Zari anapesa zake na maduka yake makubwa ya vipodozi SA laki anatakiwa kuhakikisha mali za watoto wake hazpotei pia!!Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Cha ajabu ni nn ulitaka upgiwe ww mbona nyie kina kamusoko ni wengi?wivu mpaka kwa watu wasio wahusu watz bwana au umelaaniwa?Alivyoanguka kwake alisema zari apigiwe simu..mmh tutaskia mengi
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Una mawazo ya ajabu kweli,wakati wanaoana ulijua walikuwa na maisha gani halafu Leo hii aje aachie wengine watanue jasho lake. Sioni ajabu kbs kwa zari kudai tena akazane tu haijalishi ni tajiri au vipi.Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Nani kasema anakula mali za watoto?Hata kama ana pesa ,kwann aache mali ya watoto wake iliwe Na wasiohusika ?
Atetee maslahi ya watoto kama mzazi mwenzake na Ivan na sio kama mke wa Ivan kwakuwa yeye ni mke halali wa Diamond(presumption of marriage under law of marriage act)Lazima uelewa suala zima nyuma ya hawa wawili. Kumbuka wana watoto 3. Unataka nani atetee maslahi ya wale watoto?
Hawa watu walikuwa bado partners kwenye biashara zao. Unajua kila mmoja alikuwa na share kiasi gani?
Ukisoma utaelewa namna gani Don alimwamini Zari, kiasi cha kumwona tu na kumshinda mkono wake kwa nguvu japo alikuwa hasemi kwa kinywa!. Huwezi unganisha dots hapo?
Walishindwana ki mapenzi, lakini hawakutenganishwa na watoto wao, na hata wao hawakutenganisha biashara zao.
Familia na jamii inamtambua Zari na dniyo sababu aliitwa na kusikilizwa kila alilotaka lifanyike, na si wale wapigaji.
BILA SHAKA ZARI ATASIMAMIA VYEMA MALI ZILIZOACHWA NA MAREHEMU NA KUHAKIKISHA ANAENDELEZA MIPANGO YA MAREHEMU IKWA NI PAMOJA NA KUENDELEA KUWAHUDUMIA (KAMA WAPO), ALIOKUWA AKIWAHUDUMIA MAREHEMU, LIKEWEMO SUALA LA KUHAKIKISHA WAZAZI WA MAREHEMU WANAENDELEA KUPATA HUDUMA HASA KATIKA KIPINGI HIKI CHA UZEE WAO.
Kama walifunga ndoa ya kanisani. Ni Mume wake halali
Najua nilichokiandika ndivyo kilivyo, kama unakanusha kwamba sio kweli leta ushahidi kua Agelina Jolie baada ya talaka alidai kiasi flani cha pesa au mgao wa mali walizochuma na Brand.Mkuu aliyekwambia Angelina hakudai chochote ni nani? Kama kitu hujui uwe unauliza badala ya kuandika kitu ambacho hakina ukweli.
Samahani mkuu, kwani Zari ni mke wa marehemu?Una mawazo ya ajabu kweli,wakati wanaoana ulijua walikuwa na maisha gani halafu Leo hii aje aachie wengine watanue jasho lake. Sioni ajabu kbs kwa zari kudai tena akazane tu haijalishi ni tajiri au vipi.
Hata alivyokufaAlivyoanguka kwake alisema zari apigiwe simu..mmh tutaskia mengi
Diamond ana mke?Nasikia mke wa Daiimondi Platimamu anadai urithi kwamba yeye ni mke halali wa mshikaji.
Wanawake wana mambo ya ajabu.
Atetee maslahi ya watoto kama mzazi mwenzake na Ivan na sio kama mke wa Ivan kwakuwa yeye ni mke halali wa Diamond(presumption of marriage under law of marriage act)
Watoto wataish,maana Diamond as step father ataendelea KUWALEAnawaza watoto tu mwenzenu maana maisha yale walikuwa wanaishi daahh!pengo lake ni kubwa sana
Nimeona anaitwa the boss lady nikajua ana hela za kumuwezesha kuishi na kutunza wanae kumbe ubosi njaa tu. Nikajua boss kama Agelina alieachana na Brand Pitt bila kudai chochote hata kumi kumbe bosi njaa, boss kisha unalilia mirathi?
Alikuwa mke wa marehem na wana watoto hivyo ana haki ya kudai urithi haijalishi walikuwa washaachana au vipi maana km ni maisha walianza wote hivyo hizo Mali walitafuta wote kabla hawajaachana.Samahani mkuu, kwani Zari ni mke wa marehemu?
Soma vzr huu Uzi kisha kama una akili ya Ziada utajua kuna Nini kinaendeleaNasikia mke wa Daiimondi Platimamu anadai urithi kwamba yeye ni mke halali wa mshikaji.
Wanawake wana mambo ya ajabu.
Hakipandi, nisaidie kujua Jolie alidai kiasi gani/alitaka wagawane au alipwe kiasi gani baada ya talaka.