NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,240
- 1,680
Yapo Kilimanjaro sanya juu maeneo ya Lawate karibu kila mtu wameyapanda mpakani mwa shambanaam ni hayo hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo Kilimanjaro sanya juu maeneo ya Lawate karibu kila mtu wameyapanda mpakani mwa shambanaam ni hayo hayo
mbeya ziko nyingi, tukuyu, kiwira, mwakaleri zipo nyingi. tumezila sana wakati tunasoma kipoke secondary miaka ya 90Nahitaji kujua hii aina ya karanga nitaipata wapi na bei yake kwa kilo ama hata kwa tani..ahsanteView attachment 725932View attachment 725933
Zinatibu nn?kesho inabidi nifunge safari kuelekea mbeya wewe ni mtu wa tatu waniambia..nazihitaji nyingi hata tani kumi
No hizo sio Dawamondu karanga hiyo ni Ally Kiba karanga.Hiyo sio daimondi karanga?....
Ha ha ha ha acha uroho mkuuJamani zinaliwa hizi ? mana mate huku yananitoka
Umenikumbusha tukiwa watoto miaka iyo tunaenda Arusha school kuziiba,kulikuwa na miti mingi sana.
Nenda Arusha school pale utapatanaomba nipe maelekezo wapi naweza zipata
hahahahah umeona eh wazee wa animationHahahaha sio hizo kwa kweli
Nimecheka sana
Umenirudisha mbali sana kwa kwelihahahahah umeona eh wazee wa animation
Tuwasiliane PM MkuuHiyo bidhaa ninayo, wapi naweza kupata soko lake wadau?
hahahha au sio kamandaUmenirudisha mbali sana kwa kweli
Halafu juzi nikiwa naperuzi channels nikaona the meltdownhahahha au sio kamanda