Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh gwa kukaja ulipo nkamu?Daaahh umenikumbusha mbali sana,niliona Tukuyu ndani ndani mkoani Mbeya.
Fursa hiyo kijana na soko lipo. jipange au nicheki inbox
Nakuja pm mkuuTuwasiliane PM Mkuu
Nakuja pm mkuu
Mkuu pm tuyajenge I'm interestedMacadamia Mbinga yapo nimeenda vijijini wakanipa ndoo nzima niondoke nayo.
Wao hawayatumii wala hawahangaiki kuyatunza yalipandwa na mababu tangu ukoloni.
Macadamia Mbinga yapo nimeenda vijijini wakanipa ndoo nzima niondoke nayo.
Wao hawayatumii wala hawahangaiki kuyatunza yalipandwa na mababu tangu ukoloni.
Hahah! hajafika au amekuja huko Pangani ?Mkuu nahisi umepotea njia wakati unaelekea PM!!
Ice age ni Acorn mbegu za mti wa Oak unaopatikana nchi za baridi kama Canada nkHizi si zile kwenye ICE AGE au?
Yapo Kilimanjaro sanya juu maeneo ya Lawate karibu kila mtu wameyapanda mpakani mwa shamba
zinzitwa akademiaZinaitwaje mkuu tusaidie kuelewa na sisi wengine ambao ndio tunaziona
Yawezekana macho yetu si "mema" katika uonaji.Hebu tueleweshe shangazi hivyo vitu ni nini?
Dimondi karanga.Zinaitwaje mkuu tusaidie kuelewa na sisi wengine ambao ndio tunaziona
"Bei mbaya" silingi zinga?Hizo ni white macadamia nuts bei yake ni mbaya sana mbelez