Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Tetesi: Lies, intrigue, betrayal: How Ivan Ssemwanga lived out his last days on earth?

Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Hebu acha kuhukumu kwa kusikia fikiria kaka au close relative wako ana pigania uhai wake na marafiki aliowaamini wanahangaika kutafuta documents za urithi ili tu wadhurumu watoto wa kaka yako,utakaa kimya? Au tu hata kwako wewe jichukulie mfano huo tu kwamba ex wako anahangaikia Mali zako kwa ajili ya wanawe wanaotaka kudhulumiwa na marafiki waliokuwa wanamendea Mali zako na huku una hali mbaya. Nani mbaya kati yao
 
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Brad Pitt anaishi mkuu hata kama uwe na hela vipi lazima uwe kwenye state ya zari mkuu
 
Nani kasema anakula mali za watoto?

Zari anachokosea anasema na yeye binafsi apewe mgao kama mke wa Ivan na kwenye vikao vya familia anasema eti hata Nillan ni mtoto wa Ivan.

Huu uboss mavi alafu unatokwa mapovu kulilia urithi wa nyumba uliyoikimbia na kwenda kuolewa(presumption of marriage) ni ubwege.
Ulihudhuria hicho kikao cha familia ndugu au unaongozwa na chuki binafsi. Usije kuwa wewe ni King Lawrence
 
Nani kasema anakula mali za watoto?

Zari anachokosea anasema na yeye binafsi apewe mgao kama mke wa Ivan na kwenye vikao vya familia anasema eti hata Nillan ni mtoto wa Ivan.

Huu uboss mavi alafu unatokwa mapovu kulilia urithi wa nyumba uliyoikimbia na kwenda kuolewa(presumption of marriage) ni ubwege.
Nani kakwambia Zari kasema hayo?
 
Pole sana daah una hulka za kidada
Haahaha, watu wapumbavu siku zote wakishindwa mental challenge hukumbilia kwenye physical/emmotional insults kama their last resort.

Shukuru umepata creds za kutosha kujadiliana na mimi maana hua sijadiliani na makahaba wanuka k.
 
Yaani kachemka vibaya,kaongozwa na chuki binafsi
Nimeuliza swali hamjalijibu alafu unakuja kujipongeza hapa kua nimechemka, okay tufanye nimechemka, wewe nisaidie ilo siku nyingine nisichemke, Angelina alidai kiasi gani kwenye talaka yake?
 
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
embu Google maana ya custody kabla yakuongea pumba wenzetu mahakama ina details za mapato yote huombwi kupeleka matunzo ni lazima cyo uku africa
 
Mie pia huwa sijadiliani na wadada wasio na marinda
Haahaha, watu wapumbavu siku zote wakishindwa mental challenge hukumbilia kwenye physical/emmotional insults kama their last resort.

Shukuru umepata creds za kutosha kujadiliana na mimi maana hua sijadiliani na makahaba wanuka k.
 
Nani kasema anakula mali za watoto?

Zari anachokosea anasema na yeye binafsi apewe mgao kama mke wa Ivan na kwenye vikao vya familia anasema eti hata Nillan ni mtoto wa Ivan.

Huu uboss mavi alafu unatokwa mapovu kulilia urithi wa nyumba uliyoikimbia na kwenda kuolewa(presumption of marriage) ni ubwege.
Jamani msiamini kila mnachokisikia mitandaoni.kipindi huki tutasikia mengi tu.
 
18620109_510470059077064_9113060480172363809_n.jpg
[emoji15] [emoji15]
 
Inamaana kama ni mke halal anadai urithi mbona amezaa nnje ya ndoa?? Kwahyo alikua mke wa mtu? Kwahyo diamond anaish na mke wa mtu.. au baada ya kifo cha mshkaji ndio ndoa imefufuka tena
 
Kasema anatetea mirathi ya watoto, na kuna siku alisema hawakuganya maili na hawakuwa na huo mpango tayri inampa udau wa moja kwa moja kwenye zile mali. La kwamba ni kama mke wa halali wa Marehem, hilo amelitunga tu mwandishi wa hoja kuwa hata kwenye hii mada h alipo. Mwandishi wa uzi hakusema kwamba anadai kama mke halalai. Bali kama mlezi wa watoto na business partner wa Ivan.
Hana ubusness partner wowote yeye ni mzazi mwenzake na Ivan tu, nimeoma clip baba yake Ivan anamlaumu Zari anavyoanza kuleta fujo wakati hata mwili hajazikwa anadai eti hajazaa nje ya ndoa kumbe ni chui wa hatari.

Yeye atetee maslahi ya watoto tu kama mzazi mwenzake na Ivan.
 
Back
Top Bottom