Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Heshima kwenu wanaJamvi Nimelima eka1 ya nyanya chungu na Mahindi Mabichi MVUMI KILOSA Morogoro nashukuru mazao yamekubali sana khs Nyanyachungu Inatakiwa kila wk nivune nakuuza zikikaa sana znabadilika Rangi inakuwa C ishu ss Tatizo nililo nalo nina Mteja 1 kwakweli ananiua Nimeona nije kwenu nikiamini hamtakosa chakunishauri Natanguliza shukrani wandugu!
 
Mkuu nenda sokoni moro au k.koo ongea directly na wauzaji wa hapo,huwezi kukosa. Mwanza hizo nyanya chungu 3 sh.mia.
 
Mkuu nenda sokoni moro au k.koo ongea directly na wauzaji wa hapo,huwezi kukosa. Mwanza hizo nyanya chungu 3 sh.mia.

Nashukuru kwa ushauri wako kiongozi ntaufanyia KZ dsm nimejaribu kuchek nao lkn hawakunishawishi sana Ila bado naendelea kuulizia zaidi manake navuna kila wk hadi mwezi wa 4 kwahiyo naamini ntafanikiwa Mwanza pia ntajaribu kuchek najamaa km wanaeleweka ntakuwa napeleka huko bt baada yakujilidhisha kwamba itanilipa thnx again,,,!!
 
Biashara ya mboga toka huko kwa jumla soko lipo karibu na round about ya kigogo. Biashara huanza saa ~9 usiku - 12asubuhi. Ukipita mida hiyo utawakuta madalali. Ila biashara hii bei inabadilika kila baada ya muda mfupi.
 
Biashara ya mboga toka huko kwa jumla soko lipo karibu na round about ya kigogo. Biashara huanza saa ~9 usiku - 12asubuhi. Ukipita mida hiyo utawakuta madalali. Ila biashara hii bei inabadilika kila baada ya muda mfupi.

Thnx ndg kwa ushauri Nikweli khs Bei inabadilika kila wakati Manake kabla ya xmas Nilikuwa namuuzia huyo mteja Elf 50 kiroba 1 cha 50kg tena anafata hapo shambani lkn ss Imeshuka hata pale kkoo nimekuta wananunua Elf 30
 
Hongera kwa kudhubutu. Tafuta madalali huko huko kwenye soko la hapo jirani watakuuoganisha. Napenda sana kilimo. Hongera.

Thnx frend,,,! kwa ushauri ntaufanyia kz binafsi nimehamacka na KILIMO kupitia michango mbali mbali ya wadau wa Jukwaa hili Kwahiyo wale wote mnaoweka michango yenu ya mawazo humu mjue haipotei bure tunaifanyia kz naimekuwa msaada sana. Ikimpendeza MUNGU kuanzia mwezi July nitakuja Rasmi kuwashukuru waDAU wa Jukwaa hili Endeleeni kuBARIKIWA,,,!
 
Ulifanya cha umwagiliaji?na nyanya maji zinakubali? Maji yako karibu au mbali?
 
Ulifanya cha umwagiliaji?na nyanya maji zinakubali? Maji yako karibu au mbali?

Yes Mkuu wangu Nyanya maji zinastawi sana! Cmbali kilipo chanzo cha MAJI cz nimenunua PUMP na HORSE PIPE ya 100mt,Imetosha kabisa na kwavile tumechimba mitaro so Maji 2kisha yavuta na kujaa kwenye mitaro 2nayafungulia kuingia kwenye Blocks .Ktk yote nimejifunza KILIMO cha Kiangazi kinachangaMoto sana! kwa mazao ya mbogamboga hasa kwenye madawa yakuua wadudu!
 
Namimi napendahicho kilimo cha nyanya je nina 2heka itafaa kwa kilimo hicho tu
 
Mimi nililima ngogwe maeneo ya tengeru kando ya barabara moshi Arusha, eneo ni kama nusu eka, ilikuwa 1998 mpaka nilipokwenda secondary 2001 mahitaji yote yalipatikana kutokana zao hili, nilichuma kila jumamosi na kuuza katika soko la tengeru, wastani ilikuwa ni mfuko wa salfet mkubwa kwa kila mchumo, sikutuia gharama yeyote kwani mbegu nilikuwa natengeneza mwenyewe maji yalikuwa bure mferejini, mbolea nilikuwa naweka ya kuku, sikuwahi kupiga dawa yeyote. Kwa kweli ngogwe ni zao la kuanzia kutafuta mtaji kama mtu una eneo la kulima na maji yapo.
 
Thanks Kubota kwa kuleta uzi huu. Shukrani pia kwa wachangiaji wote. Nina maswali machache kuhusu hili zao hope Kubota, Malila, Mama Timmy, Goodmother au yeyote atakaepitia huu uzi anaweza kunisaidia
1) Kigamboni Dar Es Salaam linaweza kustawi?
2) Kama jibu la kwanza ni ndio, ni miezi ipi mizuri ya kusia mbegu kwenye vitalu na miezi ipi mizuri ya kuanza kupanda?
3) Mavuno yake yakoje? Kwenye eka moja naweza toa kiasi gani (kilo, kiloba, ndoo etc) kwa muda (wiki etc) gani?
4) Soko lake likoje? Bei ya kuuzia ni sh ngapi na kwa kipimo kipi (kilo, kiloba, ndoo etc)
5) Nimeona kuna changamoto ya mbegu mbaya or fake, unaweza kunitajia exactly duka lenye mbegu nzuri na bora
6) Nimeona kuna changamoto nyigine ya mifugo kama kuku, mbuzi, hii nitajitahidi kupambana nayo
7) Kuna changamoto nyingine zaidi ya hizo?

Samahani sana kwa maswali naona yamekuwa mengi
 
Ebu tufatilie kilichomo kwenye hiyo nyanya chungu; ila binafsi najua wanawake wakizoea kula nyanya nyungu kuna mabadiliko makubwa kwenye maumbile yao ya kujamiiana.
 
Thanks Kubota kwa kuleta uzi huu. Shukrani pia kwa wachangiaji wote. Nina maswali machache kuhusu hili zao hope Kubota, Malila, Mama Timmy, Goodmother au yeyote atakaepitia huu uzi anaweza kunisaidia
1) Kigamboni Dar Es Salaam linaweza kustawi?
2) Kama jibu la kwanza ni ndio, ni miezi ipi mizuri ya kusia mbegu kwenye vitalu na miezi ipi mizuri ya kuanza kupanda?
3) Mavuno yake yakoje? Kwenye eka moja naweza toa kiasi gani (kilo, kiloba, ndoo etc) kwa muda (wiki etc) gani?
4) Soko lake likoje? Bei ya kuuzia ni sh ngapi na kwa kipimo kipi (kilo, kiloba, ndoo etc)
5) Nimeona kuna changamoto ya mbegu mbaya or fake, unaweza kunitajia exactly duka lenye mbegu nzuri na bora
6) Nimeona kuna changamoto nyigine ya mifugo kama kuku, mbuzi, hii nitajitahidi kupambana nayo
7) Kuna changamoto nyingine zaidi ya hizo?

Samahani sana kwa maswali naona yamekuwa mengi

Nijuavyo mimi zao hili halina msimu; nilipanda tangu mwaka jana January - hadi leo naona mama watoto anaendelea kuvuna tu; majirani wanakuja kuomba wanachuma tu.
 
Back
Top Bottom