Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

Hyo ndo furaha ya muisrael.kwa hyo endeeleni kufurahi.nashangaa Netanyahu anakana .anakana nini sasa wakati furaha yake ni kuona wafelestine wakifa.wapeni maua yao wakiwa wapo hai.ili wakifa msilie bali mfurahi.
 
Hiyo idadi wametunga baada ya kufundishwa cha kufanya na Iran kuvuruga Safari ya Biden
 
Sababu unafungua mathread mengi na umeamua kuwa propagandist, kila sehemu waki expose uongo wako unafungua uzi mwengine na mimi kila uzi nitakufuata.

1. Israel walkiri kupiga hilo Bomu na Msemaji wa IDF kapost Tweeter baadae baada ya Backlash wakafuta



2. Bomu limetupwa na Ndege na ukubwa wa Bomu Hamas hawana, bomu Linaloua watu 500 na kujeruhi maelfu wanamgambo hawana, hata kufichika halifichiki.

3. Aina ya Mlipuko na Sauti watu washalijua ni Bomu gani Jdam.

4. Leo Tena Wamepiga sehemu nyengine same Voice na bomu la jana imesikika ni Airstrike.
 
Wamefanya kosa wanalitumia kama mtaji wa kisiasa
Nimeongea na Mr Benjamin Netanyahu amenihakikishia kuwa hajafanya upumbavu wa aina hiyo
 
Unalijua kombora lililotumika hapo? unajua kama ilo kombora lililotumika hapo linarushwa na ndege vita? Hamas wana ndege vita?
 
Tatizo mkiambiwa kitu na hao Hamas mnakikubali kama kilivyo bila research kisa tu mnafanana imani.

ona sasa umeshadanganywa kwamba Hananya Naftali ni Msemaji wa IDF,
 
Unalijua kombora lililotumika hapo? unajua kama ilo kombora lililotumika hapo linarushwa na ndege vita? Hamas wana ndege vita?
Kama huna bando la kuangalizia video nenda kwa mangi uchukue vocha ya jero ntalipia
 
uchunguzi umeshamalizika na ushahidi ni video iliyokuwa inarushwa AL JAZEERA 18:59 dakika 10 kabla ya wao kuripoti hospitali imelipuliwa
Achana nae, sikutegemea kama kungekuwa na comment ya kijinga kama yake.
 
Tatizo mkiambiwa kitu na hao Hamas mnakikubali kama kilivyo bila research kisa tu mnafanana imani.

ona sasa umeshadanganywa kwamba Hananya Naftali ni Msemaji wa IDF,
Hakuna Hamas yoyote aliesema hapo juu bali ni Dunia, kama unahisi Dunia nzima ni Wajinga sawa.

Hananya Naftali anafanya Kazi direct toka Netanyahu Mwenyewe, Hapa Boss wako mwenyewe anaongea hilo


View: https://m.youtube.com/shorts/MvogHimGuWo
Bishana na Netanyahu hajui analoongea
 
W
Tatizo mkiambiwa kitu na hao Hamas mnakikubali kama kilivyo bila research kisa tu mnafanana imani.

ona sasa umeshadanganywa kwamba Hananya Naftali ni Msemaji wa IDF,
Wewe ulivyoambiwa na hao Israel kuwa Yesu ni mwana wa mungu wa pekee ulifanya utafiti? au ulivyoambiwa yesu kuuwawa msalabani ni kwaajiri ya kukombolewa wewe na dhambi zako ulifanya utafiti? AU uwongo uliopo kwenye ubatizo uliufanyia utafiti?
 
Ulishadanganywa kwamba Naftali ni msemaji wa IDF, ushukuru kwanza nimekuelimisha kukutoa ujinga wa kuamini kiboya kila unachoambiwa bila kuongeza na zako kisa tu anakuambia ni muarabu, jifunze kwamba si kila muarabu ni mwema.
 
Ulishadanganywa kwamba Naftali ni msemaji wa IDF, ushukuru kwanza nimekuelimisha kukutoa ujinga wa kuamini kiboya kila unachoambiwa bila kuongeza na zako kisa tu anakuambia ni muarabu
Nimekuekea Video Netanyahu anasema mwenyewe anafanya kazi chini yake unachobisha sijui ni nini.

Haya tuseme Msemaji wa Netanyahu Mwenyewe kasema Israel Wamepiga Hospitali umefurahi? Je wewe na Msemaji wa Netanyahu nani ana information za ndani?
 
Nimekuekea Video Netanyahu anasema mwenyewe anafanya kazi chini yake unachobisha sijui ni nini.

Haya tuseme Msemaji wa Netanyahu Mwenyewe kasema Israel Wamepiga Hospitali umefurahi? Je wewe na Msemaji wa Netanyahu nani ana information za ndani?
Hata Masanja mkandamizaji anafanya kazi chini ya Rais wetu kwa kumtangaza ila hana cheo chochote jeshini wala serikalini, akiongea mambo ya Jeshini ndicho alichoongea Rais ?

Huyo Naftali ni social media influencer hana cheo chochote jeshini
 
Hata Masanja mkandamizaji anafanya kazi chini ya Rais wetu kwa kumtangaza ila hana cheo chochote jeshini wala serikalini, akiongea mambo ya Jeshini ndicho alichoongea Rais ?

Huyo Naftali ni social media influencer hana cheo chochote jeshini
Taratibu tutafika tu


Your browser is not able to display this video.


Huyo Naftali kabla ya vita ya juzi yupo jeshini department ya utangazaji, anapewa taarifa direct na Jeshi/Netanyahu

Haya angalia Video nambie ni Masanja huyo?
 
hii video ni ya mwaka 2022, kweli marekani na mashoga wenzao wanadanganya, yaani uongozi wa hospitali lilipopigwa bomu wanasema wamepokea simu mara tatu kuwa waondoke hospitali wewe unaleta ushahidi kutoka kwa mashoga, wametudangaya kuhusu iraq, syria,libya, nani wakuwaamini serikali zimekubali ushatani kwenye katiba zao unategemea matendo ya kishetani yasitoke kwao,

Post​


See new posts

Conversation​










Jackson Hinkle

@jacksonhinklle
Subscribe

So
@Israel
claims they somehow managed to immediately intercept audio of Hamas communications during the bombing of the hospital… But they couldn’t manage to intercept Hamas communications during the YEARS of planning that led to Israel’s invasion?They are LYING to you!



https://twitter.com/Israel
 

Attachments

  • church.PNG
    24.4 KB · Views: 4
Taratibu tutafika tu


View attachment 2785967

Huyo Naftali kabla ya vita ya juzi yupo jeshini department ya utangazaji, anapewa taarifa direct na Jeshi/Netanyahu

Haya angalia Video nambie ni Masanja huyo?
Naomba unipe account official ya kitengo chochote cha jeshi ama taasisi ya ulinzi iliyoweka hili tamko, HUWEZI KUIPATA !!.

Rwanda na Tanzania zikiingia vitani, habari official za jeshi zitakuwa zinawekwa kwenye page ya social influencer badala ya ukurasa maalum wa jeshi la Tanzania ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…