Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Nimeuliza swali hamjalijibu alafu unakuja kujipongeza hapa kua nimechemka, okay tufanye nimechemka, wewe nisaidie ilo siku nyingine nisichemke, Angelina alidai kiasi gani kwenye talaka yake?
Kwani Zari kwenye talaka yake alidai kiasi gani?
 
Nimekuelewa,
Kifo cha jamaa ni pigo kwa watoto.
Lakini watoto si wana baba yao
hivi ataweza kuhudumia vile yule baba alivyokua analea wanawe...?!!

yaani mimi nawawazia wale watoto tu!!maisha yao yalikua ya gharama mnoo
 
Hivi ni nani huyu aliyesema mwanamke hana haki kwa mali ya mume wake ambae alishirikiana nae kuzalisha mali!!

Hii kauli ya "mali ni kwa ajili ya watoto" ni kauli ya kuwaridhisha walafi wa mali za marehemu hususani wale wanaotoka upande wa mwanaume!!!

Hawa walafi ni kawaida wakishaona ndugu yao umekutwa na umauti, wao ndo watataka wapewe wakati hawana haki hiyo, at least from western culture iliyokuwa adapted na mahakama zetu za ki-secular.

Ili kuwaridhisha, inaonekana bora kuwaambia hizi mali ni kwa ajili ya watoto labda wanaweza kuingiwa na moyo wa imani kwa kuona hao ni watoto wa ndugu yao!!!!

Lakini kimsingi, kama mwanamke ameshiriki kwenye kuzalisha mali lazima na yeye awe na fungu lake hapo let alone fungu la watoto!!!

Na kama ni sheria za kiislamu wala haijalishi kama huyo mwanamke alizaa na marehemu ingawaje mwanamke aliyezaa na marehemu anapata fungu kubwa ukilinganisha na yule ambae hakuzaa nae! Na wala hawaangalii kama alizalisha nae (mali)! Haya mambo ya kuzalisha nae mali yanaangaliwa kwenye talaka na sio urithi!!!

So, kama Zari alifunga ndoa na Ivan na walichuma mali pamoja lakini wakati wanatengana hawakugawana mali; basi hapo Zari ana chake as a business partner let alone fungu la watoto!!!!

Huyo King Lawrence ni kiwakilishi tu cha Waafrika waroho wa mali za marehemu na ndio maana jana nilisema hapa Zari na wanawe watakuwa wameshanyamaza kulia lakini King Lawrence anaendelea tu!!!!
 
Hapo ndo utawajua tu waafrika hata mtu hajafa washaanza kushikilia mali za watoto wake duh! Ndugu zetu sisi wanaume ni shida
 
hivi ataweza kuhudumia vile yule baba alivyokua analea wanawe...?!!

yaani mimi nawawazia wale watoto tu!!maisha yao yalikua ya gharama mnoo
Mama atapata urithi atawalea kwa hela za URITHI
 
Mali zitayeyuka zote wala wasigombee ataanza na nyoka akishakufa tu na hela zinapotea.
 
Mie pia huwa sijadiliani na wadada wasio na marinda
Baada ya kufirw.a na baba yako unadhani kila mtu anapenda kufir.a? Tafta mtu mwingine wa kukufir.a sio mimi, mimi namfira mama yako siwezi kukufir.a na wewe maana unanukaa mavi.
 
embu Google maana ya custody kabla yakuongea pumba wenzetu mahakama ina details za mapato yote huombwi kupeleka matunzo ni lazima cyo uku africa
Google wewe mwenye kichwa cha panzi, mimi nigoogle ili iweje wakati nilichokiandika nina uhakika nacho. Google wewe ili uongeze ufahamu.
 
Hivi ni nani huyu aliyesema mwanamke hana haki kwa mali ya mume wake ambae alishirikiana nae kuzalisha mali!!

Hii kauli ya "mali ni kwa ajili ya watoto" ni kauli ya kuwaridhisha walafi wa mali za marehemu hususani wale wanaotoka upande wa mwanaume!!!

Hawa walafi ni kawaida wakishaona ndugu yao umekutwa na umauti, wao ndo watataka wapewe wakati hawana haki hiyo, at least from western culture iliyokuwa adapted na mahakama zetu za ki-secular.

Ili kuwaridhisha, inaonekana bora kuwaambia hizi mali ni kwa ajili ya watoto labda wanaweza kuingiwa na moyo wa imani kwa kuona hao ni watoto wa ndugu yao!!!!

Lakini kimsingi, kama mwanamke ameshiriki kwenye kuzalisha mali lazima na yeye awe na fungu lake hapo let alone fungu la watoto!!!

Na kama ni sheria za kiislamu wala haijalishi kama huyo mwanamke alizaa na marehemu ingawaje mwanamke aliyezaa na marehemu anapata fungu kubwa ukilinganisha na yule ambae hakuzaa nae! Na wala hawaangalii kama alizalisha nae (mali)! Haya mambo ya kuzalisha nae mali yanaangaliwa kwenye talaka na sio urithi!!!

So, kama Zari alifunga ndoa na Ivan na walichuma mali pamoja lakini wakati wanatengana hawakugawana mali; basi hapo Zari ana chake as a business partner let alone fungu la watoto!!!!

Huyo King Lawrence ni kiwakilishi tu cha Waafrika waroho wa mali za marehemu na ndio maana jana nilisema hapa Zari na wanawe watakuwa wameshanyamaza kulia lakini King Lawrence anaendelea tu!!!!
Umenena vyema rafiki
 
Cha ajabu ni nn ulitaka upgiwe ww mbona nyie kina kamusoko ni wengi?wivu mpaka kwa watu wasio wahusu watz bwana au umelaaniwa?
naona wewe ndio unalaana maana sijaona tatizo ya hiyo comment yangu. acha kukurupuka
 
Naona unatangaza unavyofanyiwa kwenu. Pole sana mkuu. Nimekuonea huruma kweli daah masahibu makubwa. Hivi huwa unakaa vizuri kweli?sasa si umeshakatishiwa ndoto za kuoa jamani uwiii duniani kuna watu makatili jamani
Baada ya kufirw.a na baba yako unadhani kila mtu anapenda kufir.a? Tafta mtu mwingine wa kukufir.a sio mimi, mimi nam**** mama yako siwezi kukufir.a na wewe maana unanukaa mavi.
 
Ukijiona una sarafu na vitu vichache vya thamani ni lazima uwe na utaratibu wa kuandika wosia ili kupunguza migongano tatizo sisi ngozi nyeusi wengi tunaogopa kuandika wosia tukidhani tunajichulia au kujiombea mabaya kumbe kifo kipo miguuni.
 
Kasema anatetea mirathi ya watoto, na kuna siku alisema hawakuganya maili na hawakuwa na huo mpango tayri inampa udau wa moja kwa moja kwenye zile mali. La kwamba ni kama mke wa halali wa Marehem, hilo amelitunga tu mwandishi wa hoja kuwa hata kwenye hii mada h alipo. Mwandishi wa uzi hakusema kwamba anadai kama mke halalai. Bali kama mlezi wa watoto na business partner wa Ivan.
WAKUU NAOMBA TUMSIKILIZE HUYU MHESHMIWA, MANA KWA KISWAHILI HIKI NAHC ATAKUA MGANDA MWENZAKE[emoji12]
 
Back
Top Bottom