Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

Kwa mtazamo wangu nadhani kwa kuwa wengi wanachukulia NGONGWE kama INFERIOR food hawataki kuiongelea!!!!! Tuna kasumba za ajabu sana sisi wa TZ (tuliokuwa wengi); Vyakula vyenye rutuba ya kweli ya asilia huwa tunavipuuzia kipato kikiaanza tuu kuongezeka:-(

Subiri muugue magonjwa yasiyokuwa-ambukizi na madaktari waanzekuwarudisha kwenye NATURAL MENU zetu ndiyo NGONGWE mtajua umuhimu wake.
 
Yes Mkuu wangu Nyanya maji zinastawi sana! Cmbali kilipo chanzo cha MAJI cz nimenunua PUMP na HORSE PIPE ya 100mt,Imetosha kabisa na kwavile tumechimba mitaro so Maji 2kisha yavuta na kujaa kwenye mitaro 2nayafungulia kuingia kwenye Blocks .Ktk yote nimejifunza KILIMO cha Kiangazi kinachangaMoto sana! kwa mazao ya mbogamboga hasa kwenye madawa yakuua wadudu!

Je mkuu hapo kwenye madawa ya kuua wadudu mkuu,changamoto zake ni zipi?upatikanaji wa dawa hizo au bei zake ziko juu?
 
Yes Mkuu wangu Nyanya maji zinastawi sana! Cmbali kilipo chanzo cha MAJI cz nimenunua PUMP na HORSE PIPE ya 100mt,Imetosha kabisa na kwavile tumechimba mitaro so Maji 2kisha yavuta na kujaa kwenye mitaro 2nayafungulia kuingia kwenye Blocks .Ktk yote nimejifunza KILIMO cha Kiangazi kinachangaMoto sana! kwa mazao ya mbogamboga hasa kwenye madawa yakuua wadudu!

mkuu upatikanaji wa mashamba ukoje ya kukodi/kununua,sorry kwa kwenda off topic!
 
Thnx ndg kwa ushauri Nikweli khs Bei inabadilika kila wakati Manake kabla ya xmas Nilikuwa namuuzia huyo mteja Elf 50 kiroba 1 cha 50kg tena anafata hapo shambani lkn ss Imeshuka hata pale kkoo nimekuta wananunua Elf 30

Katika heka moja unatoa viroba vingapi mkuu
 
Nahitaji kujaribu kilimo hicho naomba kujua mwenye uzoefu anijuze na changamoto zake
 
Nilipomaliza form6 nililima mchicha bamia na nyanya bustani ndogo hapa Dar. KIlichonistajabisha ni kuwa bamia iliniingizia kipato kuliko vingine. Bamia tengeneza matuta ya urefu usiopungua futi1 chimba vishimo virefu na vichanganye na mbolea ya ng'ombe faida yake haiishi mapema kam ya kuku. panda punje 2 kila shimo umbali wa hatua yako. mwagilia maji asubuhi na jioni .maji yawe yanatuama ktk vishimo. baada ya mwezi na nusu utaanza kuvuna bamia. endapo maji ni ya kutosha basi kila ua la bamia likitoka utavuna bamia baada ya siku3. likate na mkasi ili ukivuna usitoneshe mti wake kwa mavuno endelevu.Tena vuna makubwa madogo acha yakue. utaendelea kuvuna bamia kwa miezi isiopungua 2 kama mti inatunza vizuri. Huu ndio uzoefu wangu mdogo sijausomea
 
Nilipomaliza form6 nililima mchicha bamia na nyanya bustani ndogo hapa Dar. KIlichonistajabisha ni kuwa bamia iliniingizia kipato kuliko vingine. Bamia tengeneza matuta ya urefu usiopungua futi1 chimba vishimo virefu na vichanganye na mbolea ya ng'ombe faida yake haiishi mapema kam ya kuku. panda punje 2 kila shimo umbali wa hatua yako. mwagilia maji asubuhi na jioni .maji yawe yanatuama ktk vishimo. baada ya mwezi na nusu utaanza kuvuna bamia. endapo maji ni ya kutosha basi kila ua la bamia likitoka utavuna bamia baada ya siku3. likate na mkasi ili ukivuna usitoneshe mti wake kwa mavuno endelevu. utaendelea kuvuna bamia kwa miezi isiopungua 2 kama mti inatunza vizuri. Huu ndio uzoefu wangu mdogo sijausomea

MCHARO umekuwa mtaamu ! Asante kwa maelekezo yako na Mungu wa Mbinguni akubariki
 
Nilipomaliza form6 nililima mchicha bamia na nyanya bustani ndogo hapa Dar. KIlichonistajabisha ni kuwa bamia iliniingizia kipato kuliko vingine. Bamia tengeneza matuta ya urefu usiopungua futi1 chimba vishimo virefu na vichanganye na mbolea ya ng'ombe faida yake haiishi mapema kam ya kuku. panda punje 2 kila shimo umbali wa hatua yako. mwagilia maji asubuhi na jioni .maji yawe yanatuama ktk vishimo. baada ya mwezi na nusu utaanza kuvuna bamia. endapo maji ni ya kutosha basi kila ua la bamia likitoka utavuna bamia baada ya siku3. likate na mkasi ili ukivuna usitoneshe mti wake kwa mavuno endelevu. utaendelea kuvuna bamia kwa miezi isiopungua 2 kama mti inatunza vizuri. Huu ndio uzoefu wangu mdogo sijausomea

Uko sawa mkuu - kuna jamaa yangu ana kasamba kadogo karibu na mto - ana uhakika wa kupata elfu sitini kila siku, - kwa Mwanza ndoo moja ya bamia kwa wanaolangua shambani ni Tshs. 10,000/= Nitamtembelea anipe maujanja then nitawajulisheni wajasiriamali wenzangu.
 
Nilipomaliza form6 nililima mchicha bamia na nyanya bustani ndogo hapa Dar. KIlichonistajabisha ni kuwa bamia iliniingizia kipato kuliko vingine. Bamia tengeneza matuta ya urefu usiopungua futi1 chimba vishimo virefu na vichanganye na mbolea ya ng'ombe faida yake haiishi mapema kam ya kuku. panda punje 2 kila shimo umbali wa hatua yako. mwagilia maji asubuhi na jioni .maji yawe yanatuama ktk vishimo. baada ya mwezi na nusu utaanza kuvuna bamia. endapo maji ni ya kutosha basi kila ua la bamia likitoka utavuna bamia baada ya siku3. likate na mkasi ili ukivuna usitoneshe mti wake kwa mavuno endelevu.Tena vuna makubwa madogo acha yakue. utaendelea kuvuna bamia kwa miezi isiopungua 2 kama mti inatunza vizuri. Huu ndio uzoefu wangu mdogo sijausomea

nakupongeza saana kaka maana ulipata mawazo mazur ukiwa form six mwenzako kipindi iko nimezunguka mitaaa mpaka majibu yalipotoka ni aibu sana kwangu na nimejufunza kutoka kwako.
 
wadau, nimeplani kufanya kilimo cha nyanya chungu pamoja na bamia, lakina kabla sijaanza nahitaji kupata uhakika wa soko, sasa naomba kwa yeyote ambaye anafahamu vizuri kuhusu masoko ya bamia na nyanya chungu naomba anijuze
 
We kalime tu mkuu, soko lipo la uhakika. Wanunuzi wa jumla wapo wengi masokoni..
 
uko maeneo gani mkuu? tuanzie hapo kwanza..ili kuona uwezekano wa ww kupata soko la karibu na ww..au swala la usafirishaji...funguka weka details za kujitosheleza.Ila masoko yapo mengi sana
 
uko maeneo gani mkuu? tuanzie hapo kwanza..ili kuona uwezekano wa ww kupata soko la karibu na ww..au swala la usafirishaji...funguka weka details za kujitosheleza.Ila masoko yapo mengi sana
nipo mbeya, na huo mradi nimeplani kufanyia huku.
 
kkulima bila kuwa na uhakika wa masoko ni tatizo, unaweza kuingia hasara
ndio nakwambia kwamba, hayo mazao hayana tabu ya soko, nimekwambia uende wapi ambapo kuna wateja, mimi hizo ndio shughuli zangu. Kwahiyo ninakwambia kitu ambacho Nina uzoefu nacho
 
ndio nakwambia kwamba, hayo mazao hayana tabu ya soko, nimekwambia uende wapi ambapo kuna wateja, mimi hizo ndio shughuli zangu. Kwahiyo ninakwambia kitu ambacho Nina uzoefu nacho
SAWA MKUU, WAKATI WA MAVUNO UKIKARIBIA ITABIDI NIKUTAFUTE UNIUNGANISHE
 
Back
Top Bottom