishowe wanaishia kuua mpaka mateka.
Israhell ilikua overrated sanaaa
 
Hamas hawana uniforms wakishashambulia wachache wanarudi kwenye mahandaki wengi wanakimbilia kujificha kwenye mashule, Kambi za wakimbizi nk ambako kumejaa wakina mama, wazee na watoto sasa unategemea waachwe sio? Yaani Hamas warushe kombora liue na kujeruhi askari kadhaa wa IDF Kisha hao Hamas wakimbilie kujificha kwenye kundi la raia alafu eti IDF watoe onyo thubutu!! Mtateketezwa nyote na hakitabaki kitu hata ningekuwa mm ningefanya hivyo hivyo
Hata kama ungefanya haingekusaidia au kukufanya ushinde
Suala la israhell kuchapwa na kuikimbia ghaza halikwepeki nisuala la muda tu!!!
 
Hamas hawana uniforms wakishashambulia wachache wanarudi kwenye mahandaki wengi wanakimbilia kujificha kwenye mashule, Kambi za wakimbizi nk ambako kumejaa wakina mama, wazee na watoto sasa unategemea waachwe sio? Yaani Hamas warushe kombora liue na kujeruhi askari kadhaa wa IDF Kisha hao Hamas wakimbilie kujificha kwenye kundi la raia alafu eti IDF watoe onyo thubutu!! Mtateketezwa nyote na hakitabaki kitu hata ningekuwa mm ningefanya hivyo hivyo

1. Kwa hiyo inahalalisha kwenda kuponda hadi watoto na tinga tinga?

IMG_20231216_165354.jpg


2. Uhalali wasiokuwa na hatia unatoka wapi?

3. Unadhani alaumiwe nani hapo?
 
Hata kama ungefanya haingekusaidia au kukufanya ushinde
Suala la israhell kuchapwa na kuikimbia ghaza halikwepeki nisuala la muda tu!!!
Inaweza kusaidia ama kutosaidia ila kikubwa ni kwamba nitakuwa nimemteketeza adui yangu hiyo inatosha.
 
Inaweza kusaidia ama kutosaidia ila kikubwa ni kwamba nitakuwa nimemteketeza adui yangu hiyo inatosha.
Tunakukumbushana tu lengo sio kuteketeza adui ambae ni hamas lengo ni kutokomeza kabisa hamas
Kama kuteketeza hamas hao israhell hawakuanza October 7 nawala hawatishia watakapoishia wataendelea nakuendelea nakuendelea ila suala la kuitokomeza ama kuifuta ambalo ndio lengo mama hilo sahauni kabisa
Kwasasa mupo ghaza sehem gani pale mazayuni?
 
Inaweza kusaidia ama kutosaidia ila kikubwa ni kwamba nitakuwa nimemteketeza adui yangu hiyo inatosha.

Ndiyo maana anateketeza na mateka wake kwa maana uliyoyasema hapo ndiyo haswa, the text book definition ya "wenda wazimu."
 
Kwa ujinga wako unadhani kuna ushabiki kuwa kuna ninyi na sisi. Kumbe wewe nani ndugu?

Kwa utahira wako unashabikia uchokozi wa mwarabu kwa Myahudi halafu unaanza kulia lia, nimekuambia wale ni makatili, wanaua hadi vitoto, fanyeni shobo zenu kwa Wakristo ila achaneni na Wayahudi.
 
Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.

IMG_20231216_172703~2.jpg


Itakuwa wali wafananisha na HAMAS.
 
Back
Top Bottom