Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Hivi ni nani huyu aliyesema mwanamke hana haki kwa mali ya mume wake ambae alishirikiana nae kuzalisha mali!!

Hii kauli ya "mali ni kwa ajili ya watoto" ni kauli ya kuwaridhisha walafi wa mali za marehemu hususani wale wanaotoka upande wa mwanaume!!!

Hawa walafi ni kawaida wakishaona ndugu yao umekutwa na umauti, wao ndo watataka wapewe wakati hawana haki hiyo, at least from western culture iliyokuwa adapted na mahakama zetu za ki-secular.

Ili kuwaridhisha, inaonekana bora kuwaambia hizi mali ni kwa ajili ya watoto labda wanaweza kuingiwa na moyo wa imani kwa kuona hao ni watoto wa ndugu yao!!!!

Lakini kimsingi, kama mwanamke ameshiriki kwenye kuzalisha mali lazima na yeye awe na fungu lake hapo let alone fungu la watoto!!!

Na kama ni sheria za kiislamu wala haijalishi kama huyo mwanamke alizaa na marehemu ingawaje mwanamke aliyezaa na marehemu anapata fungu kubwa ukilinganisha na yule ambae hakuzaa nae! Na wala hawaangalii kama alizalisha nae (mali)! Haya mambo ya kuzalisha nae mali yanaangaliwa kwenye talaka na sio urithi!!!

So, kama Zari alifunga ndoa na Ivan na walichuma mali pamoja lakini wakati wanatengana hawakugawana mali; basi hapo Zari ana chake as a business partner let alone fungu la watoto!!!!

Huyo King Lawrence ni kiwakilishi tu cha Waafrika waroho wa mali za marehemu na ndio maana jana nilisema hapa Zari na wanawe watakuwa wameshanyamaza kulia lakini King Lawrence anaendelea tu!!!!
Kuna sheria inaruhusu mwanamke kuwa na mume zaidi ya mmoja at the same time???
 
May his soul rest in peace
Zari hana njaa za kijinga she is only concern na watoto wake
 
Kuna sheria inaruhusu mwanamke kuwa na mume zaidi ya mmoja at the same time???
Sikumbuki kuelezea uhalali wa ndoa yoyote lakini bila kusoma upya post yangu nakumbuka nimezungumzia suala la mirathi na mapana yake!!!! So, swali lako linatokana na post yangu or is just a general question?!
 
Hivi ni nani huyu aliyesema mwanamke hana haki kwa mali ya mume wake ambae alishirikiana nae kuzalisha mali!!

Hii kauli ya "mali ni kwa ajili ya watoto" ni kauli ya kuwaridhisha walafi wa mali za marehemu hususani wale wanaotoka upande wa mwanaume!!!

Hawa walafi ni kawaida wakishaona ndugu yao umekutwa na umauti, wao ndo watataka wapewe wakati hawana haki hiyo, at least from western culture iliyokuwa adapted na mahakama zetu za ki-secular.

Ili kuwaridhisha, inaonekana bora kuwaambia hizi mali ni kwa ajili ya watoto labda wanaweza kuingiwa na moyo wa imani kwa kuona hao ni watoto wa ndugu yao!!!!

Lakini kimsingi, kama mwanamke ameshiriki kwenye kuzalisha mali lazima na yeye awe na fungu lake hapo let alone fungu la watoto!!!

Na kama ni sheria za kiislamu wala haijalishi kama huyo mwanamke alizaa na marehemu ingawaje mwanamke aliyezaa na marehemu anapata fungu kubwa ukilinganisha na yule ambae hakuzaa nae! Na wala hawaangalii kama alizalisha nae (mali)! Haya mambo ya kuzalisha nae mali yanaangaliwa kwenye talaka na sio urithi!!!

So, kama Zari alifunga ndoa na Ivan na walichuma mali pamoja lakini wakati wanatengana hawakugawana mali; basi hapo Zari ana chake as a business partner let alone fungu la watoto!!!!

Huyo King Lawrence ni kiwakilishi tu cha Waafrika waroho wa mali za marehemu na ndio maana jana nilisema hapa Zari na wanawe watakuwa wameshanyamaza kulia lakini King Lawrence anaendelea tu!!!!

Nakubaliana na wewe coz haiwezekani ndugu wakawa na uchungu kuliko mama wa hao watoto (zari), ndugu wanaweza kupewa mali za watoto, na watoto wasije kukuta kitu
 
Hajakosea!!! Watoto watatu!? Kisherie urithi utaenda kwa watoto... Ila bado ni wadogo so mama atasimamia
mama hawezi kusimamia kwa sababu sio mke wake bali watamchagua ndugu wa marehemu ambaye atasimamia mahitaji ya watoto kumbuka hapo pia kuna malezi ya watoto msimamizi anahitajika not a third person rather,pia hatujui km waliachana 'rasmi' ila km sivyo Zari atakua a third person hapo.
 
Watu wenye akili ndogo mara zote hushupalia kuongelea watu.
R.I.P Ivan na kwako Zari fight hao maharamia wote.
 
Kifo kinatufundisha kuwa hata kama uwe nani ipo siku utakufa.
Tuishi tukimpendeza Mungu
 
hivi ataweza kuhudumia vile yule baba alivyokua analea wanawe...?!!

yaani mimi nawawazia wale watoto tu!!maisha yao yalikua ya gharama mnoo
na yale maisha waliyozoeshwa na baba yao
 
Mali zitayeyuka zote wala wasigombee ataanza na nyoka akishakufa tu na hela zinapotea.
Mali zake ni za ushirikina kwani? mbona baba ake ivan amesema mali zao ni za ukoo na ukoo toka mababu wao ni matajiri ata ukimchanja mkono ni pesa tu zinatoka badala ya damu
 
Hivi ni nani huyu aliyesema mwanamke hana haki kwa mali ya mume wake ambae alishirikiana nae kuzalisha mali!!

Hii kauli ya "mali ni kwa ajili ya watoto" ni kauli ya kuwaridhisha walafi wa mali za marehemu hususani wale wanaotoka upande wa mwanaume!!!

Hawa walafi ni kawaida wakishaona ndugu yao umekutwa na umauti, wao ndo watataka wapewe wakati hawana haki hiyo, at least from western culture iliyokuwa adapted na mahakama zetu za ki-secular.

Ili kuwaridhisha, inaonekana bora kuwaambia hizi mali ni kwa ajili ya watoto labda wanaweza kuingiwa na moyo wa imani kwa kuona hao ni watoto wa ndugu yao!!!!

Lakini kimsingi, kama mwanamke ameshiriki kwenye kuzalisha mali lazima na yeye awe na fungu lake hapo let alone fungu la watoto!!!

Na kama ni sheria za kiislamu wala haijalishi kama huyo mwanamke alizaa na marehemu ingawaje mwanamke aliyezaa na marehemu anapata fungu kubwa ukilinganisha na yule ambae hakuzaa nae! Na wala hawaangalii kama alizalisha nae (mali)! Haya mambo ya kuzalisha nae mali yanaangaliwa kwenye talaka na sio urithi!!!

So, kama Zari alifunga ndoa na Ivan na walichuma mali pamoja lakini wakati wanatengana hawakugawana mali; basi hapo Zari ana chake as a business partner let alone fungu la watoto!!!!

Huyo King Lawrence ni kiwakilishi tu cha Waafrika waroho wa mali za marehemu na ndio maana jana nilisema hapa Zari na wanawe watakuwa wameshanyamaza kulia lakini King Lawrence anaendelea tu!!!!
umemaliza
 
Back
Top Bottom