Licha ya Waislamu weusi kujaribu kutengeneza umoja na waarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani na tamaduni, kwanini bado Waarabu wanasita?

Licha ya Waislamu weusi kujaribu kutengeneza umoja na waarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani na tamaduni, kwanini bado Waarabu wanasita?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu.

Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu, kobazi, barakshia, n.k.

Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu

Lugha ya kiarabu - huipa uzito wa hali ya juu

Ndoa kwa tamaduni za kiarab - kuvaa jambia kiunoni kwenye siku ya kufunga ndoa

Urembo wa kiarab - wanawake huthamini urembo wa kiarabu kama hina

Vyakula vya kiarab - Biriani na tende vinapewa heshima yake

Licha ya haya yote bado waarabu imekuwa ngumu ku intergrate

waarabu wamekuwa wagumu kukubali watu weusi kuoa mabinti zao, mifano ya ndoa hizo ipo lakini mara nyingi lazima mtu mweusi awe na cheo kizito kwenye nchi.

baadhi ya waarabu huwachukulia bado watu weusi kuwa watumwa, Nchi za kiarabu kama Libya bado utumwa unaendelea wanakamata watu weusi na kuwatumikisha, pia kuna kero nyingi sana tunazisikia kwa house girls weusi wanaofanya kazi uarabuni kunyanyaswa.

Ukienda nchi kama Sudan, Somalia, n.k. bado kuna ubaguzi kwa watu weusi hasa wabantu, kadri ngozi yako inavyozidi weusi ndio ubaguzi huzidi, rangi ya kiarabu wameipa hadhi ya "ngozi ya mtume" na kuiheshimu zaidi,
 
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu.

Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu na kobazi,

Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu

Lugha ya kiarabu - leo hii hata jeshi la Nigeria nembo yao ina maneno ya kiarabu

Ndoa kwa tamaduni za kiarab - kufunga ndoa kwa tamaduni za kiarabu, wanaume huweka jambia kiunoni

Urembo wa kiarab - wanawake huthamini urembo wa kiarabu kama hina

Vyakula vya kiarab - Biriani na tende vinapewa heshima yake


Licha ya haya yote bado waarabu imekuwa ngumu ku intergrate

waarabu wamekuwa wagumu kukubali watu weusi kuoa mabinti zao, mifano ya ndoa hizo ipo lakini mara nyingi lazima mtu mweusi awe na cheo kizito kwenye nchi.

baadhi ya waarabu huwachukulia bado watu weusi kuwa watumwa, Nchi za kiarabu kama Libya bado utumwa unaendelea wanakamata watu weusi na kuwatumikisha, pia kuna kero nyingi sana tunazisikia kwa house girls weusi wanaofanya kazi uarabuni kunyanyaswa.
Waarabu wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mtu mweusi. Nipo nao huku Ulaya yaani mtu wanatoka nchi moja ila wanakuambia kabila lake na letu hatupatani. Kuanzia Saudia Mpaka Iran hawana umoja.
 
Ila Sasa wabantu huku kwenu wanavyowashobokea hao warabu. Eti ni ndugu zao...
 
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu.

Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu, kobazi, barakshia, n.k.

Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu

Lugha ya kiarabu - huipa uzito wa hali ya juu

Ndoa kwa tamaduni za kiarab - kuvaa jambia kiunoni kwenye siku ya kufunga ndoa

Urembo wa kiarab - wanawake huthamini urembo wa kiarabu kama hina

Vyakula vya kiarab - Biriani na tende vinapewa heshima yake

Licha ya haya yote bado waarabu imekuwa ngumu ku intergrate

waarabu wamekuwa wagumu kukubali watu weusi kuoa mabinti zao, mifano ya ndoa hizo ipo lakini mara nyingi lazima mtu mweusi awe na cheo kizito kwenye nchi.

baadhi ya waarabu huwachukulia bado watu weusi kuwa watumwa, Nchi za kiarabu kama Libya bado utumwa unaendelea wanakamata watu weusi na kuwatumikisha, pia kuna kero nyingi sana tunazisikia kwa house girls weusi wanaofanya kazi uarabuni kunyanyaswa.

Ukienda nchi kama Sudan, Somalia, n.k. bado kuna ubaguzi kwa watu weusi hasa wabantu, kadri ngozi yako inavyozidi weusi ndio ubaguzi huzidi, rangi ya kiarabu wameipa hadhi ya "ngozi ya mtume" na kuiheshimu zaidi,
Ni ukweli ulio sahihi, watu weusi hususan Waislam wana matatizo ya kiakili sana, mtu anaona ufahari kujifananisha na Mwarab ili tu akubalike kwao lakini hawajuwi ukweli kuwa Waarab bado wana matatizo ya kumkubali mtu mweusi, kwao mtu mweusi atabaki mtumwa tu. Kwanza wenyewe kwa wenyewe wanabaguana na kutothaminiana waje kumthamini mtu mweusi kweli? Waafrika amkeni.
 
rangi ya mitume🤣🤣🤣
Actually waarabu hawapend ukaribu na weusi wanawatandika viboko haswa... wengine wanatoswa majini
 
Maandishi ya shetani ala yamewagaribu akili kama mazombi vile.
 
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu.

Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu, kobazi, barakshia, n.k.

Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu

Lugha ya kiarabu - huipa uzito wa hali ya juu

Ndoa kwa tamaduni za kiarab - kuvaa jambia kiunoni kwenye siku ya kufunga ndoa

Urembo wa kiarab - wanawake huthamini urembo wa kiarabu kama hina

Vyakula vya kiarab - Biriani na tende vinapewa heshima yake

Licha ya haya yote bado waarabu imekuwa ngumu ku intergrate

waarabu wamekuwa wagumu kukubali watu weusi kuoa mabinti zao, mifano ya ndoa hizo ipo lakini mara nyingi lazima mtu mweusi awe na cheo kizito kwenye nchi.

baadhi ya waarabu huwachukulia bado watu weusi kuwa watumwa, Nchi za kiarabu kama Libya bado utumwa unaendelea wanakamata watu weusi na kuwatumikisha, pia kuna kero nyingi sana tunazisikia kwa house girls weusi wanaofanya kazi uarabuni kunyanyaswa.

Ukienda nchi kama Sudan, Somalia, n.k. bado kuna ubaguzi kwa watu weusi hasa wabantu, kadri ngozi yako inavyozidi weusi ndio ubaguzi huzidi, rangi ya kiarabu wameipa hadhi ya "ngozi ya mtume" na kuiheshimu zaidi,
Bado walivyo mbu mbu mbu, wanadanganyika- ETI -lugha ya mbinguni itakuwa kiarabu!!! Badala ya Kiswahili....
 
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu.

Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu, kobazi, barakshia, n.k.

Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu

Lugha ya kiarabu - huipa uzito wa hali ya juu

Ndoa kwa tamaduni za kiarab - kuvaa jambia kiunoni kwenye siku ya kufunga ndoa

Urembo wa kiarab - wanawake huthamini urembo wa kiarabu kama hina

Vyakula vya kiarab - Biriani na tende vinapewa heshima yake

Licha ya haya yote bado waarabu imekuwa ngumu ku intergrate

waarabu wamekuwa wagumu kukubali watu weusi kuoa mabinti zao, mifano ya ndoa hizo ipo lakini mara nyingi lazima mtu mweusi awe na cheo kizito kwenye nchi.

baadhi ya waarabu huwachukulia bado watu weusi kuwa watumwa, Nchi za kiarabu kama Libya bado utumwa unaendelea wanakamata watu weusi na kuwatumikisha, pia kuna kero nyingi sana tunazisikia kwa house girls weusi wanaofanya kazi uarabuni kunyanyaswa.

Ukienda nchi kama Sudan, Somalia, n.k. bado kuna ubaguzi kwa watu weusi hasa wabantu, kadri ngozi yako inavyozidi weusi ndio ubaguzi huzidi, rangi ya kiarabu wameipa hadhi ya "ngozi ya mtume" na kuiheshimu zaidi,
Wali kuuita cha mtume wakati mlimaji ni wewe ni utumwa wa kifikra.
 
Watu weupe kuwadharau watu weusi ni kawaida.
Na weusi wanadharaulika kwa uvivu wao, kuendekeza ushirikina, fitna na ufisadi.
 
Back
Top Bottom