Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Nenda sokoni kariakoo ktk maduka ya kilimo, kama uko karibu na Ubungo, nenda pale Yenu Bar kwa pembeni kuna maduka pale au kama Buguruni ni rahisi, basi nenda mitaa ya Rozana pale kuna maduka.

Siku hizi mbegu za kuchakachua ni nyingi sana yameshanikuta mimi ndo maana siku hizi huwa napenda kununua kwa mawakala Moja kwa Moja au kunielekeza kwenye duka wanalowauzia wao ili kupata uhakika wa ubora wa Mbegu
 
Ukitaka livume ghafla, basi tangaza kwamba linatibu kitu fulani ambacho kinasumbua sana jamii kwa sasa !!!!!!!!!!!!!!!

Malila kaka yangu mbona hunionei huruma kunivunja mbavu kiasi hiki!! Yaani ilifikia wakati vipodozi hata vinywaji vingi unakuta wameandika ina Alovera! Siku moja nikaona Malta guiness imeandikwa ndani yake kuna alovera nilichoka! Heshima kwako Mkuu Malila!
 
Ha ha haa haiwi haiwi imekuwa! Utabiri wa Malila umetimia kazi imeshaanza afadhari na kabei katalipuka!

Tatizo letu wajasiriamali wadogo hatutaki kuanza na biashara za kiswahili swahili kama kuuza asali,kulima nyanya chungu, kulima mbilimbi,kufuga chura,kulima gilgiran, kuuza ndimu/limao kama wahindi wanavyofanya Kisutu.Wengi tunapenda mabizinezi makubwa ambayo mitaji yake ni mikubwa na ushindani ni mkubwa sana.

Nyanya chungu siku hizi zinaliwa sana Dar kama mboga, hii ni kwa sababu afya za wengi zinazorota kila siku na nyanya chungu inakuwa apetaiza !!!!!!
 
Basi ukichanganya na bamia ukala kwa mwanamke inasaidia sana kuleta ule mnato kule kunako K. Kwa zile chungu ni dawa kwa watu wenye sukari nyingi (high blood sugar) na wale wa high blodd pressure. Kwa hiyo ni zao muhimu sana na halishambuliwi na wadudu/magonjwa hasa zile za kienyeji (kijani/ndogo na chungu).
 
Basi ukichanganya na bamia ukala kwa mwanamke inasaidia sana kuleta ule mnato kule kunako K. Kwa zile chungu ni dawa kwa watu wenye sukari nyingi (high blood sugar) na wale wa high blodd pressure. Kwa hiyo ni zao muhimu sana na halishambuliwi na wadudu/magonjwa hasa zile za kienyeji (kijani/ndogo na chungu).
Tunakoelekea sasa hivi tutahamia jukwaa la wakubwa
 
Tunakoelekea sasa hivi tutahamia jukwaa la wakubwa

Kwa kweli kazi na dawa, kuhamia jukwaa la wakubwa ni shauri ya wachangiaji wameamua kufunguka kiukweli zaidi, na mwenzenu hapa nafuta machozi kwa kucheka utafikiri niko jukwaa la chit chat, kwa kweli kazi na dawa!! Ngoma inogile!! Zogwale, Sabayi, Husniyo na Mkubwa Malila asanteni kwa mautamu haya lol!!
 
Kitu cha uswahilini hicho. Ostabei, au Masaki huwezi kuwakuta wanahaingaka na nyanya chungu

Afadhari umesema, sikujua! Kumbe waswahili wakishaanza kuishi Masaki na Oysterbay ndiyo hakuna kula ugali na kisamvu tena! Au unamaanisha watu wa kuja? Anyway consumers wengi wenye kutikisa soko ni waswahili, hao wa huko mbona ni wachache tu!? Wale wasile hawana impact kwenye soko!
 
Inawezekana maana wale jamaa wanaotoka kule linakolimwa sana wengi ni PLAY BOYS

Yaani ukweli ndio ulivyo na wataalamu bado wanafanyia utafiti lakini wengi tuliojaribu imetusaidia sana..
 
Kitu cha uswahilini hicho. Ostabei, au Masaki huwezi kuwakuta wanahaingaka na nyanya chungu

Wahangaike na nyanya chungu kwani wanazijua !!!!, pili, hao wa huko wanajua kupika? Sehemu kubwa wanapikiwa tena kwa ratiba na vyakula vyenyewe vina majina ya kifaransa/kizungu.

Mmesahau zao lingine maarufu huku pwani ila linabaniwa, ni mbilimbi.
 
Wahangaike na nyanya chungu kwani wanazijua !!!!, pili, hao wa huko wanajua kupika? Sehemu kubwa wanapikiwa tena kwa ratiba na vyakula vyenyewe vina majina ya kifaransa/kizungu.

Mmesahau zao lingine maarufu huku pwani ila linabaniwa, ni mbilimbi.

Mkuu hapo kwenye mbilimbi umenikumbusha mbali sana nadhani mara ya mwisho kula mbilimbi ni 1994 or 1995
 
Uvunaji wa ngogwe (Nyanya chungu) hufanyika kila wiki baada ya miezi miwili toka kupandikiza, na uvunaji huendelea kwa miezi 6 hadi 7. Mimea ikianza kukauka kwa kuzeeka hukatwa kwenye shina chini na kuachwa lichipue tena na uzaaji huanza upya tena baada ya miezi 2 hadi 3. Matunda yaliyovunwa huwekwa kwenye viroba na kusafirishwa kwenda sokoni.
 
Uvunaji wa ngogwe (Nyanya chungu) hufanyika kila wiki baada ya miezi miwili toka kupandikiza, na uvunaji huendelea kwa miezi 6 hadi 7. Mimea ikianza kukauka kwa kuzeeka hukatwa kwenye shina chini na kuachwa lichipue tena na uzaaji huanza upya tena baada ya miezi 2 hadi 3. Matunda yaliyovunwa huwekwa kwenye viroba na kusafirishwa kwenda sokoni.
Ahsante sana kwa maelekezo yako hata sie tusiojua tunajua kupitia wewe.we mkali
 
Back
Top Bottom