Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
We punda akili inaanza kurudi,, tunakwambia kila siku yahudi sio mtu na hana urafiki na mtu yoyote awe mwislam, mkristo au Buddha lkn mnakaza shingo.. Sasa subirini wakimalizana na hamas bado zamu yenu wagala,, nyie endeleeni kuwabariki mijinga kabisa..
 
Kwamba taifa la Mungu imekuwaje tena?

1. Akili inaanza kukurudia? Si ulisema kila mtu ni HAMAS? Au?

2. Ukawaamini kila walilosema na kila waluchotaka kiwe command center?

3. Wana utu gani hawa wajomba zake Mungu wako?

4. Kuuwa hovyo hadi watoto njiti ni zaidi ya ugaidi.

5. Kufunga watoto kwa kangaroo courts za kijeshi ni zaidi yq ugaidi.

6. Wajumba zake Mungu wako hawa ni mqfwedhuli zaidi ya ibilisi!

7. View attachment 2844123

8. View attachment 2844124

9. Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza

Bure kabisa!
Jamaa naona akili zimeanza kumrudia kidogo kidogo
IMG_20231027_175801.jpg
 
Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
.
IMG_20231216_131950.jpg
IMG_20231216_071216.jpg
 
Nafurahi kusikia unamkubali mrusi japo kimya kimya [emoji1787]

Mrusi nilikua namkubali sana aliokua anafyatua mazombi ya dini yenu. Kuna kipindi hayo mazombi yalishika Warusi mateka, aisei Mrusi alifyatua wote hadi mateka, yule ni balaa nyingine, sema kaniangusha tu kwa kuivamia Ukraine, muhimu sana kwa Urusi na Marekani waungane dhidi ya nyie mazombi.
 
Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
Umewatekenya Hamas wa Buza kwa Mpalange yaani wanakenua meno yaliyochafuliwa na Tende!!

Ha ha haaa unaujua kuwaibua watu wajinga brother. Wewe ni msomi na mwanasaikolojia Nguli
 
Tangu mwanzo nilishawaambia mtemane na Myahudi, shobo zenu muendelee kuzifanya kwa Wakristo lakini mtemane kabisa na Myahudi, Mchina, na Mrusi, wale ni hatari tena makatili.
Mliua watoto wao mkategemea watulie, mumesababisha wanaua kila kitu chenu, mitoto yenu wanaipiga marisasi.
Ndoano imenasa😂

 
Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
Ndio tabia yao na hiki ndicho hata US alikifanya Korea Kaskazini kwa kujaribu kuua kila kinachotambaa ardhini.
 
Back
Top Bottom