Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Zari anapesa zake na maduka yake makubwa ya vipodozi SA laki anatakiwa kuhakikisha mali za watoto wake hazpotei pia!!
 
Mkuu aliyekwambia Angelina hakudai chochote ni nani? Kama kitu hujui uwe unauliza badala ya kuandika kitu ambacho hakina ukweli.

Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
 
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Una mawazo ya ajabu kweli,wakati wanaoana ulijua walikuwa na maisha gani halafu Leo hii aje aachie wengine watanue jasho lake. Sioni ajabu kbs kwa zari kudai tena akazane tu haijalishi ni tajiri au vipi.
 
Hebu tumzike kwanza Ivan, halafu ndo tuje kwenye mambo ya mirathi, tararibu zake ziko kisheria na kimila. Na wahusika ni Ndugu wa karibu sisi wengine ni wapiga kelele tu.
 
Hata kama ana pesa ,kwann aache mali ya watoto wake iliwe Na wasiohusika ?
Nani kasema anakula mali za watoto?

Zari anachokosea anasema na yeye binafsi apewe mgao kama mke wa Ivan na kwenye vikao vya familia anasema eti hata Nillan ni mtoto wa Ivan.

Huu uboss mavi alafu unatokwa mapovu kulilia urithi wa nyumba uliyoikimbia na kwenda kuolewa(presumption of marriage) ni ubwege.
 
Lazima uelewa suala zima nyuma ya hawa wawili. Kumbuka wana watoto 3. Unataka nani atetee maslahi ya wale watoto?

Hawa watu walikuwa bado partners kwenye biashara zao. Unajua kila mmoja alikuwa na share kiasi gani?

Ukisoma utaelewa namna gani Don alimwamini Zari, kiasi cha kumwona tu na kumshinda mkono wake kwa nguvu japo alikuwa hasemi kwa kinywa!. Huwezi unganisha dots hapo?

Walishindwana ki mapenzi, lakini hawakutenganishwa na watoto wao, na hata wao hawakutenganisha biashara zao.

Familia na jamii inamtambua Zari na dniyo sababu aliitwa na kusikilizwa kila alilotaka lifanyike, na si wale wapigaji.

BILA SHAKA ZARI ATASIMAMIA VYEMA MALI ZILIZOACHWA NA MAREHEMU NA KUHAKIKISHA ANAENDELEZA MIPANGO YA MAREHEMU IKWA NI PAMOJA NA KUENDELEA KUWAHUDUMIA (KAMA WAPO), ALIOKUWA AKIWAHUDUMIA MAREHEMU, LIKEWEMO SUALA LA KUHAKIKISHA WAZAZI WA MAREHEMU WANAENDELEA KUPATA HUDUMA HASA KATIKA KIPINGI HIKI CHA UZEE WAO.
Atetee maslahi ya watoto kama mzazi mwenzake na Ivan na sio kama mke wa Ivan kwakuwa yeye ni mke halali wa Diamond(presumption of marriage under law of marriage act)
 
Mkuu aliyekwambia Angelina hakudai chochote ni nani? Kama kitu hujui uwe unauliza badala ya kuandika kitu ambacho hakina ukweli.
Najua nilichokiandika ndivyo kilivyo, kama unakanusha kwamba sio kweli leta ushahidi kua Agelina Jolie baada ya talaka alidai kiasi flani cha pesa au mgao wa mali walizochuma na Brand.
 
Una mawazo ya ajabu kweli,wakati wanaoana ulijua walikuwa na maisha gani halafu Leo hii aje aachie wengine watanue jasho lake. Sioni ajabu kbs kwa zari kudai tena akazane tu haijalishi ni tajiri au vipi.
Samahani mkuu, kwani Zari ni mke wa marehemu?
 
Atetee maslahi ya watoto kama mzazi mwenzake na Ivan na sio kama mke wa Ivan kwakuwa yeye ni mke halali wa Diamond(presumption of marriage under law of marriage act)

Kasema anatetea mirathi ya watoto, na kuna siku alisema hawakuganya maili na hawakuwa na huo mpango tayri inampa udau wa moja kwa moja kwenye zile mali. La kwamba ni kama mke wa halali wa Marehem, hilo amelitunga tu mwandishi wa hoja kuwa hata kwenye hii mada h alipo. Mwandishi wa uzi hakusema kwamba anadai kama mke halalai. Bali kama mlezi wa watoto na business partner wa Ivan.
 
Angelina Jolie

Mkuu english inapanda kweli? Acha uongo
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
 
Samahani mkuu, kwani Zari ni mke wa marehemu?
Alikuwa mke wa marehem na wana watoto hivyo ana haki ya kudai urithi haijalishi walikuwa washaachana au vipi maana km ni maisha walianza wote hivyo hizo Mali walitafuta wote kabla hawajaachana.
 
Back
Top Bottom